Mrejesho baada ya kukaa mwaka bila kujihusisha na mapenzi

Mrejesho baada ya kukaa mwaka bila kujihusisha na mapenzi

whiteskunk

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
3,904
Reaction score
9,342
Mara ya mwisho kujihusisha na mapenzi ilikuwa mwaka jana na mwezi wa 10 hivi, Nikipiga hesabu inakaribia mwaka

Mtu wa mwisho kukutana naye ameolewa na ameshajifungua. Baada ya kukaa mwaka bila show haya ndiyo mabadiliko ambayo nayaona.

Kila mwanamke namuona ni mzuri, natamani kila mwanamke na kila nikiona mwanamke na stimulate.

Akili yangu asilimia 99 inawaza mapenzi tu, nikiwa naongea na mwanamke yeyote namuwazia vibaya.

Kuchukua sheria mkononi hakuwezi kuchukua nafasi ya sex, sex ni sex tu.

Kwa mfano nikiwa natembea nikikutana na mtu namfata upande alipo mpaka tunagongana, hii nimeifanyia utafiki kila nikikaa mda bila sex inatokea.
Kulala na tumbo haiwezekani,

Ni ngumu sana kwa mwanaume rijali ku maintain abstinence, nilipanga niende mpaka mwakani ila kiukweli haiwezekani.

Nizidi kuwakumbusha msiuze mechi, kama mazingira hayaruhusu mwache aende.

Nawasha headlight kuanzia wiki hii na kuendelea.
 
Suala gumu kidogo hilo.. Mie miezi kadhaa tu, dunguso likigusa paja linatutumka 😂🤣, asubuhi ukiamka RUNGU KIPEPE ni la motoooooo...

Hapa katikati kuna kijini kinakuja ndotoni nakimwagilia maji ya uzima, sijui kimenogewa, kinakuja mara kwa mara, nami silembi, nakifumua tu. 😂
 
makaveli10 [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daaa aiseee..mzee kikatae icho kimzimu kitakutesa na kukuharibia maisha.

Vinaanzaga hivyo hivyo hatimae vinaingia kweny maisha yako totally, yaan mahusiano yako na jamii mpka uchumi wako[emoji23].

Kma ni kwel basi hata kukuharibia kitakuharibia ili usipate mahusiano na binadam yeyote, na ukipata itakuwa mahusiano ya migogoro tu[emoji16]

Anyway hizi mbanga za kujiweka mbali na Sex so nzuri, ni kujiharibu akili tu.

Kma mwanaune rijali lazma upeleke moto kadiri uwezavyo.
 
Suala gumu kidogo hilo.. Mie miezi kadhaa tu, dunguso likigusa paja linatutumka [emoji23][emoji1787], asubuhi ukiamka RUNGU KIPEPE ni la motoooooo...

Hapa katikati kuna kijini kinakuja ndotoni nakimwagilia maji ya uzima, sijui kimenogewa, kinakuja mara kwa mara, nami silembi, nakifumua tu. [emoji23]
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Sijaelewa hapo kwenye kumfuata mtu hadi mnagombana
 
Suala gumu kidogo hilo.. Mie miezi kadhaa tu, dunguso likigusa paja linatutumka 😂🤣, asubuhi ukiamka RUNGU KIPEPE ni la motoooooo...

Hapa katikati kuna kijini kinakuja ndotoni nakimwagilia maji ya uzima, sijui kimenogewa, kinakuja mara kwa mara, nami silembi, nakifumua tu. 😂
Ni kweli mkuu inahitaji moyo, kiukweli hatujaumbwa kuishi bila mwanamke.
 
Back
Top Bottom