whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
- Thread starter
- #61
Muhimu maana nishakanyaga nyoka nikiona jani nashtuka.Ooh haya basi take care maana wanasema kama ulikua umeacha kitu, siku ukirudi unarudi kwa speed kali😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu maana nishakanyaga nyoka nikiona jani nashtuka.Ooh haya basi take care maana wanasema kama ulikua umeacha kitu, siku ukirudi unarudi kwa speed kali😂
Aah ulikua kwenye window period nini? PoleeMuhimu maana nishakanyaga nyoka nikiona jani nashtuka.
Haha hapana, kipindi nikiwa kakijana na meno yote nilizama chocho hatari sana bila viatu, kwa miaka mingi. Ghafla afya ikazorota.Aah ulikua kwenye window period nini? Polee
Sawa ngoja niwashe taaAcha kujibana utalukwa na akili alafu Utajikuta unazeeka watoto wakali hujawafaidi
Kwahiyo sasa hivi ndio unataka kuivunja ahadi uliyoiweka kwa Mungu kua hurudii tena?Haha hapana, kipindi nikiwa kakijana na meno yote nilizama chocho hatari sana bila viatu, kwa miaka mingi. Ghafla afya ikazorota.
Nikasema ee Mungu nikikuta sijaungua sitarudia tena, ilinichukua mda sana kupima. Sijui ilikuwaj nikakuta negative mpaka leo shobo zimeisha, kama mazingira hayaruhusu napotezea.
Saivi najilinda sana na Mungu atabarikiKwahiyo sasa hivi ndio unataka kuivunja ahadi uliyoiweka kwa Mungu kua hurudii tena?
OkTafuta pesaaaa Wacha utoto
Mungu habariki zinaa hata siku moja,labda useme utafute Mke uowe kwa halali.Saivi najilinda sana na Mungu atabariki
Ooh basi Mungu ni mwema kwetu, hongera hili gonjwa linatisha sana basi tu. Viatu navyo sijui vinasumbua kutumia dah😂Haha hapana, kipindi nikiwa kakijana na meno yote nilizama chocho hatari sana bila viatu, kwa miaka mingi. Ghafla afya ikazorota.
Nikasema ee Mungu nikikuta sijaungua sitarudia tena, ilinichukua mda sana kupima. Sijui ilikuwaj nikakuta negative mpaka leo shobo zimeisha, kama mazingira hayaruhusu napotezea.
Basi mama financial services msichat sana napata wivu huku [emoji1787]Ooh basi Mungu ni mwema kwetu, hongera hili gonjwa linatisha sana basi tu. Viatu navyo sijui vinasumbua kutumia dah[emoji23]
Wivu wa nini mkuu?😂 welcome to the club tuchat piaBasi mama financial services msichat sana napata wivu huku [emoji1787]
Nyeggge sio poa aseeMwaka ni mrefu sana mkuu, mimi nilikua naweza chuo miezi kadhaa kabla ya pepa ila baada ya hapo lazima nichachue mzee.
Na tatizo nikiwa na genye nafanya kila njia mpaka nafanikiwa kupata nitakacho. Genye ziache tu aisee
Ndio ntaoa lakini harusi ni lazima kujipanga, ni gharama kidogo.Mungu habariki zinaa hata siku moja,labda useme utafute Mke uowe kwa halali.
Hahaha hazipasuki, zikizidi sana zinacheza chezaUkiwa busy inawezekana ila ukikaa iddle kidg tu utajilipua kwa sheria mkononi.
Japo mwaka ni ngumu sana aisee.
Yaani sperm usizitoe mwaka mzima kabisa labda uwe hujawahi kusex kabisa ila kama umewahi mara kadhaa kukaa mwaka lazima kichupa kijae sana, mwisho upasuke pumb* bure.
All the best Brother.Ndio ntaoa lakini harusi ni lazima kujipanga, ni gharama kidogo.
Ww ni bangi [emoji1787][emoji1787]Suala gumu kidogo hilo.. Mie miezi kadhaa tu, dunguso likigusa paja linatutumka [emoji23][emoji1787], asubuhi ukiamka RUNGU KIPEPE ni la motoooooo...
Hapa katikati kuna kijini kinakuja ndotoni nakimwagilia maji ya uzima, sijui kimenogewa, kinakuja mara kwa mara, nami silembi, nakifumua tu. [emoji23]