Mrejesho baada ya kukaa mwaka bila kujihusisha na mapenzi

Mrejesho baada ya kukaa mwaka bila kujihusisha na mapenzi

Jogoo kama halijapata tetea Huwa linataga viyai vidogo. Sas wewe ni jogoo ambalo halijapata tetea kwa mwaka mmoja. Nawaza umeshataga kiyai au bado😬
 
Kumbe una kadi ya chama pendwa, halafu unasema hujamwaga, kama ni hivyo mbona ni rahisi, nafikiri ungekaa hiyo miezi bila kutoa mbegu zako kabisa ndio ungekuja hapa na madini ya kutosha,vinginevyo unapoteza muda wako bure.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kumbe una kadi ya chama pendwa, halafu unasema hujamwaga, kama ni hivyo mbona ni rahisi, nafikiri ungekaa hiyo miezi bila kutoa mbegu zako kabisa ndio ungekuja hapa na madini ya kutosha,vinginevyo unapoteza muda wako bure.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mkuu zikizidi hata uchukue sheria mkononi haisaidii
 
Mara ya mwisho kujihusisha na mapenzi ilikuwa mwaka jana na mwezi wa 10 hivi, Nikipiga hesabu inakaribia mwaka

Mtu wa mwisho kukutana naye ameolewa na ameshajifungua. Baada ya kukaa mwaka bila show haya ndiyo mabadiliko ambayo nayaona.

Kila mwanamke namuona ni mzuri, natamani kila mwanamke na kila nikiona mwanamke na stimulate.

Akili yangu asilimia 99 inawaza mapenzi tu, nikiwa naongea na mwanamke yeyote namuwazia vibaya.

Kuchukua sheria mkononi hakuwezi kuchukua nafasi ya sex, sex ni sex tu.

Kwa mfano nikiwa natembea nikikutana na mtu namfata upande alipo mpaka tunagongana, hii nimeifanyia utafiki kila nikikaa mda bila sex inatokea.
Kulala na tumbo haiwezekani,

Ni ngumu sana kwa mwanaume rijali ku maintain abstinence, nilipanga niende mpaka mwakani ila kiukweli haiwezekani.

Nizidi kuwakumbusha msiuze mechi, kama mazingira hayaruhusu mwache aende.

Nawasha headlight kuanzia wiki hii na kuendelea.
😂😂😂 umeongelea negative impacts pekee vipi faida hamna hata moja? Hujapigwa vizinga,umejiepusha na mengi(magonjwa)😂
 
Pole sana bloangu.

K ilivyokuwa tamu yaani mwaka mzima hujaichakata?

Chaputa noma sana,hapa utashangaa ukikitana na demu tena unapata aibu kubwa sana.

Ukiwa unagonga mara kwa mara kwa xperience yangu unakuwa strong sana na afya ya mwili hukaa vyema mno.
 
Pole sana bloangu.

K ilivyokuwa tamu yaani mwaka mzima hujaichakata?

Chaputa noma sana,hapa utashangaa ukikitana na demu tena unapata aibu kubwa sana.

Ukiwa unagonga mara kwa mara kwa xperience yangu unakuwa strong sana na afya ya mwili hukaa vyema mno.
Nakiwasha mkuu, na nitaoa siku za karibuni Mungu akipenda
 
Back
Top Bottom