Mrejesho: Baada ya Safari ya Dar kukutana na asiyejulikana


Kifupi Mshakaji kaamua kutunywesha CHAI!
 
Kigeni ni masaa hayo mkuu!! Angalia kwa makini utagundua wapi ipo shida
Au kupika chakula masaa yale,
Ilibidi asubiri nifike ndo maana kwanza alikuwa haamini kama nitafika ,alidhani huenda namdanganya ndo akapika muda ule na ulikuwa hujaenda sana na hata hivyo kesho yake ndo alipika chakula rasmi kwa ajili ya mgeni
 
Mkuu yaani umechukua ubingwa kama France ki bahati bahati daah, ila sio mbaya ndio Dunia mzigo umekula na Baba umekuwa
Big up Bingwa wa kombe la kusafiria nyapu
 
Sasa huko rombo na dar wanaume wake wametofautiana nini..?
Mnafanana sifa sishangai
Waokoeni wa mikoani wenzenu.
Na huu mtindo wa kuweka avatar za kina dada unanitafuta ubaya ndugu yangu
 
Wanaume hua hatufanyi kiss and tell.

Kulikua hakuna haja ya uzi huu.

Nimesahau kumbe umetokea pande zile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…