Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kwa mtaji wa shingapi!?Tamu sana....yaan kukamata faida ya 200k had 400k per day kawaida sana....mradi upate mzigo wa kutosha...ila inalevya sana.
Sio chini ya 4-5m!hiyo kwa mtaji wa shingapi!?
Ishu inakuja mzigo upatikanaji unakuwa mbaya...esp kipindi hiki cha mvua...hizo mostly upate chaka lililopuka..usipomake we basihiyo kwa mtaji wa shingapi!?
Mtaji wenyewe ninao sasa!?[emoji16] anyway kuna vitu nyingi sana vya kufanya inshu mitajiIshu inakuja mzigo upatikanaji unakuwa mbaya...esp kipindi hiki cha mvua...hizo mostly upate chaka lililopuka..usipomake we basi
Mkuu haya mambo we yaangalie juu juu hivi hivi...! Mie nilianza na almost zero! Ntakupaga histry yangu pm ya safari za kwenda machimboni! Unaweza anza na 10gms...hapo hukosi 40k faida...watu walianza na 300k..nini 4m?mtaji wenyewe ninao sasa!?[emoji16] anyway kuna vitu nyingi sana vya kufanya inshu mitaji
Ushauri muruaMkuu haya mambo we yaangalie juu juu hivi hivi...! Mie nilianza na almost zero! Ntakupaga histry yangu pm ya safari za kwenda machimboni! Unaweza anza na 10gms...hapo hukosi 40k faida...watu walianza na 300k..nini 4m? Yaan kama una mtaji wa gramu 10 ukawwza kwenda jikoni mara 2 kwa sku au 3 unapata kafaida kako kazuri unapanda mdo mdo!
Haya masuala ya kuambiwa sijui.mtaji uanze na mamilioni tupa kwa dustbin...ni kukatishana tu tamaa..anza na ulichonacho!utaona connection zitakavyofunguka hadi utahis uchawi!
Nakusubiri Pm, najua bado tunamambo mengi ya sana ya kuongea[emoji120]Mkuu haya mambo we yaangalie juu juu hivi hivi...! Mie nilianza na almost zero! Ntakupaga histry yangu pm ya safari za kwenda machimboni! Unaweza anza na 10gms...hapo hukosi 40k faida...watu walianza na 300k..nini 4m? Yaan kama una mtaji wa gramu 10 ukawwza kwenda jikoni mara 2 kwa sku au 3 unapata kafaida kako kazuri unapanda mdo mdo!
Haya masuala ya kuambiwa sijui.mtaji uanze na mamilioni tupa kwa dustbin...ni kukatishana tu tamaa..anza na ulichonacho!utaona connection zitakavyofunguka hadi utahis uchawi!
Ngoja nipate tea..ntakujanakusubiri Pm, najua bado tunamambo mengi ya sana ya kuongea[emoji120]
[emoji4]Ngoja nipate tea..ntakuja
Utu uzima huu noma....[emoji4]
Madini yana addiction mbaya ka kubet.Tamu sana....yaan kukamata faida ya 200k had 400k per day kawaida sana....mradi upate mzigo wa kutosha...ila inalevya sana.
Hatari sana sheikh...Madini yana addiction mbaya ka kubet.
Everyday is Saturday............................... 😎
Eeh eehMkuu haya mambo we yaangalie juu juu hivi hivi...! Mie nilianza na almost zero! Ntakupaga histry yangu pm ya safari za kwenda machimboni! Unaweza anza na 10gms...hapo hukosi 40k faida...watu walianza na 300k..nini 4m?
Yaan kama una mtaji wa gramu 10 ukawwza kwenda jikoni mara 2 kwa sku au 3 unapata kafaida kako kazuri unapanda mdo mdo!
Haya masuala ya kuambiwa sijui.mtaji uanze na mamilioni tupa kwa dustbin...ni kukatishana tu tamaa..anza na ulichonacho!utaona connection zitakavyofunguka hadi utahis uchawi!
Vip bossEeh eeh
Tarehe may 13 notification one hr agoVip boss
Niliahidi na naendelea kuahidi nitakuwa natoa feedback kila baada ya miezi sita, hivyo desemba hii nitakuja kuwajulisheni wapi nimefikiaDah! Mambo Mazuri sana haya
Mpaka nimetamani huu uzi uwe endelevu, una mambo mengi Mazuri ya kujifunza na kuhamasisha.
Shukran mtoa post na mkuu
Wangari maathai.
Muda siyo mrefu tutakutama huko.
Niliahidi na naendelea kuahidi nitakuwa natoa feedback kila baada ya miezi sita, hivyo desemba hii nitakuja kuwajulisheni wapi nimefikia
Shukran MKUU, endelea kumiminiwa baraka.Niliahidi na naendelea kuahidi nitakuwa natoa feedback kila baada ya miezi sita, hivyo desemba hii nitakuja kuwajulisheni wapi nimefikia