Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,905
- 4,518
Bufa
Nikujibu hilo la elution, machinery, kemikali na maabara kwa pamoja, with respect to Chunya.
Elution kwa sasa bado ni chache (ukilinganisha na idadi ya Leaching plants ambazo ndio feeder facilities za Elution), na bado ni uwekezaji wenye tija. Lakini ni uwekezaji unaohitaji capital kubwa, na risks (kwa maoni yangu) ni chache.
Machinery na Chemicals hii ni biashara ambayo unaweza kuifanya kwa pamoja. Na kwa maoni yangu ningependekeza uanze na hii (ikikupendeza).
Maabara:
Hizi zipo chache, na mahitaji ya uchimbaji ambao ni based on informed facts (kujua kwenye sampuli kuna dhahabu kiasi gani kabla ya kufanya maamuzi) unazidi kuongezeka.
Hapa napo ni mahala pa zuri kuwekeza.
NB: Majibu yangu ni ya jumla sana, nimeacha "mashimo mengi" ya wenzangu kukosoa, kurekebisha, kuboresha n.k ili kukupatia ushauri bora na utakaokufaa wewe na wengine watakopitia uzi huu.
Nikujibu hilo la elution, machinery, kemikali na maabara kwa pamoja, with respect to Chunya.
Elution kwa sasa bado ni chache (ukilinganisha na idadi ya Leaching plants ambazo ndio feeder facilities za Elution), na bado ni uwekezaji wenye tija. Lakini ni uwekezaji unaohitaji capital kubwa, na risks (kwa maoni yangu) ni chache.
Machinery na Chemicals hii ni biashara ambayo unaweza kuifanya kwa pamoja. Na kwa maoni yangu ningependekeza uanze na hii (ikikupendeza).
Maabara:
Hizi zipo chache, na mahitaji ya uchimbaji ambao ni based on informed facts (kujua kwenye sampuli kuna dhahabu kiasi gani kabla ya kufanya maamuzi) unazidi kuongezeka.
Hapa napo ni mahala pa zuri kuwekeza.
NB: Majibu yangu ni ya jumla sana, nimeacha "mashimo mengi" ya wenzangu kukosoa, kurekebisha, kuboresha n.k ili kukupatia ushauri bora na utakaokufaa wewe na wengine watakopitia uzi huu.