IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Ndugu we muongo faida EF 2 au EF 3Mil 40 ni mtaji wa jikoni, dealer (mara nyingi muhindi) anakuwa na watu hata 20 na zaidi anaowadhamini majikoni, kila mtu wa jikoni ana dealer wake maalum kama ilivyo kota ana mtu wake maalum jikoni, mtu akitoka elusion anachoma akipata kilo 4 anampigia dealer kuna 4kg au na zaidi dealer anamtumia 400m bank ndo mnalipwa baada ya siku 1 mpaka 3 ila kipindi mnasubiri huwa kuna vimilioni vya advance mnapewa. Kila mwezi dealer anatakiwa kuexport zaidi ya kilo 10 kwa mara moja ili iwe biashara.
Biashara ya dhahabu ni huyu anamkusanyia yule na faida ni ndogo sana tofauti na mnavyodanganyana, kawaida gram 1 faida ni sh 2000-3000, unakusanya dhahabu ya mil 4 ukienda jikoni kuchoma unapata faida isiyozidi elfu 50 au ukarudi na hasara ya malaki kama si mamilioni.
Kuna soko la kimataifa lipo Nairobi kwa ukanda huu
Nina rafik angu anachukua dhahabu msumbiji eneo la kaguruwe ana kuja uza dar kila baada ya wiki moja,
gram 100 Sawa na milioni 10 gram ananunua laki sokoni inacheza laki na 25 ivi,
this time Mara ya mwisho katoka dar na faida ya 1.8million akitoa process zingne ndio anabaki na iyo 1.8 m
Au labda sijaelewa maelezo yako vizuri lakin kama ndio ayo hapo juu faida ef 3 big no ukitaka nikupe na namba ya simu muulize ata kwambia na kama upo dar wiki hii anakuja apo kuuza dhahabu muulize.