Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

Ndoa kwa Zama hizi ni taasisi iliyo shindwa kuji tetea😄.
👉Beside mi chalii tu, hata nusu ya 50 bado😄
Uje nikupe Madini ya kwanini uingie kwenye Ndoa

Kama bado hujafika huo umri basi una uelewa Mkubwa wa mambo Mtambuka.

Jitahidi uzae mtoto kwenye huo umri ili upate watoto genius
 
Uje nikupe Madini ya kwanini uingie kwenye Ndoa

Kama bado hujafika huo umri basi una uelewa Mkubwa wa mambo Mtambuka.

Jitahidi uzae mtoto kwenye huo umri ili upate watoto genius
thanks for the appreciation 💪🙏, hii nime rithi kwa mzee wangu Ushimen
👉Ila kuhusu mdoa mhhh, maybe another time mkuu.

Acha tupambanie ugali kwanza mzee, Zama zime badilika mno
 
thanks for the appreciation 💪🙏, hii nime rithi kwa mzee wangu Ushimen
👉Ila kuhusu mdoa mhhh, maybe another time mkuu.

Acha tupambanie ugali kwanza mzee, Zama zime badilika mno
Kila la heri Mkuu

Binafsi I had my first born at 26 japo nilibahatika mapema kupata ajira baada ya Chuo
 
Bar, lodge na hoteli ni kati ya biashara ambazo kwangu naona ugumu kuzifanya ingawa zina faida.
Zipo tofauti na Imani Yako Mkuu?

Ukiwa na mtazamo huo hata biashara ya Madini ndiyo hutaweza kuja kuifanya.

Maana huko bila kujenga urafiki na Waalamu utajikuta miaka na miaka unachimba lakini "hutoboi" kama asemavyo Mzee Bwege
 
Hivi musoma mjini kunafaa kuwekeza biashara ya lodge?. Kwa waliopo huko naomba muongozo.
Musoma kama utajenga Lodge nashauri ukajenge karibu na Ferry wanapofanyia shughuli za Uvuvi.

Kuna Lodge Moja nililala kule Bunda wanakouza uza dagaa wanaita Soko la Tunduma.

Jamaa amejenga karibu kabisa na Ziwa.

Mara nyingi Guest yake inakuwa imejaa maana Wageni wakija kufunga mzigo wa dagaa wanafikia pale kwake
 
Hii biashara ni nzuri ukibahatika kupata location nzuri
Yeah....wakati unachagua site kwaajili ya kujenga zingatia Hilo suala.

Bora ununue Kiwanja gharama kubwa lakini uwe na uhakika wa kufanya biashara
 
Mzee mwenzangu Kudos sana...
Naomba kujua hawa wageni na wachakataji sio kwamba hua wanapendelea gesti zikiwa mpya? Ndani ya miaka mitatu sio kwamba itahitajika uwe ushaifufua upya ili uwe na consistency kwenye mauzo?

Ukitaka kuisukuma uniambie nipate ya udalali hapo
 
👏👏👏👏
 
Babu hongera sana, hiyo biashara nzuri sana..!! Hapo anza kujenga nyingine ukishapaua ingia bank wakupe mkopo wa kumalizia ujenzi utanishukuru..!!
 
Shukrani Mkuu 🙏🙏

Biashara ya real Estate inahitaji maintenance ya mara Kwa mara, hivyo nitakuwa nafanya ukarabati Kila baada ya miaka 3 japo zile minor repairs za accessories nafanya Kila Mwezi. Mfano Kuna baadhi ya Wateja hawajazoea kutumia bomba la mvua (shower) pamoja na zile bomba za kunawia ukitita.

Kwahiyo mara nyingi vinahitaji kubadirishwa mara Kwa mara

Kuhusu kuuza Sina mpango ila kama utaona Lodge potential mtu anauza nitaomba unijulishe

Wanasema Koo(Clan) zilizokuwa zinakuwa ndiyo zilikuwa zinatawala 🤗

Vivyo hivyo biashara lazima iwe na sifa ya Kukua na kuongezeka
 
Babu hongera sana, hiyo biashara nzuri sana..!! Hapo anza kujenga nyingine ukishapaua ingia bank wakupe mkopo wa kumalizia ujenzi utanishukuru..!!
Shukrani Mjukuu, ngoja tutumie vizuri hela za Kiinua mgongo (Pension) kuwekeza kabla hazijapitiwa na akina Mobero, maana wanasifa ya kinusa hela ilipo😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…