Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

Wanaume hawaaminiki na pia uwe na mpango wa kuwabadilisha kazi mara kwa mara pale ambapo wanaonesha kutokuwa waaminifu.
Au ingia gharama nunua smart lock ambazo pw utakuwa watoa wewe
Shukrani Kwa Ushauri wako Mkuu.

Hizo Smart lock, Kuna Kampuni unajua wanazalisha? Nitafurahi kupata mawasiliano yao kama hautajali
 
Hongereni Mkuu, huko maisha ni simple kumbe.

Japo maeneo ya hivyo panakuwa na Mzunguko mdogo wa hela
Watu wa huku wakivuna viazi, maharage mbao, mahindi wanahamia njombe mjini wanasema beer za mjini ni tamu wanapiga kambi pesa zikiisha wanarudi vinyunguni kuandaa mashamba, wakati wa mavuno ya viazi huku ukienda njombe hupati Chumba lodge zote zimejaa wakulima wanaenda mjini kutanua wakenya nao wanajaa mjini kununua viazi.
 
Hahaha.........kumbe kuna hela.

Nitatafuta nafasi kuja kusavei ili kuona fursa za Kiuchumi huko, hata kuwajengea baa na kuwaletea wale wadada wa Kiilaqi kama Wahudumu wao 😜
 
Fukuza huyo anayechezea cameraeta watu wengine wapya ,ili kusurvive kwenye hii dunia inaitaji uwe beberu kweli kweli
 
Fukuza huyo anayechezea cameraeta watu wengine wapya ,ili kusurvive kwenye hii dunia inaitaji uwe beberu kweli kweli
Umesema sahihi Mkuu.

Huyo Dogo nilimwondoa, ajabu baada ya kuanza kazi Mhudumu mwingine eti Lodge inajaa.

Hii ina implies kuwa Mhudumu wa mwanzo alikuwa anaiba hadi anapitiliza
 
Umesema sahihi Mkuu.

Huyo Dogo nilimwondoa, ajabu baada ya kuanza kazi Mhudumu mwingine eti Lodge inajaa.

Hii ina implies kuwa Mhudumu wa mwanzo alikuwa anaiba hadi anapitiliza
Ndo mana watu wanashangaa kwa nini wahindi wanaajiriwa sana na wazungu kwenye makampuni makubwa duniani?hata C.E.O Wa makampuni yote makubwa ni wahindi simply ni kwamba wahindi ni waaminifu, wachapakazi na wasimamizi wazuri wanawaza future ya kampuni kwanza kuiba baadae na wanaiba faida sio mtaji, sasa jitu jeusi kutoka kazulamimba akipata kazi anachowaza aibe apate pesa akaonge demu iPhone macho matatu .
 
Kwa kweli hapo Kama Wabongo ndiyo tunapofeli kuwaza upigaji badala ya kazi.

Hawajui Wizi wake ukibainika unampiga Chini na kumleta mfanyakazi mwingine
 
Aweke hiden camera ya kumpa live situation, kuna maza anamiliki gest nyingi kila siku anafukuza na kubadil wafanyakazi sasa nimemwelewa
Hizo hidden camera watakuwa hawazioni Kwa uwazi kama hizo camera nilizokwisha kuzifunga?
 
)Kuna camera zinakuwa ndani ya taa au uwe ubadili wafanyakazi kila muda ndo utaona pesa, gest inachangamoto sana hasa zile za showtime ndo wanapiga sana, hakikisha unapewa hesabu ya vyumba vyote kulala kila siku izo showtime ndo atajazia
 
)Kuna camera zinakuwa ndani ya taa au uwe ubadili wafanyakazi kila muda ndo utaona pesa, gest inachangamoto sana hasa zile za showtime ndo wanapiga sana, hakikisha unapewa hesabu ya vyumba vyote kulala kila siku izo showtime ndo atajazia
Nitafatilia kuhusu hizo Camera, nahisi Kuna hotel Moja nililala DSM ilikuwa na Camera za namna hiyo.
 
Kwahiyo Wanawake Wana unafuu kidogo?
At least hao ukiweka hizo CCTV ni rahisi kuwadaka.

Maana wengi wao ndio vile ..... Brain.

Wanaume wengi wajanja wajanja tu.

Kuna biashara zinataka Wanawake tu kuzirun hasa gesti.

Tena tafuta wenye misambwanda weka hata wawili au watatu
 
Kiwanja mil.12 tena Wilayani,duu hiyo ni noma sana.
 
Moja ya application ya shule ni hii....
Hongera sana mkuu!
Hakuna Cha shule yeyote hapo,watu layman wanafanya hiyo sana tuu.

Inatakiwa akisharejesha pesa yake ndani ya miaka hiyo 4 ,apunguze bei ya lodge walau ifike 20,000-25,000 na baada tena ya miaka 5 apunguze zaidi iwe kayo ya 10,000-15,000 hapo maintainance costs zinaanza kupanda na vitu vinaanza kuchakaa.
 
Ya kwako yenye miaka 5 ushapunguza bei? (Acha shobo, appreciate kitu kizuri mtu anafanya)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…