Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

Ila ni changamoto Kwa Wajasirimali wapya
Yeah ni kweli, ila sishauri mjasiriamali mdogo aanzishe biashara kwa mkopo tena bank,. Akifanya mistake kidogo tu anaweza ajutie na aogope kufanya tena biashara maisha yake yote.. Better mtu akajitafuta regardless atatumia mda gani ila aanze biashara kwa mtaji wake mwenyewe, mkopo uwe tu ni kama nyongeza kukuza mtaji basi
 
Yeah ni Kweli Mkuu.....ukithubutu unaweza kufa Kwa presha ya Kudaiwa πŸ˜…πŸ˜…
 
Shukrani Mkuu

Lodge ikiwa mpya maintenance cost zake zinakuwa Chini

Me nimejipanga kuifanyia marekebisho Kila mwisho wa mwaka.
 
We jamaa umeandika research yako kisomi sana hongera mkuu, nimepata kitu hapo
 
Shukrani Mkuu

Lodge ikiwa mpya maintenance cost zake zinakuwa Chini

Me nimejipanga kuifanyia marekebisho Kila mwisho wa mwaka.
Ukifanya hivyo itakuwa up-to-date na kuzidi kuongeza mapato. Wengi wanajisahau hapo kwenye maintenance, unakuta showers hazifanyi kazi, maji ya moto mara yapo mara hayapo, hudum za Wi-Fi (optional) au huduma za dstv/azamtv zipo mara hazipo, wengi wanaanza na bed and breakfast then wanaishia kati.

All in all hongera sana, pia kwa kushare nasi kutupa changamoto za kimaendeleo.
 
Shukrani sana Mkuu
 
Shukrani Mkuu, kumbe inawezekana kusajiri biashara tofauti then ukaziweka kwenye kapu Moja?
Na sio kumbi ikikamilika tu hata wakati unaijenga unaweza ukajinga kama mali ya kampuni yako, gharama zotw za ujenzi unaziandika na zinakuwa kama gharama za kampuni na unaweza pata nafuu ya kodi kama uliziandika na kutunza risiti zote..

Mfano kama kwa mwaka mapato yako ni 30mil na ukawa na matumizi mfano ya ujezi wa kimbi na matumizi mengine ikawa 20mil hapo fedha utayotozwa kodi ni hiyo tofauti ya 30mil na 20mil = 10mil!

Pia kampuni inaweza kuwa na biashara hata 50!

Anyway mimi sio mtaalam wa kodi ila nimeongelea ujuzi kidogo nilionao!

All in all fikiria wazo la kampuni mkuu

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Shukrani sana Mkuu, nimejifunza mengi kwako.

Wazo la Kampuni ninalo ila nimeona hela nyingi zipo kwenye Starehe

Hivyo biashara zangu zitajikita huko

Wacha niendelee Kujitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…