Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

Ukifanya hivyo itakuwa up-to-date na kuzidi kuongeza mapato. Wengi wanajisahau hapo kwenye maintenance, unakuta showers hazifanyi kazi, maji ya moto mara yapo mara hayapo, hudum za Wi-Fi (optional) au huduma za dstv/azamtv zipo mara hazipo, wengi wanaanza na bed and breakfast then wanaishia kati.

All in all hongera sana, pia kwa kushare nasi kutupa changamoto za kimaendeleo.
ERoni na Grahams michango yenu na mawazo yenu huwa naifananisha. Akili zenu huwa zinaendana
 
Mkuu,

Umesahau jambo msingi.

Andika biashara yako ilipo. WanaJF wakuunge.

Hongera sana.
Nahisi nikiandika Kila kitu Kuna watu watakonect dot na kunitambua ..

Ila biashara yangu ipo kwenye Wilaya Moja yenye biashara ya Uchimbaji wa Madini ya dhahabu Kwa wingi.

Kama utakuwa mdau wa Uchimbaji basi unaweza kuwa mteja wangu Siku za usoni

Karibu sana kunisapoti
 
Mkuu hapo unatarajia kupanga vyumba vinne kati ya kumi mbona namba ndogo hiyo?

Kwanini usiwe na gharama tofauti kuanzia elfu 50 hadi 20 kutokana na hadhi na soko. Siku ambazo ziko slow unaweza kutoa offer 20, 25 kwa chumba?

Hio pesa ina include breakfast na vitu vingine vidogo kuongeza thamani?
Ambapo nimekadiria kuweza kukusanya shilingi 43,200,000 Kwa Mwaka ambapo nimechukulia kuwa Kila Siku watalala Wageni 4 kati ya Vyumba vyote 10.
 
Mkuu hapo unatarajia kupanga vyumba vinne kati ya kumi mbona namba ndogo hiyo?

Kwanini usiwe na gharama tofauti kuanzia elfu 50 hadi 20 kutokana na hadhi na soko. Siku ambazo ziko slow unaweza kutoa offer 20, 25 kwa chumba?

Hio pesa ina include breakfast na vitu vingine vidogo kuongeza thamani?
Nashukuru Kwa Ushauri wako Mkuu

Nilifanya Idadi ndogo ya wateja 4 Kulala ili kuweza kukadiria Mapato ya Mwaka ambapo unatakiwa kufanya makadirio ya Chini.

Ili hata kama utakuwa umechukua Mikopo Benki uweze kujipima kama utaweza kulipa kulingana na riba watakayokuwa wamekupa.

Kuna kitu wanakiita Internal rate of return ambayo haitakiwi iwe ndogo kuliko riba ya Benki uliyochukulia Mikopo
 
Nashukuru Kwa Ushauri wako Mkuu

Nilifanya Idadi ndogo ya wateja 4 Kulala ili kuweza kukadiria Mapato ya Mwaka ambapo unatakiwa kufanya makadirio ya Chini.

Ili hata kama utakuwa umechukua Mikopo Benki uweze kujipima kama utaweza kulipa kulingana na riba watakayokuwa wamekupa.

Kuna kitu wanakiita Internal rate of return ambayo haitakiwi iwe ndogo kuliko riba ya Benki uliyochukulia Mikopo

Poa, kwa uzoefu wangu nimeona mikoa flani kupata logde ya maana ni shida, ikifika saa flani zote zimejaa. Kwahiyo ndio kusema kuna wateja wengi kuliko vyumba.

Nimeona pia wengine ukibook siku tano unapewa discount kidogo au ukipanga vyumba vingi as group siku moja.

Vingine ndani vina vitanda viwili, makochi, friji ndogo, breakfast nk. Hapo unachaji pesa nzuri.

Pia nimeona wengine uk-book inadvance kwa siku kadhaa bei inapungua.

Kuna mikakati mingi ya kuvutia wateja kama kuwa na generator, umeme usiokatika.

Nje kama una eneo unauza supu, nyama za kila aina, pombe, chakula, hata wapita njia na marafiki wa waliopanga, majirani wanakuja kula hapo.
 
Poa, kwa uzoefu wangu nimeona mikoa flani kupata logde ya maana ni shida, ikifika saa flani zote zimejaa. Kwahiyo ndio kusema kuna wateja wengi kuliko vyumba.

Nimeona pia wengine ukibook siku tano unapewa discount kidogo au ukipanga vyumba vingi as group siku moja.

Vingine ndani vina vitanda viwili, makochi, friji ndogo, breakfast nk. Hapo unachaji pesa nzuri.

Pia nimeona wengine uk-book inadvance kwa siku kadhaa bei inapungua.

Kuna mikakati mingi ya kuvutia wateja kama kuwa na generator, umeme usiokatika.
Shukrani Kwa kushea nasi uzoefu

Nimepata Madini kwaajili ya kuboresha biashara yangu pia ukiachana na Standby generator ambalo ninalo tangu awali
 
Back
Top Bottom