T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Kitu kingine, ongeza nguvu sana kwenye social media na marketing. Uzuri ni kwamba kila kitu ni kipya tumia fursa hiyo kujitangaza. Wabongo wengi wavivu na wanadharau nguvu ya mitandao, au wanawekeza kidogo sana. Mtu katumia 100M+ ukimwambia tia 1M kwenye social media anakataa wakati hela inakuja.
Ukitumia mtandao vizuri na ukawa na consistency utapata wateja wengi na badala ya hesabu ya vyumba vinne kati ya 10 ukajaza zaidi ya hapo. Weka na mfumo wa kujua vyumba vipo wazi au vimejaa, utaratibu wa kufanya booking mapema, hakikisha breakfast haikosi hii sio utani.
Nyumba ya wageni inayotegemea bodaboda na wenyeji wajitutumue ndio waingie haijawahi kuishinda inayotegemea wageni. Sasa wageni watakujua vipi. Imagine hapa nimesearch polyclinic nikapewa hizi options, fikiria mtu anaenda hiyo wilaya akatafuta lodge zilizopo akapewa hiyo kati ya machaguo ya kwanza
Ukitumia mtandao vizuri na ukawa na consistency utapata wateja wengi na badala ya hesabu ya vyumba vinne kati ya 10 ukajaza zaidi ya hapo. Weka na mfumo wa kujua vyumba vipo wazi au vimejaa, utaratibu wa kufanya booking mapema, hakikisha breakfast haikosi hii sio utani.
Nyumba ya wageni inayotegemea bodaboda na wenyeji wajitutumue ndio waingie haijawahi kuishinda inayotegemea wageni. Sasa wageni watakujua vipi. Imagine hapa nimesearch polyclinic nikapewa hizi options, fikiria mtu anaenda hiyo wilaya akatafuta lodge zilizopo akapewa hiyo kati ya machaguo ya kwanza