Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

Wee utakuwa unaishi ddm

VIP kuhusu apartment mnk Kuna apartment inalipwa 5000 kwa mwezi hspa ddm je hazilipi
Nitaifanyia utafiti hiyo biashara pamoja na Soko lake.

Nahisi ni biashara inayolipa kwenye Miji yenye Watalii/Wageni wengi ya Zanzibar/DSM na labda Arusha

Wabongo kulipia dollar 5,000 sio rahisi, hivyo lazima u-target foreigners
 
Kuhusu breakfast nakubaliana na wewe.

Mwaka Jana nilfikia lodge Fulani Iko mbeya mitaa ya mwanjelwa kama unaelekea isanga.

Iko katikati ya mtaa lakini mazingira wamejitahidi Kuya keep up.

Vyumba safi kabisa, maji ya kutosha. Breakfast Kila siku asubuhi.

Vitanda vizuri sana.

Wahudumu Wana lugha na ushirikiano mzuri.

Ilikuwa kipindi kile wasafi festival inafanyika mbeya.

Ziko room za 20,35 na 45

Japo Mimi nililala room ya 20 nilikuwa nakula breakfast canteen kwao wale 35 hadi 45 wanapeleke hadi room yaani room service.

Nilikaa pale siku 7 ,7Γ—20 ni 140k.

Na vyumba vilijaaa. Just imagine.
 
Nimekupata mkuu mawazo yako mazuri sana .
Kuna mada nimeziona kuhusu Airbnb nazo nazisoma Kwa kina kujifunza .
Kuna jamaa nimeona kabadili nyumba zake za kupanga kuwa lodge na anapata wateja . Nyumba zangu nzuri kulipo Kwa huyo mshkaji wangu
Kama una wiwa kubadiri Uwekezaji Fanya Mkuu, Soko la biashara ya nyumba za Kulala Wageni zenye quality and standards ni chache sana.

Mwaka 2027 tutakuwa Wenyeji wa mashindano ya AFCON na wenzetu Kenya na Uganda.

Hivyo itakuwa ni fursa Kwa biashara ya nyumba za Wageni/hotel pamoja na Chakula na gambe

Kwahiyo ni suala la kujipanga kuwekeza kwenye hayo maeneo
 
Nimeona pia Kuna mdau alichangia juu ya kutoa huduma za breakfast, Wi-Fi huduma ya Vinywaji na Chakula pia maana Kuna wateja wakisharudi room huwa hawataki kutoka nje Tena kwaajili ya kutafuta chakula na Vinywaji.

Ukipata wateja wa kukaa Siku 3 na kuendelea inakuwa safi sana kwenye Mapato wiki hiyo.
 
Tumia Wanawake kwenye hii biashara achana na wanaume
 
Nasikia biashara ya Lodge short time ndio inarudisha hela kuliko watu kulalaπŸ˜‚, ukiwa na mfanyakazi mwaminifu na eneo lako lipo mafichoni kidogo mbona unaula


Ila ndio hivyo tena, mambo ya ulimwengu hayo
 
Nasikia biashara ya Lodge short time ndio inarudisha hela kuliko watu kulalaπŸ˜‚, ukiwa na mfanyakazi mwaminifu na eneo lako lipo mafichoni kidogo mbona unaula


Ila ndio hivyo tena, mambo ya ulimwengu hayo
Short time itaharibu biashara maana Lodge inakuwa kama danguro tu.

Kama una lengo la hivyo Jenga Guest house ya kawaida then weka bei reasonable ya 10,000 ukiweza Jenga Vyumba 15 hadi 20

Baada ya Mwaka unarudisha hela Yako yote ya Mtaji
 
Shukrani Mkuu πŸ™ πŸ™
Mimi nafikiria kufungua danguro kama yule jamaa wa Riverside

Malaya wanamlipa nadhani kwa siku 5,000 ana vyumba kama 20 hivi

Na kuna chumba utakuta malaya hata 3 wanashare kwa hiyo jumla analipwa 15,000

Tuseme tu kila chumba malaya 1 ina maana 5000Γ— vyumba 20= 100,000

Uzuri wa malaya wako kazini kila siku

100,000Γ—365=36,500,000

Meneja ukilimpa 450,000 si haba ukitoa na gharama nyingine za uendeshaji kama umeme, maji, maintenance hukosi kitu

Nafikiria maeneo yenye migodi ya wachimba madini kama Chunya, Mererani na Geita inaweza kulipa au miji mikubwa ya Tanzania
 
Hahaa hawa ndio maana wengine wanajengea vitanda vya tofali
Hawathamini hela mwenzao niliyoweka bado hata haijarudi

Utasikia humo ndani ndii ndii ndii ....

Hawajui mimba inaweza kuingia hata kama umepiga shuti la sekunde 15

Back to topic hawa wanafanya maintenance cost kuwa kubwa hence hugely Depreciation πŸ₯²
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…