Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Hongera sana mkuu aisee . I am so inspired.
 
Asante sana mkuu
 
Umasikini mbaya sana.( Torono enkokishu)
Kutumia pesa kizembe ni umasikini pia..

Huwezi kuniita Mimi masikini kwa sababu nimeamua kuachana na mwanamke anae taka nimuhonge milioni moja kwa mwezi na kwenda ku settle na mwanamke ambae matumizi yake ni laki moja kwa mwezi...

Hiyo ni busara na sio umasikini
 
Naheshimu maamuzi yako, Fanya uwafundishe mwenyewe mkuu uta save Muda na pesa.
 
Dunia nzima matajiri wenye lengo la uendelezaji wa mali lazima wasomeshe kwenye shule kubwa na za ghali ili kujenga connection.

Matajiri wote Tz watoto wao wapo IST, hapo hutamkosa mtoto wa MO, GSM, Azam, Cello, Camel
 
Maneno kama ya mwanamke shangingi. Huu Uzi ni wanaume wanao tafuta hela na ambao wana jua ugumu wa hela. Wewe unakaa kwa shemeji huwezi elewa chochote
Mbona matusi jomba? Kama huna hela usijilazimishe kuingia gharama zilizo juu ya uwezo wako. Halafu kama ni hela hata wanawake wanazitafuta. Kuna wanawake kibao wanakuzidi uwezo wewe na ukoo wako combined. Acha matusi ya kingese jomba.
 
Dunia nzima matajiri wenye lengo la uendelezaji wa mali lazima wasomeshe kwenye shule kubwa na za ghali ili kujenga connection.

Matajiri wote Tz watoto wao wapo IST, hapo hutamkosa mtoto wa MO, GSM, Azam, Cello, Camel
Umesema IST . IST huwezi kufananisha na hizi English Medium zetu za kufundishwa na walimu walio soma kayumba akina Teacher Kaju ( Kajunjumele)..

Hizi English Medium ni Kayumba zilizo changamka
 
Ila hii nchi bado ina watu wajinga mno.
 
Top 10 st kayumba ni wa mwisho private school. Halafu mtoto anakuwa top 10 na D zote halafu unajisifia anawaburuza wenzie? Ni CCM au watu wenye mawazo ya ki-CCM tu wanaothubutu kusifia ujinga
acha kuleta mambo ya vyama kwenye mada isiyo ya kisiasa. Kuna shule nyingi tu za serikali ziko vizuri. Ilboru, Kibaha, Tabora, Mzumbe, Kilakala, Msalato na nyinginezo.
 
Umesema IST . IST huwezi kufananisha na hizi English Medium zetu za kufundishwa na walimu walio soma kayumba akina Teacher Kaju ( Kajunjumele)..

Hizi English Medium ni Kayumba zilizo changamka
Binafsi English Medium ninayo ikubali ni Feza sababu hawana Tuition wala kukaririsha watoto, likizo watoto wanaenda kama kawaida.

Kama una pesa bora umpeleke mtoto hata Agakhan Primary, Secondary na IB
Maama gharama za jumla hadi anamaliza IB hazitafika Milioni 200 kwa miaka 13
 
Ndugu yangu nakuunga mkono ila watu bado wanakazana kujifanya hawaelewi ila urithi wa nyumba unaharibu vijana.
 
Wewe jamaa kwanini unatetea umaskini?
 
Uharisia = uhalisia. Wewe ni maskini na fukara naona unajifariji.
 
upo sawa watoto wangu wa kwanza na wapili kayumba mpaka chuo kikuu. wa tatu mwezi huu form 5 kayumba huko huko.. wa nne yupo la 7 anamaliza muda mfupi ujao maendeleo yake sio mabaya na inshallah atafaulu. huko medium sitaki hata kusikia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…