LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Wewe upo zaidi kwenye matokeo na sio elimu bora ya uhalisia wa maishaSawa, nitajie shule inayotoza ada hiyo halafu ukakuta kuna mtoto ana average D kushuka chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe upo zaidi kwenye matokeo na sio elimu bora ya uhalisia wa maishaSawa, nitajie shule inayotoza ada hiyo halafu ukakuta kuna mtoto ana average D kushuka chini
[emoji2][emoji2][emoji2]dahMi mwakani nawatoa kwenye school bus watembee. Huko mbele ndo tutahamia kayumba ss
Una mke brooo ..asikuambie Mtu hongera SanaToka mke wangu amenishauri kuwaondoa huko na kuja st. Kayumba akili za watoto zimekuwa fire mmoja anaongoza na mwinine hakosi top 10. Watoti wamekuwa ngangali tofauti na mwanzo. Na sijawahi juta kwa uamuzi huu!
Yes angalau sio hizi za leo yani mtoto afundishwa English kwa kiswahili.Ila english medium za siku hizi michosho sana kipindi zinaanza st marys green acres academic etc walimu wengi walikuwa ni wakenya kidogo ilikuwa angalau 😄
I would prefer Bunju over mvuti. Ngoja nifatilie mkuu nipate hata cha 1.5M nitoe uoga.Vipo mpk 800k wewe tu unataka ukae wapi bunju au mvuti
NakaziaUna mke brooo ..asikuambie Mtu hongera Sana
Wanawake Ndo tunaongoza kulazimisha watoto waende English Medium na Kununa juu plus kushindana Yaani na ufakhari wa kushuka kwenye school bus
Hongera sana mkuuI would prefer Bunju over mvuti. Ngoja nifatilie mkuu nipate hata cha 1.5M nitoe uoga.
Na hii ni hadi chuo bruh 😄😆 kingereza kwa kiswahiliYes angalau sio hizi za leo yani mtoto afundishwa English kwa kiswahili.
"Watoto leo tunajifunza kuhusu tense.
Zipo tense za aina tatu. Kuna past tense, present tense na future tense"
Ndo nikalipe milioni hivi kweli? Tuheshimiane tafadhali
Safi sana . Nyie ndio wanawake mnaojitambuaNgoja uje upingwe kabuni yangu Primary Kayumba Sec private kwa kua watoto wangu wa kike na Niko busy kidogo na maisha advance boarding Gvt Inshaa Allah..
Na mwanangu std 7 alipata A ,ameenda huko seminary anaburuza akiwaambia ametoka Kayumba hawaamini,haka kadogo Nako nakaandaa na Kingereza kakifika std 6 naanza kukaprooni vzr Ili kaweze kufaulu vzr na kakapambane huko Kwa masista
Lengo ajue tu Kingereza maana huku Kayumba Secondary kama mtoto mzembe hatoboi na kama mzazi uko busy ni changamoto (kunahitaji uangalizi na ushirkiano mkubwa kati ya mzazi ,mwl na mtoto)
Umasikini ni mbaya sana, unadhalilisha mnona jirani akila vizuri unaona analinga..unaacha na kumsalimia..
Ila tofautisha wahindi na wabongo, mhindi anaishi juu chini ana biashara kwa hiyo mtoto anaanza kumsadia baba yake biashara angali mdogo na anajua jinsi ya kuongea na wateja. Angalia mbongo anaishi bunju biahara gerezani karikoo ukiona amefika kwenye hiyo biashara ujue kuna shida ya mhimu hata kama utamuandalia biashara gani ni hakika itamshinda .Kuwajengea nyumba ni Investment? Wewe akili huna.Ungesema unawaanzishia biashara ungeeeleweka .Nyumba na viwanja vyako vya kipuuzi vitawasaidia nini?
Wahindi maisha yao wanapanga wanadomesha watoto.best schools na watoto wao wana maisha mazuri mno.pamoja na watoto wao hawaishi uswahilini wanaishi katikati ya miji maisha mazuri mno wote wazazi na watoto kuliko wewe mwenye viwanja vya hovyo nje ya mji huko uswahilini
Nyumba na viwanja.navyo ni vitu vya kujivunia kuwa ume sacrifice watoto wasome Kayumba kisa ubaki na vihela koko vya kuwajengea nyumba na kuwanunulia viwanja koko nje ya mji huko uswahilini?
Wewe akili zimo kichwani kweli?
Unaelewa maana ya sacrifice?
kuna shule zinaongoza kwa mambo hayo zaidi ya za English medium? Hadi kufundishww wanafundishwaUwakague na marinda kila walorudi
Hela ukishakuwa nayo unatakiwa kuitumia kwa nidhamuTAFUTA HELA.
Ni kweli,ila tafuta hela. Uepuke kuwachanganya watoto.Hela ukishakuwa nayo unatakiwa kuitumia kwa nidhamu
Hela imekauka [emoji23][emoji23][emoji23]Ukiusoma huu uzi unaweza kudata
Nimekuelewa mzee..... Dagaa nyama au sio?Hata mimi kipato kilipokata nikatoka kwenye steki na soseji nikaingia kwenye dagaa wale wanaokaangwa barabarani, nikawasifu sana kwa utamu wake na ubora wake kwa kurumangia dona.