Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Toka mke wangu amenishauri kuwaondoa huko na kuja st. Kayumba akili za watoto zimekuwa fire mmoja anaongoza na mwinine hakosi top 10. Watoti wamekuwa ngangali tofauti na mwanzo. Na sijawahi juta kwa uamuzi huu!
Una mke brooo ..asikuambie Mtu hongera Sana
Wanawake Ndo tunaongoza kulazimisha watoto waende English Medium na Kununa juu plus kushindana Yaani na ufakhari wa kushuka kwenye school bus
 
Ila english medium za siku hizi michosho sana kipindi zinaanza st marys green acres academic etc walimu wengi walikuwa ni wakenya kidogo ilikuwa angalau 😄
Yes angalau sio hizi za leo yani mtoto afundishwa English kwa kiswahili.

"Watoto leo tunajifunza kuhusu tense.
Zipo tense za aina tatu. Kuna past tense, present tense na future tense"
Ndo nikalipe milioni hivi kweli? Tuheshimiane tafadhali
 
Una mke brooo ..asikuambie Mtu hongera Sana
Wanawake Ndo tunaongoza kulazimisha watoto waende English Medium na Kununa juu plus kushindana Yaani na ufakhari wa kushuka kwenye school bus
Nakazia
 
Yes angalau sio hizi za leo yani mtoto afundishwa English kwa kiswahili.

"Watoto leo tunajifunza kuhusu tense.
Zipo tense za aina tatu. Kuna past tense, present tense na future tense"
Ndo nikalipe milioni hivi kweli? Tuheshimiane tafadhali
Na hii ni hadi chuo bruh 😄😆 kingereza kwa kiswahili
English medium zimepata nguvu kutokana na kutokuwa na mazingira mazuri kwa shule za serikali wakirekebisha hilo tu wengi watazikimbia
 
Ngoja uje upingwe kabuni yangu Primary Kayumba Sec private kwa kua watoto wangu wa kike na Niko busy kidogo na maisha advance boarding Gvt Inshaa Allah..
Na mwanangu std 7 alipata A ,ameenda huko seminary anaburuza akiwaambia ametoka Kayumba hawaamini,haka kadogo Nako nakaandaa na Kingereza kakifika std 6 naanza kukaprooni vzr Ili kaweze kufaulu vzr na kakapambane huko Kwa masista
Lengo ajue tu Kingereza maana huku Kayumba Secondary kama mtoto mzembe hatoboi na kama mzazi uko busy ni changamoto (kunahitaji uangalizi na ushirkiano mkubwa kati ya mzazi ,mwl na mtoto)
Safi sana . Nyie ndio wanawake mnaojitambua
 
Kuwajengea nyumba ni Investment? Wewe akili huna.Ungesema unawaanzishia biashara ungeeeleweka .Nyumba na viwanja vyako vya kipuuzi vitawasaidia nini?

Wahindi maisha yao wanapanga wanadomesha watoto.best schools na watoto wao wana maisha mazuri mno.pamoja na watoto wao hawaishi uswahilini wanaishi katikati ya miji maisha mazuri mno wote wazazi na watoto kuliko wewe mwenye viwanja vya hovyo nje ya mji huko uswahilini

Nyumba na viwanja.navyo ni vitu vya kujivunia kuwa ume sacrifice watoto wasome Kayumba kisa ubaki na vihela koko vya kuwajengea nyumba na kuwanunulia viwanja koko nje ya mji huko uswahilini?

Wewe akili zimo kichwani kweli?
Unaelewa maana ya sacrifice?
Ila tofautisha wahindi na wabongo, mhindi anaishi juu chini ana biashara kwa hiyo mtoto anaanza kumsadia baba yake biashara angali mdogo na anajua jinsi ya kuongea na wateja. Angalia mbongo anaishi bunju biahara gerezani karikoo ukiona amefika kwenye hiyo biashara ujue kuna shida ya mhimu hata kama utamuandalia biashara gani ni hakika itamshinda .

Cha msingi ni kwamba tuondakane na huu ujina wa watoto kusoma muda wote hata wakati wa likizo .

Mwachie biashara asimamie mpaka likizo iishe arudi shule sio kila siku tuition
 
Back
Top Bottom