LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Wewe una miliki billion ngapi mkuu?Masikini wakijipa moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una miliki billion ngapi mkuu?Masikini wakijipa moyo
Nimekuwa ndio nimekuja kugundua kuna watu walikuwa wanalipa adaShida inapokuja unataka kuishi kama tajiri wakati ni masikini. Una fake maisha.
Shule za wenye hela, na wewe unapata vihela vihela unataka upeleke shule ya wenye hela matokeo yake unaishia kwenye madeni na kuwarudisha nyumbani.
Kuna watoto wazazi wao wanasowasomesha Fedha boys, akimaliza anaenda kusoma chuo nje ya nchi.
Tusifake maisha, ishi kwa uhalisia wako. Ukimpeleka za wenye hela lazima siku moja uumbuke.
Usijifariji kwasababu umepata faida, sema hauna hela. Kuna watu watoto wao wako kwenye shule za hela, na maendeleo anafanya na hakopi wala hawawezi ada. Amini hilo
Waajiriwa hawa, ambao ata kwenye forbes hawajulikaniWewe una miliki billion ngapi mkuu?
umepiga ikulu,,ingawa umaskini mbaya sana...Tatizo ni umasikini
Ukiwa masikini unaweza ona kula vizuri ni vibayaumepiga ikulu,,ingawa umaskini mbaya sana...
Hebu tuchangie kidogo, unamsomesha mtoto English Medium kuanzia chekechea mpaka form six, vyuo vikuu bora kwa sasa nchini mwetu ni vya serikali vikiongozwa na UDSM. Chuoni fani za kusoma kwa mfano ni MD(udaktari wa binadamu), Sheria, Uhasibu, Uhandisi, Uchumi, Sayansi ya kompyuta, ufamasia, udaktari wa mifugo, kilimo n.k Fani zote hizi kila moja ina lugha yake, vile vikiingereza vya kawaida havipo tena kule. Kimsingi kiingereza cha kawaida kinaishia shule ya msingi, baada ya hapo Physics ina lugha yake, Chemistry, Biology, Mathematics hali kadhalika. Mimi sioni mchango wa kiingereza kivile. Cha msingi hiyo shule ya serikali ifundishe vizuri. Shule km Mzumbe, Tabora boys and girls, Kibaha, Masalato, n.k ni shule nzuri sana. Cha maana serikali iboreshe shule zake, iwalipe walimu vizuri na kuwapatia motisha mbalimbali hakuna haja ya kulipa milioni nzima eti ada ya chekechea. Elimu ni mtu mwenyewe km ana nia. Unaenda kusoma computer science/engineering hivyo vikiingereza vyako unavipeleka wapi, kule ni code na logic. Hata vichaa kule kwao uingereza wanaongea kiingereza
na jirani akila vizuri unaona analinga..unaacha na kumsalimia..Ukiwa masikini unaweza ona kula vizuri ni vibaya
sasa upambane kutafuta za nini kama hutaki zitumike kwa wanao,ukifa mashamba na majumba watanyanga'nywa na baba wadogo,warithishe kitu ambacho hawawezi nyang'anywa.acha uwoga wa maisha...
Hizi ni kauli za kujaribu kubalance tu mabaya na mazuri. Lakini ukweli unabaki, huwezi kupata elimu bora katika shule ambayo mwalimu hana cha kupotezaUko sahih watoto wengi pia was level za English medium wengi wankuwa wanalaini sna na hawajui hesabu wengi ,wengi Ni vilaza wa hesabu mno
Si kweli. Hakuna shule inayotoza gharama hizo ukaikuta hata na division three mojaWatanzania mnapenda sana kupigwa aisee. Yani nikatoe milioni 4 ili mtoto wangu afundishwe A for Apple? Mwisho wa siku Hesabu sifuri sayansi ila anajua tu KIINGEREZA cha kubabaisha.
Shule za Msingi mkuu sio sekonndariSi kweli. Hakuna shule inayotoza gharama hizo ukaikuta hata na division three moja
Unachanganya elimu bora na matokeo mazuri kwenye mitihani ya mwisho.Hizi ni kauli za kujaribu kubalance tu mabaya na mazuri. Lakini ukweli unabaki, huwezi kupata elimu bora katika shule ambayo mwalimu hana cha kupoteza
🤣🤣🤣🤣Waajiriwa hawa, ambao ata kwenye forbes hawajulikani
Sawa, nitajie shule inayotoza ada hiyo halafu ukakuta kuna mtoto ana average D kushuka chiniShule za Msingi mkuu sio sekonndari
Ila english medium za siku hizi michosho sana kipindi zinaanza st marys green acres academic etc walimu wengi walikuwa ni wakenya kidogo ilikuwa angalau 😄Mimi English Medium kama haimilikiwi na Mzungu ( Mmarekani, mwingereza au Mu Australia) sipeleki mtoto wangu n'go.
Yani mtoto wangu afundishwe kwa KIINGEREZA na mtu ambae lugha yake ya mawasiliano kila siku ni kiswahili?
Endeleeni kupigwa mkuu.
Wajinga ndio waliwao
Vipo mpk 800k wewe tu unataka ukae wapi bunju au mvutiKumbe Dar es salaam kuna viwanja vya laki tisa?.
Tunakunywa bia kila siku tukijua viwanja ni mamilioni