Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Kweli wanaume tumeumbwa mateso ,nikifikiria unajinyima ili madogo wapige kitabu lahaula unasikia tetesi madogo sio watoto wako umesingiziwa
 
Kwa mnaosomesha watoto private schools, muwe mnawawekea watoto wenu akiba benki kila mwezi kutoka kipato chako.
Pesa hiyo itamsaidia sana mtoto wako kulipa karo na kukuondolea msongo wa mawazo hata kama umeyumba kiuchumi.
Kuna akina mama nitilie wanaoishi chumba kimoja wanasomesha watoto English medium kwa Vikoba ukimuuliza kwa nini anakwambia mwingine anasema mimi sitaki mwanangu wa kike aje kuolewa kama mimi asiyejua neno hata moja la kingereza msumbufu huyu tulisoma wote kayumba

Nampeleka mwanangu huko English Medium aweza.kutana na mwanaume wa kueleweka waliyesoma wote kuliko.hawa waswahili wa kayumba

Anakwambia wengi huoa au kuolewa na wale walisoma wote kama ulisoma Kayumba uwezekano mkubwa kupata msoma Kayumba mwenzio mkubwa sitaki.Changamoto nimepitia zinatosha.Kayumba wasumbufu uelewa mdogo
 
Toka mke wangu amenishauri kuwaondoa huko na kuja st. Kayumba akili za watoto zimekuwa fire mmoja anaongoza na mwinine hakosi top 10. Watoti wamekuwa ngangali tofauti na mwanzo. Na sijawahi juta kwa uamuzi huu!
Inawezekana wanaongoza sbb huko walipotoka walikua wanafundishwa sasa wamewekwa na wenzao vilaza hawafundishwi vizuri lazima wawaburuze.
Wakisoma hapo mwaka then ukawarudisha ulipowatoa utashangaa wanakua wa mwisho.
 
Nazishukuru shule za kulipia bila hivyo maisha kwangu yange kuwa magumu zaidi na sidhani kama wangevuka kidato cha nne.Nikikuta mtoto hajafaulu ninavyotaka nafoka kweli, hiyo huduma hauwezi kuipata st.kayumba.Na vyote unafanya, nyumba na kusomesha usafiri juu, maisha yanasonga, nyumba na viwaja ni vya nini kama kama mtoto hana elimu niipendayo?
The true education is the one which can help u :
1. To acquire power

2. To mention power

3. To protect power.

Hizo nyingine zote ni blah blah tu
 
Si bora hata kunuka.
Vitu watoto wanafanyiana huko vyooni utalia.
Huko private ndio wanabokoana sana..Yani sana tu..Yani sanaaa...lakini kama ni English medium awe anaenda na kurudi...maana ziko shule nyingi zina kamera kila sehemu...ila mtoto akikaa bweni..muandalie tu connection ya kina juma lokole
 
Inawezekana wanaongoza sbb huko walipotoka walikua wanafundishwa sasa wamewekwa na wenzao vilaza hawafundishwi vizuri lazima wawaburuze.
Wakisoma hapo mwaka then ukawarudisha ulipowatoa utashangaa wanakua wa mwisho.
Top 10 st kayumba ni wa mwisho private school. Halafu mtoto anakuwa top 10 na D zote halafu unajisifia anawaburuza wenzie? Ni CCM au watu wenye mawazo ya ki-CCM tu wanaothubutu kusifia ujinga
 
Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete walisoma silabasi ya uingereza na mitihani ilitoka Kembriji, ilisahihishwa Kembriji na matokeo yalitokea Kembriji.
Ila yule msanii mpigangoma na mjuaji wa kila lugha ni zao la UPE.
UPE ni nini mkuu?
 
Huko private ndio wanabokoana sana..Yani sana tu..Yani sanaaa...lakini kama ni English medium awe anaenda na kurudi...maana ziko shule nyingi zina kamera kila sehemu...ila mtoto akikaa bweni..muandalie tu connection ya kina juma lokole
Kila mzazi hufanya utafiti kabla kujua mtoto ampeleke wapi usi generalise

Kuna shule ziko strict acha kabisa huo ujinga haupo uko shule za bweni za Serikali ambako hakuna udhibiti kabisa watoto.hadi wana simu na hakuna anayejali

Private nyingi mtoto.akikutwa na simu.tu anafunkuzwa shule

Day mzazi anasema ohh mimi.mwanangu lazima awe na simu akikwama usafiri.au kuna shida lazima awe na mawasiliano kumbe umempa simu.ya kuwasiliana na.mahawara na usiku kucha ana chat chumbani na.kuangalia video za ngono. Hadi anasahau kufanya homework .Usiku kucha ku chat na kuangalia video za ngono

Usiwaone wajinga wazazi wanapeleka watoto bweni kimoja wanakwepa matumizii ya simu.Hata usipomnunulia atanunuliwa na mahawara usiku akiingia chumbani mawasiliano yanaanza na kuangalia video za ngono kunaanza.

Mwisho wa siku matokeo yanakuwa mabaya ya mtihani
 
Hizo zote mbwembwe, all in all mpeleke mtoto kulingana na uwezo wako akapate elimu bora. Ni mzazi mpumbavu pekeake atampeleka mtoto wake kayumba kwa kuzingatia concepts zako ilhali anauhakika wa kuingiza 100M per year.

Ingawa zipo shule za serikali zinazojielewa, kipindi chetu pale Mbuyuni na Oysterbay primary school ilikua kawaida kusoma na watoto wa viongozi na wote mnawahi namba na kufagia.
 
Baba wenyewe wa watoto wa st Kayumba ndio nyie mnawaza haya maujinga?

Haikusaidii chochote kukashifu watoto wa wenye nazo ila ukweli ni wewe ni masikini unatamani mwanao afatwe na yellow bus kama wa jirani yako ila ndo hivyo yeye tajiri wewe ni choka mbaya na wanao lazima waende shule za watoto wenye wazazi choka mbaya.
Acha kukashifu watoto kisa umasikini wako.

Ukute mwanao anashikishwa ukuta kila siku chooni huko Kayumba unakojifariji nako ila ndani ya moyo unajua kabisa huko hapafai.
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha makasiriko tajiri wa JF
 
Huko private ndio wanabokoana sana..Yani sana tu..Yani sanaaa...lakini kama ni English medium awe anaenda na kurudi...maana ziko shule nyingi zina kamera kila sehemu...ila mtoto akikaa bweni..muandalie tu connection ya kina juma lokole
Nakubali hayo mambo yako kila mahali ila bado Kayumba sio rafiki wala salama kwa mtoto.

Infact,kama haki za watoto zinafuatwa,hakuna mtoto anapaswa kuwa huko.Hapafai
 
Back
Top Bottom