Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Wala hainiumi,mie Ni kilaza mmoja mzuri,kukosea is part of human being none is perfect, unadhani labda eti najaribu kujitetea kwa kukosea. Ila lengo langu Ni kuwa Kama mtu Ana uwezo wa kujifunza kitu anajifunza haijalishi kuwa yupo. Kwanza lazima uwe proud na kukosea ama kufeli Mana aliyejaribu na akafeli sio sawa sawa na ambaye hajajaribu. Kwanza wanangu Wana encourage mno wawe proud kufanya mistakes later Wana analyse why they did mistakes. Katika maisha mistakes,kuanguka,kufeli,kufiliska, biashara fulani imebuma,yaani life or so called success is constant falling down and stand up ,fall down seven times wakes up eight times.
I don't entertain perfectionism katika kizazi changu. Bali nawaambiwa wawe bold kufanya mistakes na kujaribu kila kitu yaani washinde Ile aibu ya kuwa mie nimekosea,ama nitaonekana mjinga. One Chinese proverb " the one who asks the quesTion is the stupid for one second but the one who never asks is the full for lifetime.
Yaani elewa mie Ni kilaza mmoja mzuri mkuu,hayo niliyoyandika Kama kuelimisha jamii kwanza sio Mimi Sasa kwa taarifa yako. Kwanza mie napenda wanaonionyesha my weakness all the time ndio marafiki zangu Mana wananifanya na grow,thrive, survive and prosper.
Mie kwanza nimeishia fomu Foo nikapata zero nikapata cheti nikashindwa kuchukua diploma.

Yaani mie Ni kilaza tu Basi,naomba uwe na amani
 
Tangu nijiunge JF sijawahi kuona thread ya kipumbavu kama hii.
 
Unajidanganya, umedanganywa na umedanganyika zaidi.

Shule za serikali sio tu kwamba mtoto hatojua lugha pia ataenda kujazwa ujinga. Hao walimu ni nadra sana kuingia darasani wanachojali wao kuwakamua watoto pesa za twisheni kilazima.

Kama tu watoto wanahitimu mpaka darasa la saba ila kusoma na kuandika hawajui je kuna maarifa mengine watakuwa wameyapata kama kusoma tu imekuwa mbinde?

Kaa na wanafunzi wanaosoma Kayumba uwasikilize maongezi Yao na usafi wao wa mwili na mavazi kiujumla halafu kakae na wanafunzi wanaosoma shule binafsi kisha na wao uwasikilize maongezi yao na utazame usafi wao wa mwili na mavazi.
 
Uko sahih watoto wengi pia wa level za English medium wengi wanakuwa walaini sana na hawajui hesabu wengi, wengi ni vilaza wa hesabu mno
Unajidanganya.

Wanafunzi wa Kayumba somo angalau wanajitahidi kufaulu ni kiswahili ikizidi sana maarifa ya jamii na sayansi.

Ukija kwenye somo la hisabati na kiingereza wanaangukia pua sana.
 
Kuna kupotea kimaadili pia suala la usafi wanafunzi wa Kayumba kwao ni zero kabisa.
 
Toka mke wangu amenishauri kuwaondoa huko na kuja st. Kayumba akili za watoto zimekuwa fire mmoja anaongoza na mwinine hakosi top 10. Watoti wamekuwa ngangali tofauti na mwanzo. Na sijawahi juta kwa uamuzi huu!
Anaongoza kundi la wajinga😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Upo sahihi kabisa mkuu
 
Ni juzi tu mjukuu wa Azam kaoa, picha waliyoitoa alipiga Yeye, Mtoto wa MO, GSM na mwingine hatumjui, na wote wamesoma shule moja IST
Kufikiri kwamba ukisoma shule ya kishua utapata connection na watoto wa kishua ni sawa na kuamini kwamba ukienda kwenye bar ya kishua wanakouza bia elfu kumi basi wale washua wanao kunywa kwenye hiyo bar watakuwa rafiki zako kwa sababu unakunywa nao bar moja wakati wenzako wanakuona mwizi tu.

Wakishua wanawadharau sana watoto wa kimasikini. Na hawapendi kuchangamana nao.

Mfano mzuri ni pale Shaaban Roberts, ngozi nyeusi wana baguliwa sana. Sio wanafunzi tu bali hata walimu. The same as Agha Khan.

Hata USA ndivyo inavyo kuwaga mara nyingi. Mtoto mweusi akipelekwa kwenye shule ya wazungu tu atabaguliwa mpaka maka.

Kuna mitaa mingine Marekani akihamia mtu mweusi hata mmoja wazungu wanauza nyumba zao wanahamia mitaa mingine.

Njoo kwenye mpira, Konde Boy kaenda Ahly hapo kaishia kubaguliwa kwa sababu anatoka nchi ya kimasikini.


Ukiwa mtoto wa kimasikini ukaenda shule ya kishua, kampani yako watakuwa masikini wenzako tu wanao soma kwenye shule hiyo ambao wazazi wao "wamejibana" wameuza mashamba ili kuwaonyeshea walimwengu kwamba wanaweza kumudu gharama za shule ghali. Huwezi kuupinga huu ukweli.

Jiulize Mtaani kwenu kuna matajiri wangapi? Are they ur friends . Wamesha connection ngapi za maana ?
 
Sahihi kabisa mkuu
 
Unamshaurije mwanajf mwenzetu, sababu hata si tuliosoma kayumba, kwenda seko tulikuwa tunakimbia morning talk, na debaite,/seko nikapelekwa ya private bwana we tulipelekwa hasa, japo imenisaidia kwa kiasi fulani.
Cha kumshauri atafute pesa.

Ukiwa maskini hata uwezo wa kufikiri unapungua.
 
Ukiwa mtoto wa kimasikini ukaenda shule ya kishua, kampani yako watakuwa masikini wenzako tu ambao wazazi wao wameuza mashamba ili kuwaonyeshea walimwengu kwamba wanaweza kumudu gharama za shule ghali. Huwezi kuupinga huu ukweli.
Ndio maana kuna mdau mmoja nikamwambia peleka mtt huko ukiwa na uwezo na kwasabb ya mazingira mazuri ya kujisomea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…