Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Puberty hata private anaharibika tu. Hyo ni akili yake atapokea vp hyo stage
Yes kweli halafu kama kuharibikiwa puberty huwa haichagui haibagui. Awe kayumba awe English Medium wote inazoa.
 
Una kitu, usikilizwe
 
Msisahau pia kila mtu ana destiny yake kwenye maisha bila kujali alisoma wapi. Mfano Paula Kajala alisoma English Medium kuanzia darasa la kwanza hadi la 7 then akaenda Tusiime form one hadi Six. Now look at what she is doing. Hicho anacho kifanya ndicho ambacho kilimpeleka shule?
 
Mziki uko sekondari

Akikutana na masomo.kingereza kitupu atadorora hata kama msingi alikuwa mzuri sana matokeo ya form.four lazima atachemka labda awe vipaji maalum
ni kweli lakini niliposema akiwa mna msingi mzuri kuanzia std1-7 nilimanisha asome hizi shule za kingereza ...badae mpeleke shule za serikali zinazo jielewa mfano kunashule maja inaitwa URU sekondari ya kayumba lakini ni kiboko kwa kiasi chake kwani matokeo yake mwaka jana hakuna 4 wa 0..ipo huko kilimanjaro na hilo darasa lilikua na zaidi ya watoto 130
 
Mipango siyo matumizi. Unaweza kutunza na mwisho wa siku ukaishia kuusikia tu utajiri.
 
Muache kayumba mtafutie mwalimu wa English Medium amfundishe kiingereza
 
Sahihi
 
Shule sio kwenda kusoma tu pia unatengeneza network kwa mtoto wako, shule nliyo soma mimi imenisaidia ku interact na watoto wa watu wenye nafasi serikakalini na wafanya biashara kupitia ma classmates zangu kuna vitu hua sipati shida sababu nna walamba asali wananipa backup

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 

Kama una kitu ndani yako connection itakufuata mahali popote utakapo kuwa. Kuna watu wana pata connection hapa hapa jf.
 
Kuwa na hela sio sababu ya kuitumia kizembe dada ake. Hela lazima uiheshimu pia.
kuna mtu mmoja aliwahi kusema " if you dont get serious with ur money, u will never get serious money " wabongo wamekariri wanadhani ukiwa na pesa lazima uzitumie bila mpangilio " kutapanya".

Kwa mfano kama kuna bidhaa naweza kuipata kariakoo kwanini nihangaike kulipa mamilioni ya shilingi kusafiri kwenda China kununua bidhaa hiyo hiyo ambayo naweza kuipata nikiwa kariakoo.

Kwanini nilipe milioni 4 kwa mwaka kwa ajili ya mtoto wangu kusoma English course ( of course English Mediums ni English course zilizo changamka. )
Wakati anaweza kusoma kayumba nikamtafutia walimu wa Tuition wakamfundisha kiingereza kama somo?
 
Kuwa na hela sio sababu ya kuitumia kizembe dada ake. Hela lazima uiheshimu pia.

Ukishasema kutumia kizembe hasa inapokuja swala la Elimu ni kwamba hauna hela.
Tafuta hela itosheleze mahitaji siyo ujibane bane ili mahitaji yafit kwenye hela [emoji23][emoji23]
 
Kuwa na hela sio sababu ya kuitumia kizembe dada ake. Hela lazima uiheshimu pia.

Ukishasema kutumia kizembe hasa inapokuja swala la Elimu ni kwamba hauna hela.
Tafuta hela itosheleze mahitaji siyo ujibane bane ili mahitaji yafit kwenye hela [emoji23][emoji23]
 
Ukishasema kutumia kizembe hasa inapokuja swala la Elimu ni kwamba hauna hela.
Tafuta hela itosheleze mahitaji siyo ujibane bane ili mahitaji yafit kwenye hela [emoji23][emoji23]
Wewe hujamuelewa mtoa mada. Mtoa mada anacho kisema ni kwamba usitumie pesa nyingi kugharimia bidhaa ambayo unaweza kuipata kwa bei ya chini ya hapo kisa una hela. ( Hata ubepari unafundisha hivyo, minimize cost to maximize profit.)


Kwa mfano hakuna sababu yoyote ile kutoa milioni nne na ushee kwa mwaka ili mtoto wako ajifunze kiingereza kituo cha English course kilicho changamka( English Mediums school) wakati unaweza kumpeleka shule ya kayumba halafu ukamtafutia mwalimu mzuri wa kiingereza ikiwezekana anae fundisha huko huko English Medium akawa anamfundisha tuition ya KIINGEREZA kwa kutumia vitabu vile wanavyo tumia hao wanao soma shule za KIINGEREZA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…