Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete walisoma silabasi ya uingereza na mitihani ilitoka Kembriji, ilisahihishwa Kembriji na matokeo yalitokea Kembriji.
Ila yule msanii mpigangoma na mjuaji wa kila lugha ni zao la UPE.

Marehemu hasemwi [emoji16]
 
Fanya kitu kulingana na uwezo wako. Pia calculate risks kabla ya kufanya kitu chochote. Jiulize mpango wako wa fedha ukoje kwa miaka 7 ijayo ya mwanao huko English medium. Ukiona huelewi peleka St Kayumba. Kusema kwamba English Medium wanatoa watoto mayai ni zile stori za sizitaki mbichi hizi...

Bitter truth [emoji419]🪓
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] ptoooh mbaka. Nimewakumbuka wazee wa boom. Hivi bado serikali inawakaba? Maana kumepoa kweli sasa hv.

Ukabe watu wasioweza kukulipa 😁😁

Lakini kuondoa ile penalty naona imetoa unafuu
 
Ukabe watu wasioweza kukulipa [emoji16][emoji16]

Lakini kuondoa ile penalty naona imetoa unafuu
Huwa wanatia huruma jamani.
Ila jiwe aliwakosea sana hawa watoto wa wakulima na wafugaji. 15% kweli na makato yote hayo? Daah
 
Ni kweli. Mimi ninamshukuru Mungu kusoma hizo shule za kitaifa kwasababu tulichanganyikana na watoto wa kishua wengi sana. Nakumbuka kuna toto moja la kishua lilikuwa chafu muda wote. Yaani hata maandazi unakuta kaweka kwenye mfuko wa suruali 😂. Imekuja NECTA kagonga 1.9 shule za serikali zenye shida ni hizi za kata. Ila Tanga tech, Kibaha, Ifunda, Bwiru, na zingine za kitaifa ziko sawa na private.
Hapo tupo pamoja ila hilo toto chafu la kishua bila shaka kwa sasa lina maisha safi 😁😁. Maana ukitokea familia nzuri halafu kichwani akili ikiwepo, kutoboa ni must
 
Mkuu acha unafiki

Hivi English Medium such as IST,HOPAC au Braeburn au yeyote ile na Kayumba zipi zinakaririsha?

Ndugu punguza unafiki,haukusadii
English Medium ndio wanakaririsha mkuu hilo mbona Lipo wazi. Wao Lengo Lao mtoto afaulu ili watangaze jina waendelee kupiga hela zaidi
 
Huwa wanatia huruma jamani.
Ila jiwe aliwakosea sana hawa watoto wa wakulima na wafugaji. 15% kweli na makato yote hayo? Daah
😁😁😁 mzee alideal na kutoa unafuu kwa "wanyonge"... Nyie elite na working class ilikuwa ni zamu yenu kuonja joto la "jiwe"
 
I doubt nyie jamaa kama kweli mlipeleka watoto wenu kwenye hizo English Medium schools to begin with!

I really doubt

Maana huyo mjinga kaongea kitu na wewe umeshabikia as if ni kweli!

Kizazi changu tulisoma Kayumba kama wewe!

English medium schools zote,IB framework ,engagement ya mzazi na homework za watoto ni LAZIMA on the daily basis tofauti na nilipokua Kayumba mimi binafsi

Kayumba hazina homeworks nyingi kama English Medium,wote tumepita Kayumba tunalijua hili...Homeworks ilikua ni nadra

Kayumba mzazi analazimishwa kumfundisha mtoto kwa framework ipi maana hakunaga,ila English Medium kuna framework maalumu mtoto na mzazi kwa lazima ni lazima mfanye homework pamoja kila siku na kuna fomu mzazi unasaini sehemu yako na mtoto anarudi nayo shule asubuhi mnasahihishwa

Kayumba tulizosoma sisi kuna framework za namna hii za kumlazimisha mzazi kumsaidia mtoto kwa lazima kimfumo?

HAKUNA
Mkuu suala la kumfuatilia mwanao ni wajibu na jukumu lako sio mpaka mtoto awe English medium school.

Nikukumbe mitaala ya karne hii ni tofauti na ile tuliosoma sisi, hizo homeworks plus weekly test hata huku kayumba zipo.

Na ili mtoto awe na matokeo bora shuleni ni muhimu mzazi kumfuatilia mtoto, na kumfuatilia kwenyewe ndio kama huko kufanya kumsimamia homeworks, kwenda kuulizia maendeleo yake shuleni na kuwa na mawasiliano mazuri na mwalimu wake hasa mwalimu wa darasa na wataaluma.
🙏
 
Nimesoma government chekechea hadi chuo ila kiukweli mchamgo wa English medium ni kingereza tu,olevel nilisoma shule ambayo tulikua tunakutana na watoto waliotoka medium sikuona maajabu yao labda ile miezi ya kwanza form one baada ya apo wote tulikua sawa tu make hata kingereza sio kwamba walikua wanajua sana sema tu confidence walituzidi
Mie Kuna wengine somo la English lenyewe nilikuwa nawazidi. Pia sio guarantee saivi kugharimikia English Ila contents is the same. Mie nakomaa waipate kwa kayumba.
Ila Nina mpango wa kumuandikia kocha wa tennis ameniambia kuwa kila pindi akihudhuria Ni 15k per hour. Minimum inatakiwa ahudhurie thrice per week. Hii naweza nikalipa Kama mwanangu akatokea kupenda kuwa akina sharapova Maria ndio target yangu. Yaani shuleni anaingia twice or thrice per week inatosha. Hakuna guarantee outcome all we do is just beting kuwa future gonna be better but no 100% perse kuwa ukipitia hii njia Ni uhakika
 
[emoji16][emoji16][emoji16] mzee alideal na kutoa unafuu kwa "wanyonge"... Nyie elite na working class ilikuwa ni zamu yenu kuonja joto la "jiwe"
Jiwe alikua mshamba[emoji23][emoji23] alikuja lipa kisasi kwa makosa ya wazazi wake
 
Mtasema Yote ila Shule za St Kayumba hapana Kwakweli

IMG_20230728_140248_833.jpg
 
Laiti ungetambua elimu yetu ilivyochezewa ungepambana kuwapa elimu bora kuliko bora elimu uliyochagua kuwapa.

Nimekuwa interviewer mara kadhaa, aisee it's very very sad vijana wengi walivyo incompetent hata kujieleza. Inatia hasira sana namna elimu yetu inavyotufanya.

Ulimu ya public school kwa Kenya ni bora kuliko hata English midium school zetu.
 
Back
Top Bottom