Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Cha kumshauri atafute pesa.

Ukiwa maskini hata uwezo wa kufikiri unapungua.
Huyo unayemsapoti alipelekeshwa Ila saivi kwenye hapelekeshwi. Kuna mwingine anajipelekesha mwenyewe yaani anakuwa na self discipline na kuwa na hamu ya kujifunza kitu tokea moyoni.
How do you program your mind and code your neurons in your subconscious mind to works. The neurons that fire together wire together automatically and naturally.

Kuna mlinzi alienda kuomba kazi ya kulinda akaulizws kuwa unajua English akawajibu kwani hao wezi wanakuja kuiba kwa English.

Watu wanashindwa kutofautisha lugha and knowledge. They're two different things yaani quiet different things.
 
Huyo unayemsapoti alipelekeshwa Ila saivi kwenye hapelekeshwi. Kuna mwingine anajipelekesha mwenyewe yaani anakuwa na self discipline na kuwa na hamu ya kujifunza kitu tokea moyoni.
How do you program your mind and code your neurons in your subconscious mind to works. The neurons that fire together wire together automatically and naturally.

Kuna mlinzi alienda kuomba kazi ya kulinda akaulizws kuwa unajua English akawajibu kwani hao wezi wanakuja kuiba kwa English.

Watu wanashindwa kutofautisha lugha and knowledge. They're two different things yaani quiet different things.
Hoja yako ya msingi hapa ni ipi?
 
Huyo unayemsapoti alipelekeshwa Ila saivi kwenye hapelekeshwi. Kuna mwingine anajipelekesha mwenyewe yaani anakuwa na self discipline na kuwa na hamu ya kujifunza kitu tokea moyoni.
How do you program your mind and code your neurons in your subconscious mind to works. The neurons that fire together wire together automatically and naturally.

Kuna mlinzi alienda kuomba kazi ya kulinda akaulizws kuwa unajua English akawajibu kwani hao wezi wanakuja kuiba kwa English.

Watu wanashindwa kutofautisha lugha and knowledge. They're two different things yaani quiet different things.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna akina mama nitilie wanaoishi chumba kimoja wanasomesha watoto English medium kwa Vikoba ukimuuliza kwa nini anakwambia mwingine anasema mimi sitaki mwanangu wa kike aje kuolewa kama mimi asiyejua neno hata moja la kingereza msumbufu huyu tulisoma wote kayumba

Nampeleka mwanangu huko English Medium aweza.kutana na mwanaume wa kueleweka waliyesoma wote kuliko.hawa waswahili wa kayumba

Anakwambia wengi huoa au kuolewa na wale walisoma wote kama ulisoma Kayumba uwezekano mkubwa kupata msoma Kayumba mwenzio mkubwa sitaki.Changamoto nimepitia zinatosha.Kayumba wasumbufu uelewa mdogo
Watoto wa Kayumba asilimia kubwa ndio zao la Panya road, wacheza kamari maarufu, wapenda vigodoro ,mateja nk.
 
Huko private ndio wanabokoana sana..Yani sana tu..Yani sanaaa...lakini kama ni English medium awe anaenda na kurudi...maana ziko shule nyingi zina kamera kila sehemu...ila mtoto akikaa bweni..muandalie tu connection ya kina juma lokole
Embu zitaje hizo shule angalau tatu tu.
 
Top 10 st kayumba ni wa mwisho private school. Halafu mtoto anakuwa top 10 na D zote halafu unajisifia anawaburuza wenzie? Ni CCM au watu wenye mawazo ya ki-CCM tu wanaothubutu kusifia ujinga
😂😂😂😂😂😂
 
Anadhani wazazi wanaouza viwanja kusomesha watoto ni wajinga.

Tuangalie mfano hai kwa Shilole ,aliweka bondi hati ya nyumba kusomesha watoto hii yote hii kutambua umuhimu wa elimu Bora kwa mtoto.

Huko St Kayumba ni bora liende tu.
🙏
 
Miezi michache iliyopita nilianzisha Uzi hapa JF wenye title" Tunaowatoa watoto wetu shule za English Medium na kuwarejesha kayumba njooni tufarijiane hapa"

Soma: Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane

Lengo la Uzi lilikuwa kupata watu watakaonipa "faida" nitakazozipata kwa kuwarejesha watoto wangu Kayumba plus maneno ya kunifariji ambayo yatasaidia kujustify uamuzi wangu.

Sababu ya kuwarejesha kayumba wanangu ni kuyumba kiuchumi. Nilipata maoni mengi mazuri. Miongoni mwa maoni niliyopata hapa JF ni pamoja na:

1. Itanisaidia kuokoa pesa ambayo ninaweza ku invest katika maeneo mengine muhimu kama vile kuwanunulia viwanja na kuwajengea nyumba watoto wangu so that wanapofika level ya chuo at least kila mtu awe na nyumba yake moja.

2. Sitokuwa na stress za ada plus mbaya kuliko zote ile stress maalumu ambayo mzazi unaipata wakati mtoto wako amerudishwa nyumbani ada, wakati wenzake plus jirani zako wanaosoma kayumba wanaenda shule.

Nje ya JF nilipata ushauri kutoka kwa

1. Binti yangu; yeye yupo form three shule ya kayumba pia. Nilimsomesha English Medium kuanzia la kwanza. Anasema daddy kuna watoto wamesoma shule za kiswahili lakini wapo vizuri sana darasani kuliko waliosoma shule za kiingereza.

2. Brother wangu wa mtaani ambaye na yeye kawarudisha watoto wake kayumba. (Huyu kasomesha hadi chuo but still bado ana watoto wa primary). Alikuwaga kichaa wa shule za English medium.

Anasema mdogo wangu mtoto wako umsomeshe kayumba au English Medium mwisho wa siku wote watakufa watazikwa…(anataja jina la makaburi ya mtaani kwetu)

Akaongeza: Tofauti ya kayumba na English Medium ni lugha tu lakini mwisho wa siku wote wanaandaliwa kuajiriwa..

Kingine siku hizi watoto wanaharibika sana so hakuna guarantee mtoto wako atakuja kuwa nani hapo baadae.

Akaongeza "shule nyingi za English Medium zinawafanya wanafunzi hasa watoto wa kiume kuwa watoto walaini laini (ana experience na watoto wake mwenyewe na rafiki zake). Halafu haziwafundishi watoto kuhusu uhalisia wa maisha zaidi ya kuwakaririsha masomo so bora umpeleke kayumba akapambane na kukomaa huko.


MIEZI MIWILI BAADA YA KUFANYA UAMUZI.

1. Nimenunua kiwanja nje ya mji ( ilala rural/ mvuti) kwa Tsh. laki tisa na mwezi ujao Insha'allah nitapiga msingi( fundi wangu yupo Kinondoni ambae alinijengea nyumba yangu ya kwanza utaratibu wake wa kazi huwaga ni wewe ukiwa na hela yoyote hata laki tano niite kwa laki tano hiyo hiyo nitafanya kitu. Next time ukipata laki tatu niite. Hadi nyumba yako itakamilika. Huyu ndo alinifanya nikajenga nyumba yangu ya kwanza. Tukiwa Kinondoni shamba au Hananasif tunaangalia ndondo anapokea simu za watu anaowajengea nyumba anasema “huyu anauza mchicha, huyu mama lishe etc”. Nikawa inspired.

2. Kuhusu somo la kiingereza nimenunua vitabu na CDs ambayo madogo watakuwa wanajifunza wakiwa home plus tuition ya nguvu ya kiingereza.

Mungu akinipa uhai nitafanya vitu vikubwa sana kwenye familia yangu.

Kama uwezo wako mdogo, unaishi nyumba ya kupanga uswahilini, uchumi wako umeyumba, sikushauri uhangaike na English medium.

Mpeleke mwanao kayumba wewe upambane kutafuta hela.
Sema pesa ilikata
 
Kwa ada ya 2M ni fear hata kama watoto 4 fresh jumla 8M tena kwa standard ya shule ya msingi.

Akifika secondary hata umpeleke kayumba angalau kingereza anajua na atafanya vizuri na pia atakuwa kiakili kashakuwa.


Msingi mzuri kuwekeza akiwa mdogo na pia kama kwa sasa maisha yapo fresh mpeleke tu kwa vile maisha hayaeleweki ,ynaweza kubadilika mda wowote ule.


Japo kwa mtoto mdogo kwa shule hizo ni changamoto anaweza kupotea kimaadili kabisa.
Unamaanisha St Kayumba haifai kwa watoto wadogo ?
 
Miezi michache iliyopita nilianzisha Uzi hapa JF wenye title" Tunaowatoa watoto wetu shule za English Medium na kuwarejesha kayumba njooni tufarijiane hapa"

Soma: Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane

Lengo la Uzi lilikuwa kupata watu watakaonipa "faida" nitakazozipata kwa kuwarejesha watoto wangu Kayumba plus maneno ya kunifariji ambayo yatasaidia kujustify uamuzi wangu.

Sababu ya kuwarejesha kayumba wanangu ni kuyumba kiuchumi. Nilipata maoni mengi mazuri. Miongoni mwa maoni niliyopata hapa JF ni pamoja na:

1. Itanisaidia kuokoa pesa ambayo ninaweza ku invest katika maeneo mengine muhimu kama vile kuwanunulia viwanja na kuwajengea nyumba watoto wangu so that wanapofika level ya chuo at least kila mtu awe na nyumba yake moja.

2. Sitokuwa na stress za ada plus mbaya kuliko zote ile stress maalumu ambayo mzazi unaipata wakati mtoto wako amerudishwa nyumbani ada, wakati wenzake plus jirani zako wanaosoma kayumba wanaenda shule.

Nje ya JF nilipata ushauri kutoka kwa

1. Binti yangu; yeye yupo form three shule ya kayumba pia. Nilimsomesha English Medium kuanzia la kwanza. Anasema daddy kuna watoto wamesoma shule za kiswahili lakini wapo vizuri sana darasani kuliko waliosoma shule za kiingereza.

2. Brother wangu wa mtaani ambaye na yeye kawarudisha watoto wake kayumba. (Huyu kasomesha hadi chuo but still bado ana watoto wa primary). Alikuwaga kichaa wa shule za English medium.

Anasema mdogo wangu mtoto wako umsomeshe kayumba au English Medium mwisho wa siku wote watakufa watazikwa…(anataja jina la makaburi ya mtaani kwetu)

Akaongeza: Tofauti ya kayumba na English Medium ni lugha tu lakini mwisho wa siku wote wanaandaliwa kuajiriwa..

Kingine siku hizi watoto wanaharibika sana so hakuna guarantee mtoto wako atakuja kuwa nani hapo baadae.

Akaongeza "shule nyingi za English Medium zinawafanya wanafunzi hasa watoto wa kiume kuwa watoto walaini laini (ana experience na watoto wake mwenyewe na rafiki zake). Halafu haziwafundishi watoto kuhusu uhalisia wa maisha zaidi ya kuwakaririsha masomo so bora umpeleke kayumba akapambane na kukomaa huko.


MIEZI MIWILI BAADA YA KUFANYA UAMUZI.

1. Nimenunua kiwanja nje ya mji ( ilala rural/ mvuti) kwa Tsh. laki tisa na mwezi ujao Insha'allah nitapiga msingi( fundi wangu yupo Kinondoni ambae alinijengea nyumba yangu ya kwanza utaratibu wake wa kazi huwaga ni wewe ukiwa na hela yoyote hata laki tano niite kwa laki tano hiyo hiyo nitafanya kitu. Next time ukipata laki tatu niite. Hadi nyumba yako itakamilika. Huyu ndo alinifanya nikajenga nyumba yangu ya kwanza. Tukiwa Kinondoni shamba au Hananasif tunaangalia ndondo anapokea simu za watu anaowajengea nyumba anasema “huyu anauza mchicha, huyu mama lishe etc”. Nikawa inspired.

2. Kuhusu somo la kiingereza nimenunua vitabu na CDs ambayo madogo watakuwa wanajifunza wakiwa home plus tuition ya nguvu ya kiingereza.

Mungu akinipa uhai nitafanya vitu vikubwa sana kwenye familia yangu.

Kama uwezo wako mdogo, unaishi nyumba ya kupanga uswahilini, uchumi wako umeyumba, sikushauri uhangaike na English medium.

Mpeleke mwanao kayumba wewe upambane kutafuta hela.
Haya umejieleza weee faida wewe umepata na ubinafsi wako kutosomesha watoto private sababu kila sentensi umejaza mimi mimi mimi faida nimepata mimi mimi mimi.Mimi nyingiiiiiii

Tunakuomba kaulize wanao katika shule za private na kayumba wao Kama wao wangependa wasome shule ipi? Ya private au kayumba. Kisha lete mrejesho hapa walichokujibu
 
Back
Top Bottom