Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Kuna demu nakumbuka tulimaliza nae form four akapata division one ya 17 private school majina ya advance yalivyotoka akachaguliwa pcb akakataa kwenda akamwambia baba yake hajui hyo one kapataje maana yeye anapenda mambo ya music baadae alikuja kusema huwa wanapewa majibu ya mtihani hvyo pcb yeye haiwezi bora aende akasomee mambo ya music nikajua kweli private school watu wanaliwa hela.
 
Ni kweli mkuu ila Nina watoto wanasoma shule moja jijini 2M per each, Kwa mwaka 4.M yaani mkuu inanisononeshansana kuona wanakaririshwa tu. Nimewaza sans baada ya kusoma Uzi huu.

Kibaya zaidi mkurugenz ameweka burser/mhasibu Hana huruma.

Naendelea kuwaza lkn elim ni Bora kuliko kiwanja. Lkn wapi Sasa tunakwenda.


Mimi n mtumish wa imma. Serikalini ndio kumejaa walimu very professional. Lkn serikali inawakosea san na wao hawafanyi vema. Ila wapo vzr wakiwezeshwa.

Kwa Sasa naona si English Media Wala feza school hakuna lolote.


Huyu accountant ameniingiza kwenye matatizo makubwa mno.
Nakumbuka ilikuwa Januari nikiwa nimeandaa ada kama kawaida kianzio. Si akaikataa bana! Watoto wawili Kila mmoja laki Nne jumla laki nane, alidai Kila mmoja lazima owe 600K. Niliingia mkopo ambao unaniandama hadi sasa....


Mmiliki wa shule nilimuamini nikadamp wanangu lkn alitubadilia, alikataa hata end of Januari nikamilishe aligoma. Iliniuma Sana. Kwa hiyo mleta Uzi huu hili suala ni seriasi sana.
Kweli mnafarijiana 😂😂😂😂😂
 
Kuna demu nakumbuka tulimaliza nae form four akapata division one ya 17 private school majina ya advance yalivyotoka akachaguliwa pcb akakataa kwenda akamwambia baba yake hajui hyo one kapataje maana yeye anapenda mambo ya music baadae alikuja kusema huwa wanapewa majibu ya mtihani hvyo pcb yeye haiwezi bora aende akasomee mambo ya music nikajua kweli private school watu wanaliwa hela.
Chai
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaaa. Hapo tu ndo tuliwabondea kayumba. Ila kayumba wana akili balaa. Basi tu yaani
Embu yaweke hapa hayo matokeo ya shule ya msingi ya Kayumba yoyote uthibitishe ulichokiandika hapa.
 
Basi kumbe wewe ni mbumbumbu wa pesa. Huna elimu ya pesa. Huna mahusiano mazuri na hela...

Ngoja nikusanue kitu ndugu yangu. Nikupe elimu ya mtaani kidogo kuhusu pesa..

Mjanja sio yule anae tumia ( spend) pesa nyingi ila ni yule anae ( tunza) pesa nyingi.

Mfano; kama Mimi mshahara wangu ni shilingi milioni tatu kwa mwezi ila matumizi yangu ni sh laki TANO kwa mwezi halafu natunza benki milioni mbili na laki tano kila mwezi.


Ila wewe mshahara wako ni shilingi milioni kumi kwa mwezi ila matumizi yako ni sh milioni tisa na laki nane kwa mwezi.


Baada ya miaka kumi Mimi nitakuwa tajiri wewe utakuwa masikini. Nktakuajjri Mimi.

So wewe kuspend milioni nane kwa mwaka kulipia kitu ambacho unaweza kukipata kwa sh laki moja kwa mwaka ni shobo zako tu na.umbumbumbu/ulimbukeni wako kwenye pesa.

Huna mahusiano mazuri na pesa. Pesa haitumiki kizembe namna hiyo.
Ungeniambia hiyo milioni nane unaitunza kila mwaka ninge ona unafanya kitu ila kumbe una spend? Khaaa

Hapo mjanja ni huyo ambae unaweka hela kwenye akaunti yake na sio wewe
Una mawazo ya kis*Ng* sana.
 
Kuna rafiki yangu kipindi ndo niko mgeni Dar bado hali ya kiuchumi sio nzuri akaniambia tudamke saa 11 twende sokoni Ilala huwa zinauzwa jeans kali sana kwa bei nafuu. Tulivyofika tukakuta jamaa wanauza jeans za mtumba watu wanazigombania ili kwenda kuziuza tena... mimi bila kujua nikawa nasubiri hizo jeans kali alizosema jamaa kumbe ndo zile mtumba watu wanazonunua. Nikamwambia jamaa iwe mwanzo na mwisho kuniitia vitu kama hivyo hata kama hali yangu sio nzuri kifedha
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kuna demu nakumbuka tulimaliza nae form four akapata division one ya 17 private school majina ya advance yalivyotoka akachaguliwa pcb akakataa kwenda akamwambia baba yake hajui hyo one kapataje maana yeye anapenda mambo ya music baadae alikuja kusema huwa wanapewa majibu ya mtihani hvyo pcb yeye haiwezi bora aende akasomee mambo ya music nikajua kweli private school watu wanaliwa hela.
Wanapigwa sana mkuu. Halafu uhuni na ubabaishaji ni mwingi sana huko, mfano mwaka jana kuna kale kabinti kalitrend mitandaoni kanasema kalilazimishwa kaandike namba ambayo sio yake kwenye mitihani ya mwisho ikaja kugundulika kumbe uongozi wa shule ulitaka kamfanyie mitihani mwanafunzi mwenzake kilaza
 
Unakwepa kulipa 2M kwenye elimu lkn kwa aina ya vyoo vilivyopo Kayumba utalipa 4M kwenye matibabu ya UTI na fungus mpk wa tumboni

Acheni kutisha watu sisi wenyewe tumesoma kayumba na hatujapata hizo U.T.I.
 
Mkuu ungesema umewatoa boarding school na kuwaleta nyumbani hapo ningekupongeza sana kwakua mtoto kukaa Karibu na wazazi wake hata katika age ya 0-14 ni muhimu sana kwa ustawi wa akili ya mtoto,ukakamavu n.k
Lakini ww unajisifu kuwatoa kwenye mwanga na kuwaleta kwenye Giza kwa faida za kiuchumi tuu hapo umefeli

mkuu umepandikizwa unyanyapaa mbaya sana dhidi ya shule za kayumba.
 
Wanapigwa sana mkuu. Halafu uhuni na ubabaishaji ni mwingi sana huko, mfano mwaka jana kuna kale kabinti kalitrend mitandaoni kanasema kalilazimishwa kaandike namba ambayo sio yake kwenye mitihani ya mwisho ikaja kugundulika kumbe uongozi wa shule ulitaka kamfanyie mitihani mwanafunzi mwenzake kilaza
Kweli mkuu ni kwasababu tu sasa hivi utandawazi unasaidia ila zamani watu wengi wamedhulumiwa wezi ndio hawa unawaona ni waislamu lakini wana majina ya kikristo ni wakristo lakini wana majina ya kiislamu siwataji mkuu mwanasheria wangu yupo nje ya nchi mpaka arudi.
 
Kweli mkuu ni kwasababu tu sasa hivi utandawazi unasaidia ila zamani watu wengi wamedhulumiwa wezi ndio hawa unawaona ni waislamu lakini wana majina ya kikristo ni wakristo lakini wana majina ya kiislamu siwataji mkuu mwanasheria wangu yupo nje ya nchi mpaka arudi.
Sahihi
 
Inawezekana umeishia wapi! Kuna T.O mmoja wa hivi karibuni kutoka Kanda ya Ziwa. Anatoka familia ya kimaskini sana hadi alikuwa anaahirisha masomo akapige vibarua. Baada ya kuwa T.O. form four, akapewa ofa ya kusoma Feza Boys. Sasa hivi kamaliza form six na sio tena yule wa kupiga vibarua! Connections zipo hadi Ulaya Bro!
Kweli kabisa, mi mwenyewe yupo tz one wa mwisho kutangazwa form four feza wakamvuta kwa mbwembwe kamaliza six feza Ila wanampeleka US, siku si nyingi kuendelea kusoma,na Wala hakukulia mabaga.
 
Back
Top Bottom