Ni kweli mkuu ila Nina watoto wanasoma shule moja jijini 2M per each, Kwa mwaka 4.M yaani mkuu inanisononeshansana kuona wanakaririshwa tu. Nimewaza sans baada ya kusoma Uzi huu.
Kibaya zaidi mkurugenz ameweka burser/mhasibu Hana huruma.
Naendelea kuwaza lkn elim ni Bora kuliko kiwanja. Lkn wapi Sasa tunakwenda.
Mimi n mtumish wa imma. Serikalini ndio kumejaa walimu very professional. Lkn serikali inawakosea san na wao hawafanyi vema. Ila wapo vzr wakiwezeshwa.
Kwa Sasa naona si English Media Wala feza school hakuna lolote.
Huyu accountant ameniingiza kwenye matatizo makubwa mno.
Nakumbuka ilikuwa Januari nikiwa nimeandaa ada kama kawaida kianzio. Si akaikataa bana! Watoto wawili Kila mmoja laki Nne jumla laki nane, alidai Kila mmoja lazima owe 600K. Niliingia mkopo ambao unaniandama hadi sasa....
Mmiliki wa shule nilimuamini nikadamp wanangu lkn alitubadilia, alikataa hata end of Januari nikamilishe aligoma. Iliniuma Sana. Kwa hiyo mleta Uzi huu hili suala ni seriasi sana.