Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mkuu nipo kwenye ndoa mwaka wa kumi na mbili sasa...nakushauri kitu ambacho nakijua wewe utaamua cha kufanya lakini jukumu la kukushauri ni jukumu langu.

1.usimuache kabisa huyo mke wako
2.wake za watu wanaliwa sana, ikiwemo wangu
3.usisahau na wewe una mchepuko
4.kinachowaunganisha ni watoto na ndio watakaoumia
5.vumilia,fatilia,mkanye,kuwa mkali ila usimuache...

nicheki Pm nikupe namba yangu kwa ushauri zaidi
Yani wewe ndo umeongea point kuliko woote
Anyway mimi pia nna jambo langu nakupm unishauri vzr.
 
Hoja namba 2 ya wife izingatiwe, anahisi una wanawake na mmoja ni mchepuko of which is true kama ulivyokiri[emoji848]. Sasa kama wewe una mchepuko kwa nini yeye asiwe nae [emoji23][emoji23]? Au pa kwako pameuma sana, pa wife unafikiri hapaumi? Jamani usaliti unaumiza pande zote, hata wanawake wakisalitiwa wanaumia kama anavyoumia mwanamke.
Ni sawa usemavyo sasa mbona wao hawajiondoi kwenye ndoa ?

Kugongewa ni aibu mbaya zaidi wagongaji wanakomoa maana hawana dhamana nae wanawazibua mitaro tu dah
 
Inategemea NTU na NTU Mkuu leo ingekuwa siku ya yeye kukaa nyumbani kutafuta suluhisho la ndoa yao kama inawezekana. Kazini angeweza kupiga simu anaumwa.
Unadhani hata kama hayuko kazini anaweza kwenda kwa LIVINGSTONE tena?
Huko aliko hata yeye anajutia saana tena ukute anafikiria namna ya kurudi kwake anaogopa
 
Mkuu kwanza pole. Kwa ufupi sana mkuu.
Kwanza kapime afya yako pili kama una pesa basi kapime na DNA na watoto wako, hii inaweza kukupa picha ya maisha yako baada ya tukio hili baya kbs ktk ndoa.
Kwa muda huu ambao upo dilemma focus ktk namna utawalea watoto wako bila mama yao hapo baadae, kumbuka huyu mwanamke ni wakumuepuka kbs ktk maisha yako.
Usithubutu kutumia vibaya busara yako na kumsamehe, huyu kakubuhu ndiomaana kaamka na kaenda kazini, hajali hajaumizwa wala hajahofia kwa ulichokigundua.
Wanaume wengi waoaji na wenye malengo makubwa kimaisha huwa tunavurugwa sana na wanawake ambao huwapatia bahati ya kuolewa.
Usimpige mkuu wala usimfanyie chochote kibaya, hili linatakiwa lipite likuache salama ili uweze kuanza upya maisha yako na kulea wanao kwa amani na upendo.
Kwa wanaume wengine wanaofanya kazi za safari safari mkiona mwanamke anakuuliza sana au anatumia watoto kukuuliza unarudi lini chukueni tahadhari.
 
Wanawake tunajali hisia zaidi

Unaweza kuwa na fedha ila kama hukujali hisia zake usishangae mvuta bangi anayecare akagonga.
Hapo ndo huwa nawashangaaga mpaka basi

Halafu mkiachwa sasa...unakosa bara na pwani...lakini bado tu hamjifunzi.

Ila akili zenu mnazijua wenyewe bana
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Wewe ni baharia mwenzangu kwanza hongera kwa kuchakata mbunyenye za nje, lakini pia kaa ufahamu pia mke wako huwa anafumuliwa marinda pia huwa analamba konga. Ushauri wangu huyo mke wako mpige chini hakuna namna.
 
Shukrana mkuu ulio sema ni kweli kabisa mkuu na kwa asilimi 100% ntakuwa nimechangia yeye kunisaliti pia
Nakumbuka wakati tumeanza mahusiano nilimpenda sana na mda wote tulikuwa wote hata show nilikuwa nafanya hata mara 5 kwa siku ni mda wote tu kufanya na ndio maana hata watoto wetu wamepatikana mapema sna

Ila baada ya kuwa na mtoto wa pili sikuwa na ham nae sna na show ni mara mojamoja tu kwa week hata mara moja na zile msg na kuchat marakwamara sikuwa namtumia na nikiona msg yake napotezea mpka iwe ya muhim

Kiufupi ndani kuanzia 2020 hakuwa na mvuto tena kwangu tulishi tu kawaida ila sio romantic km zaman mpka sometimes ananiuliza mbona namfanyia hivo but sikujali

Kuna mdada kazin kwetu ni mpya kwny kaz na ni mdogo ndio alinivutia so mapenz yangu nikahamishia kwa mchepuko kwahiyo

huyo jamaa alie chepuka nae jana nakumbuka since mwaka jana niliona msg yake lkn sikuzingatia kabisa nikajisemea tu sasa hiv analea huyu nan anaweza kumtaka kiufupi alikuwa bize na watoto ukiangalia wamefatana

Sasa jana ilivyo tokea ndio nakumbuka huyu mtu hakuanza juz na wife kumsifia ni km alikuwa akimpa faraja yale mambo nilio kuwa nikiyafanya kwa wife jamaa ndio alichukua nafas

Nimewaza mambo mengi sana why kitu kama hiki kimetokea kulingana na heshima yangu kwny jamii na watu wanavyotuona tunavyofurahia maisha na wife na watoto wetu kila mtu atatamani kuiga

But wife amekuja kuliwa na kijana mshinda gym tu na na kuvuta bangi.

Tulia tu mkuu msamehe tu hii changamoto hakuna sehem ambayo hakuna mzee utamaliza mbususu zotee na mambo ni Haya Haya tu
 
Back
Top Bottom