Mwanzo wa binadam.Tangu lini mmeanza kuumia?
Ila sie tukiumia kwaajili yenu ni sawa?Mwanzo wa binadam.
Mfano simba hata liwe na majike yake kumi dume lingine liki salandia mmoja tu litapigana kufa.
Tuvumilieni jamani msitulipize mtatuua kabla hamjui vile tunaumia.
Sawa ndo vijana weshaghaili kuoa wanazalisha tu wakiwa kwao.Ila sie tukiumia kwaajili yenu ni sawa?
Zama zimebadilika, binadamu wamebadilika.
Kujiaminisha kuwa mwanamke wa miaka ya 50 ni sawa na wa miaka hii ni kupoteza muda. Kila kitu kinabadilika Kaka yangu.
Mke amvumilie mume mchepukaji, alie na kusaga meno bado yupo tu kwenye ndoa ni wachache sana wanahesabika.
Mtavuna mlichokipanda na wake zenu hawatajali.
Mtaishia kuwaita Malaya na majina mengi mabaya lkn haitaondoa ukweli kwamba ndoa nyingi zitateketea na nyie mnaumia pia.
Wengi tu wanaoa, na wakiwatenda wake zao na wao watatendwa bila hurumaSawa ndo vijana weshaghaili kuoa wanazalisha tu wakiwa kwao.
kazi iendelee
Jmn usichepuke we mremboJf kuna watu WANAFIKI sijawahi ona popote. Eti mchepukaji anaona yuko sawa mke ndio mkosaji na baadhi ya wachangiaji wana saport.
Tunaomba uzi wa hii kitu mkuu.tafadhali....je alikua demu ama mke kabisa...*****..dahIshawahi nikuta hii aisee sitakaa nisahau japo nilikuwa nashuhudia moves za jamaa toka anaingia! Mpaka demu anabeba viatu vyake anaviingiza ndani! Nikawakurupua kabla hawajaanza sex
Kuna siku mzigo uliliwa wewe hukuwepo hiyo ilikuwa bahati mbaya tu alifanikiwa kuwakurupuaIshawahi nikuta hii aisee sitakaa nisahau japo nilikuwa nashuhudia moves za jamaa toka anaingia! Mpaka demu anabeba viatu vyake anaviingiza ndani! Nikawakurupua kabla hawajaanza sex
Mke au mme ni rahisi Sana kuchepuka kwa dunia ya SasaMimi kwangu watoto Ni muhimu kuliko mke kutoka nje ya ndoa.
Naongea hivi kwa sababu nimekualia nje ya malezi ya baba na mama.
Halafu pia Nina watoto wawili Sasa, vile wanavyoishi kwa furaha kwa uwepo wa baba na mama, kuchepuka sio hoja.
Mke au mme ni rahisi Sana kuchepuka kwa dunia ya SasaMimi kwangu watoto Ni muhimu kuliko mke kutoka nje ya ndoa.
Naongea hivi kwa sababu nimekualia nje ya malezi ya baba na mama.
Halafu pia Nina watoto wawili Sasa, vile wanavyoishi kwa furaha kwa uwepo wa baba na mama, kuchepuka sio hoja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na pesa zako ndio kapandia uber kwenda kuliwaMimi wala sikupi pole...safi sana umekomeshwa. Kuchapiwa kunauma jamani asikwambie mtu...
Imagine papuchi ya mkeo unavyoijua halafu jamaa mwingine aisuguesugue...[emoji3][emoji3][emoji3], Ma.tako yanapigwa makofi huku wakikutukana. Mama.e unaweza jinyonga.
Hahaahha [emoji1787][emoji91]Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...
Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!
Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!