Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Tulia tu mkuu msamehe tu hii changamoto hakuna sehem ambayo hakuna mzee utamaliza mbususu zotee na mambo ni Haya Haya tu
Kumsamehe kunaendana na kum quarantine! Akae na upumbavu wake huko aliyemwambia kuwa kuchepuka ndio solution ni nani? Yani avizie umesafiri achepuke mie huwa mazoea na watu wa ajabu huwa namwambia kabisa kama ni mke au mpenzi kuwa sihitaji hayo mazoea yaendelee! Style hio ya kuchepuka ni umalaya

Siku nikikufuma ujue tumemalizana mie na wewe wala hakutakuwa na mjadala!
 
Asipoelewa hili mtoa mada basi hataelewa kingine! Hii ndio picha halisi ya mkewe
 
Mwanamke anakuulizauliza hivyo ili ajue ratiba yako au wale wa kuuliza uliza uko wapi yani ghafla tu anakupigia simu anataka kujua uko wapi jua anafanya tukio la kigaidi huko alipo ila anahofu kama alipo utamuona!

Ni mbinu tu hizi tushakutana nazo! Na siku zote mlango wa uaminifu au uovu wa mwanamke wa kileo upo katika simu yake na watu anaowasiliana nao
 
Unaposema aliboreka kukaa peke yake,wakati mna watoto wawili unamaanisha nini?
Bible inasema "mume atamuacha mke sababu ya uzinzi"
 
ila wanaume bana mkifanya nyinyi fresh sie muache😀😀😀, kweli mtenda akitendewa bana. We si ulikua unaenda kulala kabsa bora yeye amerud. wote badilikeni!
Mwanamke haibadilishi maana kuwa wewe unatakiwa uchepuke! Mwanaume kuwa na wanawake wengi ni swala la asili
 
Ni wale wanawake rejected wenye sura ngumu,unakuta hata kama kaolewa ameolewa na mtu ambaye hana uwezo kiuchumi hii ni kutokana na uzoefu wangu.
Mademu wazuri wengi tu wanaokaa uswahilini wanatiwa na ma boda boda hasa wale njaa njaa! Wanaokopa kopa usafiri
 
Hao watoto sio wako
 
Sasa utajitoa kwa wangapi. Hakuna malaika duniani kumbuka dada.
Ni Bora tu uwe singo siku ukijisikia unatafuta kijana mdogo mdogo unampa hela anakumaliza.
Ama unatafuta sex toys zile za kichina kabisa na zinatumia umeme.
Mie nachojua nilipooa nilishsweka na risk ya ndoa naijua kuwa naweza kumkuta ndani na lijamaa linakula
 
Mkuu keisangora

Hebu rudia tena kusoma ulichoandika, alafu niambie kama ni kweli umedharia kuniandikia mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…