Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Kumbe alikuwa Ex siyo mumeJe wewe acha kutishia umma ingekuwa mimi unipige kudadadeki ningekufanyia maigizo ya kichina na kimeru na kiniger ningekufumua mpaka hicho kichaa kiishe shuwaini huyo mam anatakiwa akupeleke ustawi wakamii.
Wewe ni ngumi kabisa ,makofi seriously makofi ya mwanaume unayajua?
Wewe mwanamume ni muuwaji.
Kidudu mtu mkeo ameona unapenda Ksana .
Eti wanavuta bangi unatofauti gani na hao.
Unampiga mkeo .
Ex wangu alikuwa akijua unachepuka anakuita siku mko free mnakunjana mpaka ukisema umechoka anakuuliza huko hukuchoka acha hizo nataka usirudie tena
Kuolewa mke wa pili hatokubali sasa sindio mtu anachepuka zakemnahalalisha dhambi tu, mbona viapo havisemi hayo? mbona dini inakataa uzinzi. Sema dada kafeli kutokiri tu
Dini kwa kiasi kikubwa hazina uhalisia.mnahalalisha dhambi tu, mbona viapo havisemi hayo? mbona dini inakataa uzinzi. Sema dada kafeli kutokiri tu
wakristo hawana cha mke wa pili. Fateni mafundisho yenuKuolewa mke wa pili hatokubali sasa sindio mtu anachepuka zake
Mkuu nipo kwenye ndoa mwaka wa kumi na mbili sasa...nakushauri kitu ambacho nakijua wewe utaamua cha kufanya lakini jukumu la kukushauri ni jukumu langu.
1.usimuache kabisa huyo mke wako
2.wake za watu wanaliwa sana, ikiwemo wangu
3.usisahau na wewe una mchepuko
4.kinachowaunganisha ni watoto na ndio watakaoumia
5.vumilia,fatilia,mkanye,kuwa mkali ila usimuache...
nicheki Pm nikupe namba yangu kwa ushauri zaidi
Kumbe pamoja na utata wako kidume kilishaletwa mpaka home?
Heheheh kwa hio makubaliano yalikuwa mke kulipiza visasi?Kuachana na mke kisa,kachepuka sio njia sahihi ilihali mna watoto wadogo,inauma ila piga moyo konde angalia maisha ya watoto wako,pili Kama na ww unavua chup za wanawake wengne,kuwa na moyo mpana tu ili maisha yaende,maana yeye kafanya kulipiza,
We vipi mahondaw alikukimbia nae?πππPole sana, piga moyo konde...
Ndiooo ulishindwa kukaa tukaongea hadi unizabe vibao? Mbona mkichepuka hatuwapigi tunaongea kwa ukali tu inatosha
Kaka mm ndio namhudumia sawa,ila wanaume bana mkifanya nyinyi fresh sie muacheπππ, kweli mtenda akitendewa bana. We si ulikua unaenda kulala kabsa bora yeye amerud. wote badilikeni!
Tulikuwa tunaoana alishatoa mahariKumbe alikuwa Ex siyo mume
Kuna kamsemo kanasemaga hata kama humgongi mke wa mtu haimaanishi wako hatagongwa!Yeye anaona sawa kuzini (hata kama siyo na mke wa mtu) lakini anasikia uchungu sana kwa mkewe kufanya kosa hilo.
Hahahahahahahahah we jamaa ni msengee nimecheka kimaku mzeeπ π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π yani kumma anahudumiwa kama anajua bei ya kodi vile na gas yako anapikiwa kabisaπ π π π π na mayai ulionunua anakaangiwa kmmmkeNdugu yangu sometimes wanawake wana akili ambayo haijai kifuniko cha soda...
Analeta njemba kitandani kwako, analiwa bao za kutosha, mbaya zaidi kama chmba chako ni self contained, njemba inajifunga taulo lako na anaoga, anajipaka mafuta yako, akihisi baridi anapewa koti/sweta lako..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Ukitafakari haya hutaoa...
Kuoa ni sawa na kujitoa mhanga
Hoja hapo ni nani kimemuuma zaidi
Mkuki kwa nguruwe lakini kwa binaadamu!!
Umepata kinachoendana na ww matunda ya uzinzi wako so inabidi ukubaliane na uhalisia tu.We na mkeo wote wazinzi,mnaendana vyema.Unataka mwanamke mtakatifu wakati wewe mchafu?Hili ni somo zuri sana.Sameheaneni maisha yaendelee mulee watoto.
Hoja hapo ni nani kimemuuma zaidi