Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Je wewe acha kutishia umma ingekuwa mimi unipige kudadadeki ningekufanyia maigizo ya kichina na kimeru na kiniger ningekufumua mpaka hicho kichaa kiishe shuwaini huyo mam anatakiwa akupeleke ustawi wakamii.

Wewe ni ngumi kabisa ,makofi seriously makofi ya mwanaume unayajua?

Wewe mwanamume ni muuwaji.
Kidudu mtu mkeo ameona unapenda Ksana .

Eti wanavuta bangi unatofauti gani na hao.
Unampiga mkeo .

Ex wangu alikuwa akijua unachepuka anakuita siku mko free mnakunjana mpaka ukisema umechoka anakuuliza huko hukuchoka acha hizo nataka usirudie tena
Kumbe alikuwa Ex siyo mume
 
mnahalalisha dhambi tu, mbona viapo havisemi hayo? mbona dini inakataa uzinzi. Sema dada kafeli kutokiri tu
Dini kwa kiasi kikubwa hazina uhalisia.

Ila uhusiano wa watu wawili ndio unamake sense, na incase mmeshindwana pia kila mmoja aende na njia yake
 
Mkuu nipo kwenye ndoa mwaka wa kumi na mbili sasa...nakushauri kitu ambacho nakijua wewe utaamua cha kufanya lakini jukumu la kukushauri ni jukumu langu.

1.usimuache kabisa huyo mke wako
2.wake za watu wanaliwa sana, ikiwemo wangu
3.usisahau na wewe una mchepuko
4.kinachowaunganisha ni watoto na ndio watakaoumia
5.vumilia,fatilia,mkanye,kuwa mkali ila usimuache...

nicheki Pm nikupe namba yangu kwa ushauri zaidi

Wanaume oyeee it will come to a point mtazoea tu itakuwa ukimwaga mboga mwenzako anamwaga ugali....tunaelekea huko hakuna wa peke yako kama wewe mwenyewe ni wa wengi
 
Kuachana na mke kisa,kachepuka sio njia sahihi ilihali mna watoto wadogo,inauma ila piga moyo konde angalia maisha ya watoto wako,pili Kama na ww unavua chup za wanawake wengne,kuwa na moyo mpana tu ili maisha yaende,maana yeye kafanya kulipiza,
Heheheh kwa hio makubaliano yalikuwa mke kulipiza visasi?
 
ila wanaume bana mkifanya nyinyi fresh sie muache😀😀😀, kweli mtenda akitendewa bana. We si ulikua unaenda kulala kabsa bora yeye amerud. wote badilikeni!
Kaka mm ndio namhudumia sawa,

Lakini Kama na yeye anajiweza Basi hapo kila mtu ashike ustaarabu wake
 
Mkuki kwa nguruwe lakini kwa binaadamu!!
Umepata kinachoendana na ww matunda ya uzinzi wako so inabidi ukubaliane na uhalisia tu.We na mkeo wote wazinzi,mnaendana vyema.Unataka mwanamke mtakatifu wakati wewe mchafu?Hili ni somo zuri sana.Sameheaneni maisha yaendelee mulee watoto.
 
Kuna watu wabinafsi sana...

Hapo juu umekiri kabisa kuwa nawe wachepuka lakini mkeo kuchepuka imekuwa nongwa...

Huenda hata sababu ya mkeo kuchepuka ni baada ya kujua nawe una mipango ya kando, sasa ni kama yamemshinda kaamua kama mbwai na iwe mbwai
 
Ndugu yangu sometimes wanawake wana akili ambayo haijai kifuniko cha soda...

Analeta njemba kitandani kwako, analiwa bao za kutosha, mbaya zaidi kama chmba chako ni self contained, njemba inajifunga taulo lako na anaoga, anajipaka mafuta yako, akihisi baridi anapewa koti/sweta lako..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Ukitafakari haya hutaoa...

Kuoa ni sawa na kujitoa mhanga
Hahahahahahahahah we jamaa ni msengee nimecheka kimaku mzee😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 yani kumma anahudumiwa kama anajua bei ya kodi vile na gas yako anapikiwa kabisa😅😅😅😅😅 na mayai ulionunua anakaangiwa kmmmke
 
Mkuki kwa nguruwe lakini kwa binaadamu!!
Umepata kinachoendana na ww matunda ya uzinzi wako so inabidi ukubaliane na uhalisia tu.We na mkeo wote wazinzi,mnaendana vyema.Unataka mwanamke mtakatifu wakati wewe mchafu?Hili ni somo zuri sana.Sameheaneni maisha yaendelee mulee watoto.

Word!

Mekumichiiiii! long time no see
 
Back
Top Bottom