Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Kumbe alikuwa Ex siyo mumeJe wewe acha kutishia umma ingekuwa mimi unipige kudadadeki ningekufanyia maigizo ya kichina na kimeru na kiniger ningekufumua mpaka hicho kichaa kiishe shuwaini huyo mam anatakiwa akupeleke ustawi wakamii.
Wewe ni ngumi kabisa ,makofi seriously makofi ya mwanaume unayajua?
Wewe mwanamume ni muuwaji.
Kidudu mtu mkeo ameona unapenda Ksana .
Eti wanavuta bangi unatofauti gani na hao.
Unampiga mkeo .
Ex wangu alikuwa akijua unachepuka anakuita siku mko free mnakunjana mpaka ukisema umechoka anakuuliza huko hukuchoka acha hizo nataka usirudie tena