Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Narudia tena sina mke. Chunga mkeo wahuni wasimfanye kama mke wao. Usiukimbie ukweli wa kuhusu hizi ndoa za siku hizi.
Kaka Kama mkeo anapigwa we hujui maana yake ni kwamba hapigwi. Ona Kama mtoa mada karudi home kwa kustukiza anakutana na balaa... Hao viumbe ndio maana Mungu aliwaita Hawa. ( Tamka Hawa????!!!!!)

Ishini nao kwa akili
 
Hivi mnaotaka mke asamehewe mbona hata mume ni mkosaji?kaamua ajitenge nae ili wawe huru.

Mna lengo gani mnaotaka abaki kwenye hii ndoa anaudhaifu gani mpaka asamehewe?

Hii ni adhabu kubwa sana kwa mume kuacha mke haliyakua hajapanga inauma sana.
 
Narudia tena sina mke. Chunga mkeo wahuni wasimfanye kama mke wao. Usiukimbie ukweli wa kuhusu hizi ndoa za siku hizi.
Sasa kama ukweli unaujua si ndio unakuweka huru Sasa?.

Acheni kuwachunguza wake zenu
 
Muache bhanaa akapate utam kwa uhuru.
Haamini vipi na humtoshi hem muulize.
Hafu tuone kati yako na yeye nani atapata wa kumpeti peti
Ni wewe nn ndo mchepuko wake maana toka mwanzo nikisoma reply zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]zinaniacha na maswali
 
Una akili ya kushikiwa wewe! Nani alikudanganya mie nina mke? Angalia wahuni kitaa hapo wanasimamia kucha. Unaona tend ya ndoa za siku hizi lakini bado hutaki kuamini hali halisi. Wacha tu wahuni wafaidi na huwa hawafanyi ajizi.
Sasa kama ukweli unaujua si ndio unakuweka huru Sasa?.

Acheni kuwachunguza wake zenu
 
Una akili ya kushikiwa wewe! Nani alikudanganya mie nina mke? Angalia wahuni kitaa hapo wanasimamia kucha. Unaona tend ya ndoa za siku hizi lakini bado hutaki kuamini hali halisi. Wacha tu wahuni wafaidi na huwa hawafanyi ajizi.
Okay
 
Usiukimbie ukweli Mkuu, ME anaweza kuwa anajituma sana kwenye ndoa yake lakini wahuni wanamvua picchu mkewe Mkuu.
1622398296053.jpeg

 
Huu ushauri wa hovyo tyuuh, mbna huyo mwanaume anachepuka huko nje sana tyuuh. Au hamlioni hili? Unafiki tyuuh.
Ww cocastic au ndio mtuhumiwa nini mbona mkali hivyo😜!?
 
Huu ushauri wa hovyo tyuuh, mbna huyo mwanaume anachepuka huko nje sana tyuuh. Au hamlioni hili? Unafiki tyuuh.
Ww cocastic au ndio mtuhumiwa nini mbona mkali hivyo😜!?
 
Sina hakika sababu nilitrack mawasiliano ya manzi na chats na calls zao na jamaa alikuwa anaashiria kuwa ndio siku ya kwanza anataka kuja kumpiga pumzi ila akawa kama anamuulizia sana juu ya usalama wake kwamba ni freshi nikija hapo hapo geto! By that time nilikuwa nakaa self moja tu!

Demu akanipanga mimi toka jana yake kuwa dadaake kesho atakuja kwa ajili ya graduation ya mtoto wa kaka yao! So kaomba alale pale kwetu alale na ndugu yake kwa kuwa mie sikuwa na hiana nikasema acha tu nimpishe sababu kwao walikuwa hawajui kuwa anakaa kwangu walijua kapanga kivyake.

Basi mie kwa kuwa na maseke kile kitu sikukielewa nikaamua nifanye ujasusi kumbe kweli ilikuwa ule usiku napigwa tukio la hatari kama ningejiachia huko niliko!

Nilichofanya nikampigia simu jioni kwasababu picha linaanza hakunipa feedback juu ya huyo mtu kafika au la! Toka asubuhi mpaka Saa 3 usiku mtu atoke Dar hajafika tu na gari ya mwisho kabla ya 2 inakuwaga ishatia timu!

Nikaanza kuhisi usanii ule! Kufungua database yangu kweli nakuta ni mwamba wanapangana kuwa aje amkaze maana mie sipo na alimdanganya yupo single nadhani! Nilichokifanya nikawahi eneo la tukio nikabana mahali nikawa nashuhudia kila kitu kummmk. Baada ya kuingia ndani tu sikufanya ajizi nikajongea mlangoni na kugonga kibabe! Alipofungua mlango hakuamini anachokiona!

Chumba ilinunuliwa spray sikuhio chumba kinanukia balaa na maji jamaa anachemshiwa aoge huku kashaagiziwa chipsi kuku! Kummmy wanawake hawa waoneni tu..ni kama akili ilipiga short nilifukuza yule jamaa nikabana mlango. Ilikuwa nafanya umafia wa ajabu siku ile maana nilishavua mkanda! Muuza chips alipoleta chips ndio kutoka azipokee akapata na upenyo hapo hapo wa kutoroka kifo!
Jaman mpare wa watu alitaka kupigwa tukio heavy, ila hongera yenu mko smart, sema mna kasumba ya hasira na wivu lol.
 
Majukumu gani labda? Yani kwamba wewe hutombwi au hulishwi? Ndio useme unachepuka wakati wanawake wanakaa kwenye mahekalu na magari ya gharama na bado wanaliwa na mafundi kushona tunawaona!

Mwanamke kuchepuka ni anafanya kusudi na adhabu yake anaijua kabisa!
Jaman kwahiyo mwanamke, akilishwa, akitombwa, akiishi kwenye kasri, akiwa na ndinga kali, bas mwanaume ameshamaliza majukumu kwa mkewe? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa inabidi ujiulize why fundi kushona au boda boda? Unakwama wapi yaan, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jaman mpare wa watu alitaka kupigwa tukio heavy, ila hongera yenu mko smart, sema mna kasumba ya hasira na wivu lol.
Kweli wivu ninao wa kutosha aisee! Uzuri ni kuwa hatunaga tabia ya ukicheche tukiwa in serious relationships! Hasira ni asili kwetu wapare mie hasira zangu ni mbaya sana
 
Jaman kwahiyo mwanamke, akilishwa, akitombwa, akiishi kwenye kasri, akiwa na ndinga kali, bas mwanaume ameshamaliza majukumu kwa mkewe? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa inabidi ujiulize why fundi kushona au boda boda? Unakwama wapi yaan, [emoji23][emoji23][emoji23]
Fundi kushona si wanawala sababu mnajirahisisha kwao, amini kwamba usipojirahisisha kwa mtu hawezi kukula kizembe!
 
Sio mtazamo, au huna kuku? Mbuz? Basi nenda hata Serengeti utakuta hayo maisha, that is nature mama

Unaona haikufai, busara n kutundika daluga tu
Kwahiyo unaona binadamu mwenye akili na utashi ni sawa na wanyama wenye akili tyuh pasipo utashi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Aseeeh poleeh san.
 
Back
Top Bottom