Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Yupo japo hatusemezan kila mtu na ratiba zake ,na nikama anaonyesha mimi ndio mkosaji wala hajakubali kosa,,bado nasubir utekelezaji wa plan zangu
Kaa na wife muyajenge mkuu ht ww umemkosea, ndomaana mkosi unahamia nyumbani kw kuendekeza zinaa.
 
Hahahaha tena wakijua ni mume wanaongeza na majonjo na umaridadi na mapishi ya hali ya juu. Si umeona humu jamaa wanataka kumuacha mke ili waoe HG? Mke kajusahau kama ni mke yeye na social media, tamthilia na marafiki zake. Mume akimgusa nimechoka, naumwa kichwa blah blah. Sisemi wanawake wote walio kwenye ndoa wanafanya hivyo la hasha lakini inakuwaje mtu uliyempenda saa zote kutaka kuwa naye wakati wa kudate akiomba papuchi saa yoyote hanyimwi lakini baada ya ndoa tu unabadilika. Makosa ndani ya ndoa yako pande zote mbili Mkuu.
Ndo maana kila siku huwa nasema ktk ndoa, kuwe na uangalizi pande zote mbili, sasa matatizo yanatokea kwa wingi sababu upande m1 unaona uko sawa tyuuh. Mwisho wake vilio tyuuh.

Ila ndoa tamuuh bhanaah.
 
Pumbavu kabsa nyote ni wazinzi usimtafutie mwenzio sababu ya kumwacha kama una jeuri kweli mpe nawe simu yako kama hujaamka asubuhi umekatwa korodani.Wanaume mnatukoseaga sana sema tu makosa mnayaonaga kwetu.Hii ndo maana halisi ya kila muosha..huoshwaa.
Just cul down!
 
Huu ushauri wa hovyo tyuuh, mbna huyo mwanaume anachepuka huko nje sana tyuuh. Au hamlioni hili? Unafiki tyuuh.
Ww cocastic au ndio mtuhumiwa nini mbona mkali hivyo😜!?
Hahahah jaman mie Mr wangu hanaga mambo ya kushtukizan, na mie siwezi kumsaliti, japo akisaliti nikijua lazima nilipize kisasi, naye anafahamu hilo.
Duh, ww kumbe wa hivyo loh! We baki njia kuu no matter what, utaumia bure ukifikiri unamkomoa mtu😜!
 
Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...

Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!

Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Nilitaka kuandika hivi. Mke wako ana dharau. Afadhali angekiri makosa na kuomba msamaha. Lenyewe eti bado linabisha. Shenzi kwelikweli
 
Sawa mkuu..uendelee basi kutupa feedback sisi wadogo zako tujifunze kitu kabla ya kuwa full committed na swala la ndoa.

Ndoa haina formula maalum ni ww tu kuamua kuoa ili uanze kujenga familia yako,kitakachotokea ni changamoto zake either ukae tu kimya life liendelee au mwachane.
 
Kwanini inakuukiza wewe.. na wewe unayafanya hayo..na ulikuwa na mpanho wa kwenda kwa mchepuko pia jana usiku.. alitakiwa akulaze polisi kwa kumpiga..

Wanaume na nyie mkome..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wanaume wao kucheat wanaonaga sawa ukute hapo ana michepuko zaidi ya mitatu kwa wakati mmoja.

Ila mwanamke yeye atulie tu eti ajenge ndoa. Suala la ndoa linapaswa kujengwa na pande zote mbili, mwanamke na mwanaume siyo mwanaume anabomoa kwa bidii halafu mwanamke atulie hiyo haipogo kwa kweli.

Kama kujenga tujenge kama kubomoa tushirikiane[emoji15]
 
Ushauri wa kiroho: Kama utaendelea kuishi na huyo mwanamke basi unajiingiza mwenyewe kwenye shimo la mauti.
Ni aibu sana mwanamke kuwa malaya.
Mithali 5:1-
Kwa hiyo mwanaume kuwa malaya ni fahari, hapo ndipo wanaume mnaponishinda Tabia.
 
Hapana. Uzinzi na dhambi yoyote ni jambo baya kwa mtu yeyote bila kujali jinsia yake.
Tatizo mwanamke akiachia papuchi huzamia jumla. Mwanaume anaweza kufanya sex kwa kujipa raha tu huku moyo wake ukabaki nyumbani
Hakuna anayefanya sex nje awe mwanamke au mwanaume halafu akabakiza moyo nyumbani.

Ni wanaume wangapi wanatelekeza familia bila mahitaji na wengine kuondoka kabisa.

Bado dharau iliyopitiliza kwa mkewe? Suala la uzinzi halina justification.
 
Hivi mnaotaka mke asamehewe mbona hata mume ni mkosaji?kaamua ajitenge nae ili wawe huru.

Mna lengo gani mnaotaka abaki kwenye hii ndoa anaudhaifu gani mpaka asamehewe?

Hii ni adhabu kubwa sana kwa mume kuacha mke haliyakua hajapanga inauma sana.

Nawaza sana ntawambia nini ndugu zangu,au ndugu zake kwa jinsi tulivyo pendana ni aibu kubwa sana kwangu kusema namwacha kwajili ya ametoka inje ya ndoa,lakin ntafanyaje?itabid iwe hivo nafsi yangu na moyo wangu unashindwa kuvumilia nikikumbuka msg zao nikiziweka hum mtashangaa kwann mpaka saiz yupo ndani kwangu
 
Nawaza sana ntawambia nini ndugu zangu,au ndugu zake kwa jinsi tulivyo pendana ni aibu kubwa sana kwangu kusema namwacha kwajili ya ametoka inje ya ndoa,lakin ntafanyaje?itabid iwe hivo nafsi yangu na moyo wangu unashindwa kuvumilia nikikumbuka msg zao nikiziweka hum mtashangaa kwann mpaka saiz yupo ndani kwangu
Wewe unaumia sasa yeye ulishamuumiza kitambo kwa kuwa na michepuko kadhaa na mwingine kuupa ahadi ya kuuoa mke wa pili.

Unadhani mwanamke wako hana hisia? Alipaanza kutokukufuatilia ndipo na yeye alipoamua kutafuta furaha yake nje huko.

Ukiona mkeo anakufuatilia sana shukuru sana ila cha ajabu sasa wanaume wengi wanaona kero na kusema ooh mke ana makelele wakati umenogewa na michepuko.

Akiona huna dalili za kubadilika anatafuta pain killer halafu anakuangalia tu na drama zako,

Wakati unashangilia uko huru na michepuko yako mkeo hakufuatilii tena, Jua uko hatarini kuliko wakati wowote bora alivyokuwa vuvuzela huo ndiyo ukweli mchungu.
 
Unafikri jana angekua kapokelwa na mchepuko angeyajua haya ya mke kurud saa sita 6 kuna muda mchepuko unasaidia kulinda ndoa imagine sasa hv ndoa inaelekea kufa kisa mchepuko kapitiwa na usingizi hii jeur ya kulala na babe wake anarud kaitoa wapi?
Watakuelewa wachache. Lakini una hoja ya msingi sana. Mchepuko ni chanzo cha yote haya.
 
Nilitaka kuandika hivi. Mke wako ana dharau. Afadhali angekiri makosa na kuomba msamaha. Lenyewe eti bado linabisha. Shenzi kwelikweli
Mke ambaye amefikia level hio huwezi kumuita mke mbele za watu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom