Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Hata mm ananishangaza sana na amekiri kabisa alipunguza huduma kwa mkewe (sex to be specific) akahamishia kwa michepuko ina maana alitaka mkewe ajichue?? Ajiingizie vidole wakati kuna wanaume kama yeye wanamshughulikia vizuri tena ukutr kulko yeye ukimuacha usisahau wote mlichepuka tena ww ndo ulimsababishia mwenzio analala na nyege wakat mme wake yupo

Baadhi ya wanaume ni wabinafsi mnooo, yani yeye anajiona yuko sawa kabisa, haoni shida yoyote upande wake, lawama zote ni kwa mke [emoji848][emoji848] wakati mwanzilishi wa usaliti ni yeye ila halioni hilo [emoji848][emoji848] . Mvunjaji wa hii ndoa ni mwanaume mwenyewe na sio mwanamke
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Piga Taraka haraka sana
 
Sijaoa ila principles ni hizi.

Mke akikukosa risasi, ama akakupiga lakini isikuue ama akakupiga panga ya shingo lakini bahati nzuri ukapona, msamehe na ongeza upendo kua zaidi ya ule wa mwanzo.

Lakini mke akichepuka kwa sababu yoyote ile usimsamehe.

Madhara ya mwanamke kuamua kuchepuka ni makubwa hatari zaidi kwenye maisha ya mume kuliko hata angempiga risasi.

Take it or leave it.
Tumia huu ushauri, mwanamke haluhusiwi kuchepuka,akichepuka unamwacha mana Ni zaray ya kiwango Cha sgr
 
Umekiri mwenyewe kwamba una michepuko sasa unamwacha ili iweje? Au mkuki KWA nguruwe?

Msamehe.Ishini.Leeni watoto.Watoto wanahitaji malezi ya baba na mama,kinyume chake ni ukatili kwa watoto.watoto wawe yatima kwa kifo Cha mzazi lakini si kwa makosa yenu.
Point
 
Ww cocastic au ndio mtuhumiwa nini mbona mkali hivyo[emoji12]!?

Duh, ww kumbe wa hivyo loh! We baki njia kuu no matter what, utaumia bure ukifikiri unamkomoa mtu[emoji12]!
Yeye kwanin asibaki njia kuu? Na mie nataka kujua huko njia ya mkato kuna nn? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume bwana!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ishawahi nikuta hii aisee sitakaa nisahau japo nilikuwa nashuhudia moves za jamaa toka anaingia! Mpaka demu anabeba viatu vyake anaviingiza ndani! Nikawakurupua kabla hawajaanza sex
utaua watu wa mshtuko wewe😁😁
 
Point of correction, waambie ndugu , jamaa na marafiki mnaachana kwa kuwa wote mumetoka nje ya ndoa, huyo mwanamke hajatoka nje ya ndoa peke yake hata wewe pia umesaliti ndoa. Usimtwike zigo lote mwenzako, gawaneni 50:50 maana wote kosa lenu ni moja. Ila mleta uzi bado unanishangaza sana , yani mpaka sasa unajihesabia haki, huuoni uzinzi wako ila unauona uzinzi wa mkeo tu [emoji3]
Yaan mie ananishangaza kwa kweli khaaaah, bora hata wee umueleze khaaaah.
 
Baadhi ya wanaume ni wabinafsi mnooo, yani yeye anajiona yuko sawa kabisa, haoni shida yoyote upande wake, lawama zote ni kwa mke [emoji848][emoji848] wakati mwanzilishi wa usaliti ni yeye ila halioni hilo [emoji848][emoji848] . Mvunjaji wa hii ndoa ni mwanaume mwenyewe na sio mwanamke
Hakika umenena haswaaaah. Ubarikiwe sana.
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Hii ishu Kuna jamaa yangu ilimtokea mwez Jana lakin hvi ninavyoandika tayar washagawana Mali KILA mmoja nakwake Hawa viumbe nikiboko
 
Ishawahi nikuta hii aisee sitakaa nisahau japo nilikuwa nashuhudia moves za jamaa toka anaingia! Mpaka demu anabeba viatu vyake anaviingiza ndani! Nikawakurupua kabla hawajaanza sex
Duh Mkuu pole sana hasa kwa kumuwahi jamaa kabla hajala mzigo, nje ya Mada unaendelea naye kama wife?
je km uliwawahi ni kwamba hawaendelei au jamaa kabla hajawahi onja?
ni experience tu maana mm yamenikuta kwa mchepuko nilimpangia na kumtembelea asubuhi hakuwepo hadi saa sita mchana simu alizima siku 3 lkn siku hiyo saa 6 aliwasha
 
Sheria n moja tu, "CHEPUKA LAKINI USIKAMATWE" siku hizi 80% ya wanandoa wote ni wazinzi tu.
Kuoa n kubahatisha
Unaweza ukaoa mwanzoni akaonekana mtulivu lakini mwishoni mambo yakabadilika.
Mkuu pole Na kilichokukuta. Kitu cha msingi ni kukaa chini Na kuzungumza Na mkeo. Mwanamke uliyemuoa kwa ndoa mkaishinae Na kuzaa nae watoto /mtoto n bora sana.
Katika maongezi hakuna kinachoshindikana.
Then jitahidi sana upige show vizuri kwa maana hiko ndiko kitu cha kwanza kabisa mwanamke alichokifuata kwako. Mengine yanafuata
Ahsante
 
Sheria n moja tu, "CHEPUKA LAKINI USIKAMATWE" siku hizi 80% ya wanandoa wote ni wazinzi tu.
Kuoa n kubahatisha
Unaweza ukaoa mwanzoni akaonekana mtulivu lakini mwishoni mambo yakabadilika.
Mkuu pole Na kilichokukuta. Kitu cha msingi ni kukaa chini Na kuzungumza Na mkeo. Mwanamke uliyemuoa kwa ndoa mkaishinae Na kuzaa nae watoto /mtoto n bora sana.
Katika maongezi hakuna kinachoshindikana.
Then jitahidi sana upige show vizuri kwa maana hiko ndiko kitu cha kwanza kabisa mwanamke alichokifuata kwako. Mengine yanafuata
Ahsante
Hapo ndio wanaume wengi tunakosea sana! Mwanamke siyo kupiga show tu ndio kunamtuliza asichepuke! Na wala siyo kweli wanakochepukia hukuta show sijui ya maana kuliko walioiacha! Mambo ni complicated sana i see 🤔!
 
Back
Top Bottom