Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Wazinzi wamekutana nisikitike nini? Watajua wenyewe sidhani kama inatuhusuHamna cha kusikitisha wakati mke ameliwa na muhuni tu huko au Ww ni kawaida yako unamzunguka jamaa yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazinzi wamekutana nisikitike nini? Watajua wenyewe sidhani kama inatuhusuHamna cha kusikitisha wakati mke ameliwa na muhuni tu huko au Ww ni kawaida yako unamzunguka jamaa yako
Haiwagi mara moja hiyo...itarudiwa 😀Na tunasema hiviii mechi irudiweee,irudiweee
Mmhhh!!!,km kuna ukweli hivi?!!Sijaoa ila principles ni hizi.
Mke akikukosa risasi, ama akakupiga lakini isikuue ama akakupiga panga ya shingo lakini bahati nzuri ukapona, msamehe na ongeza upendo kua zaidi ya ule wa mwanzo.
Lakini mke akichepuka kwa sababu yoyote ile usimsamehe.
Madhara ya mwanamke kuamua kuchepuka ni makubwa hatari zaidi kwenye maisha ya mume kuliko hata angempiga risasi.
Take it or leave it.
Jera ntaenda lakini kwetu tuna msemo usemao AFIRWAYE HAFIRUKIUtaenda jela na living stone atakuwa anagonga hapo kwa mkeo.. Na mkeo ataacha kukutembelea huko jela
Sipo chuo, nafanya mishe zangu za kawaida.Unafanya kitu gani kwa sasa? Upo chuo au?
Wewe bhana wacha Mambo ya kitoto wewe mbona unakula nje huko
Kaa chini na mkeo myajenge hakuna asiyekosea hapa duniani
Watoto wa siku hizi mpoje aiseee ...
Aaah wapi wew wakati una mchepuko wa kudum umemkamata mpaka hataki kuoa weeee.Nitaenda[emoji3][emoji3], siku hizi nimeweza kupunguza dhambi kubwa kubwa
🤣🤣🤣🤣 Hujui nini kilipelekea ikawa vile,ni long time ago aisee mimi sio sababu ya yeye kutokuoa.Aaah wapi wew wakati una mchepuko wa kudum umemkamata mpaka hataki kuoa weeee.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo unakomesha mdogoagu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hujui nini kilipelekea ikawa vile,ni long time ago aisee mimi sio sababu ya yeye kutokuoa.
Hlf mimi sifagilii mke kuchepuka ila mnakera mnapofumbia macho uchepukaji wa jamaa.
Kwa case hii mke anadeserve kuliwa...nampongeza. Dawa ya usaliti ni kisasi...inapunguza maumivu ya moyo.
Sina mzuka tena na mwanaume mwingine zaidi ya huyu wangu, siku nikimkosa najikojolesha mwenyewe maisha yanaenda.Kwa hiyo unakomesha mdogoagu.
Hizi taarifa zitafika kwa usalama zaidi kulinda familia.
Yaani bila ya hivo ni kwamba utachepuka milele.
Kinywaji kinakuharibu.[emoji847][emoji847]
Safii utulie sasa na sala kwa Sana [emoji23][emoji23] hapo kama umetulia now niseme shemeji zako tunakupenda sanaa mbalizi1 pia ataliona hili.[emoji23][emoji23]Sina mzuka tena na mwanaume mwingine zaidi ya huyu wangu, siku nikimkosa najikojolesha mwenyewe maisha yanaenda.
Amini kuna mengi mazitoAiseee, chumbani kwako kabisaaa!? Duuh!.... mnatutisha waoaji wapya[emoji38]
Apambane na hali yake tu, ye mwenyewe kasema anamchepuko, sasa hapo anachopanic nini....Evelyn Salt njoo umpe ushauri Kaka yako
Boya tuApambane na hali yake tu, ye mwenyewe kasema anamchepuko, sasa hapo anachopanic nini....