Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Huo uhalali wa kuchepuka we unaupata wapi?

Hivi wanaume mnajikutaga kitu gani?

Yaan we kulala na wanawake tofauti ni haki yako, ila yeye mchepuko mmoja ( Livingstone) ndo umepaniki hivi?[emoji57][emoji57]

Flabagasting [emoji849][emoji849]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kupiga hata hakusaidii. Muhimu ni kuzungumza. HAMNA KITU NACHUKIA KAMA MWANAUME ANAEMPIGA MKEWE. HATA KOSA LIWE LIPI. JAMAA KAMPIGA NGUMI YA USO MKEWE. SASA ANGEMPOFUA! YEYE NAE NI MTOTO WA MTU.
Bila kupiga siwezi women pasua kichwa, satanically women are not friends they are practically competitors to their husbands.
 
Huo uhalali wa kuchepuka we unaupata wapi?

Hivi wanaume mnajikutaga kitu gani?

Yaan we kulala na wanawake tofauti ni haki yako, ila yeye mchepuko mmoja ( Livingstone) ndo umepaniki hivi?[emoji57][emoji57]

Flabagasting [emoji849][emoji849]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Dada...
Kutombewa sikia tu...
Usiombe hiki kitu kimkute ndugu yako yoyote wa kiume...
Kika mwanafamilia roho itamuuma..

Sijui kwa nini wanaume tuliumbiwa wivu huu..?[emoji119][emoji119][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji119][emoji119]

Na ukitombewa, omba usijue..
 
Nami nimetoa ushauri kama huu Mkuu, lakini bila shaka jumbe anazodai kuzikuta kwenye simu na hawezi kuziweka hapa zimemuumiza zaidi kiasi cha moyo kugoma kabisa kuendelea na ndoa yake. Mbaya zaidi anasikitika ndoa yake kuvunjika na watoto wake wa 4 years na 2 years kutokuwa na wazazi walio ndani ya ndoa.
Pole ndugu,

Zama za mwisho hizi.
Maamuzi ni yako mwenyewe.
Madhali ushamjua kua naye ni msaliti,
Ndio jifunze kuishi nae kwa akili.

Ukute hata mchepuko wako nae alikuwa anachepuka huko ndio maana nae akawa hapatikani, hadithi zao ndio hizo hizo.
Hata ukaanze upya, asilimia kubwa zama hizi ndio hao hao.

Ushauri wangu,
Usimuache.
Ishi nae kwa akili.
 
Mambo ya ndoa magumu sana.. natamani ningeishi kipindi cha mababu zetu, wake zao walikuwa wanawapenda na kuwaheshimu. Sio sasaiv tabu tupu!
 
So
Duuh kumbe siyo jambo la ajabu, kazi tunayo wanaume!!
Kwa mtazamo huu sijui tutegemee nini kutoka kwa watoto wetu wa kike, maana ninyi ndo role model wao
Ila jua kule West Africa bado wanapigwa mawe hadi kufa, kama ilivokuwa wakati wa Musa
Rusha mawe iwapo mikono yako I safi kwenye hili.
Kuhusu watoto wa kike.
Watoto wetu wa kike tunawaandaa kukutana na watoto wenu wa kiume waliojifubza kutoka kwenu baba zao.

So usihofu ,wako well covered
 
Dada...
Kutombewa sikia tu...
Usiombe hiki kitu kimkute ndugu yako yoyote wa kiume...
Kika mwanafamilia roho itamuuma..

Sijui kwa nini wanaume tuliumbiwa wivu huu..?[emoji119][emoji119][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji119][emoji119]

Na ukitombewa, omba usijue..
Kwani mnakuwa mnajisikiaje, mbona si tukijua tunaona normal tu ni umalaya wenu?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nami nimetoa ushauri kama huu Mkuu, lakini bila shaka jumbe anazodai kuzikuta kwenye simu na hawezi kuziweka hapa zimemuumiza zaidi kiasi cha moyo kugoma kabisa kuendelea na ndoa yake. Mbaya zaidi anasikitika ndoa yake kuvunjika na watoto wake wa 4 years na 2 years kutokuwa na wazazi walio ndani ya ndoa.

...kwa hayo masikitiko ndio maana nikamshauri ni bora asamehe na ajifunze kuishi nae kwa akili.

Angekuwa “msafi,” ningesema ana haki ya kuamua otherwise. Lakini, mwenyewe amekiri siku hiyo alikuwa na mpango na mchepuko wake ambao hata mkewe anamjua.

Msamaha wa kweli toka pande zote ndio utawaweka wote huru ili waendelee na maisha yao ya ndoa.
 
Pole ndugu,

Zama za mwisho hizi.
Maamuzi ni yako mwenyewe.
Madhali ushamjua kua naye ni msaliti,
Ndio jifunze kuishi nae kwa akili.

Ukute hata mchepuko wako nae alikuwa anachepuka huko ndio maana nae akawa hapatikani, hadithi zao ndio hizo hizo.
Hata ukaanze upya, asilimia kubwa zama hizi ndio hao hao.

Ushauri wangu,
Usimuache.
Ishi nae kwa akili.
Mkuu siku hizi hata akili zenyewe zinadunda , sijuwi tuishi nao kwa namna gani yaan
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom