Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Halafu acheni kuwashauri watu waishi kwa kuteseka kisa watoto,Mtu akizingua ondoka faster...angalia namna bora ya kuwalea watoto wako bila kuendelea kuishi na shetani..yaanj ulale na msaliti pembeni yako kila siku kisa eti watoto?
 
Na mwanaume

Yani hapa uzi umejaa comment za Auwawe auwaweee.

Kama kwamba huyu mke kafanya jambo la ajabuuuuu.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Laiti wangejua wao na huyu hawachekani!
🤣
Tatizo ni moja mwanamke kuachana na mchepuko ni shughuli kidogo coz mwanamke mara nyingi tofauti na mwanaume hachepuki kwa tamaa za kimwili. Ila wanaume akiona tak tu au mitego mitego tayar anatongoza but ukimaliza huna muda tena unamkumbuka mke wako. Acha watu watoe nyongo
 
Baba hii dunia ningumu nikujiandaa kukabiliana nayo tu wapo walioacha wake kwamazingira haya halafu wakaoa yaliyowakuta mwisho wakatamani bora hata kule mwanzo yani hawa watu kunamwingine anachepuka ila usimamizi wafamilia namipango ya maisha kila mtu anatamani kuwa nae
Ndiyo mkuu...
Unaweza kuoa mwanamke mpya ukapata stress zaidi kuliko yule wa zamani...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
On a serious note hata sisi tuko hivyo hivyo kama nyie, tukigundua tunasalitiwa tunatamani kuondoka na ndulele zenu...sema nini wanawake wajanja sana coz kwakuwa hana pa kwenda na ile kuogopa jamii itamuonaje akiachika, anaendelea kuishi na wewe huku dyudyu anapata nje kisiri siri sana huwezi jua...basi we unajiona kiduume[emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Unazidi kunifanya niwaze nje ya box..

mnapata dyudyu kinya kimya..??

Sent from my itel P51 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe na wewe unayo mchepuko??? Sasa si usamehe tu, sasa unahukumuje wakati wewe pia unachepukaga??
Kuchepuka ni kuchepuka tu regardless ni nani umechepuka naye
Ulimwengu umewapa heshma kubwa Mama zetu (including wadada wote)
Swala la kuchepuka kwakweli huwa haliko comfortable kijamii likifanywa na mke

KWA standards za kijamii baba akifumaniwa huwa sio habari kubwa ila mama akifumaniwa trauma yake KWA watoto wake haisimuliki

,KWA hiyo jamii imewapa heshma kubwa na ina matarajio makubwa juu ya mienendo yenu katika mahusiano,

Ukichepuka sababu mumeo anachepuka ,jamii inasimama na mumeo 100 percent hata utoe ushahidi kwamba hata naye anachepuka
 
Ulimwengu umewapa heshma kubwa Mama zetu (including wadada wote)
Swala la kuchepuka kwakweli huwa haliko comfortable kijamii likifanywa na mke

KWA standards za kijamii baba akifumaniwa huwa sio habari kubwa ila mama akifumaniwa trauma yake KWA watoto wake haisimuliki

,KWA hiyo jamii imewapa heshma kubwa na ina matarajio makubwa juu ya mienendo yenu katika mahusiano,

Ukichepuka sababu mumeo anachepuka ,jamii inasimama na mumeo 100 percent hata utoe ushahidi kwamba hata naye anachepuka

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
I think kuna point
 
Ulimwengu umewapa heshma kubwa Mama zetu (including wadada wote)
Swala la kuchepuka kwakweli huwa haliko comfortable kijamii likifanywa na mke

KWA standards za kijamii baba akifumaniwa huwa sio habari kubwa ila mama akifumaniwa trauma yake KWA watoto wake haisimuliki

,KWA hiyo jamii imewapa heshma kubwa na ina matarajio makubwa juu ya mienendo yenu katika mahusiano,

Ukichepuka sababu mumeo anachepuka ,jamii inasimama na mumeo 100 percent hata utoe ushahidi kwamba hata naye anachepuka
Acha kuhalalisha usaliti kwa wanaume wewe[emoji57][emoji57]

Sijui wakina mama blah blah, kwanini nyie mle nje? Sisi hatuna mioyo? Hatuumii?

Ukikamatwa ujue umehalalisha usaliti to both of you

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Wako pamoja siku baada ya tukio mke alitaka kugegedwa mume akagoma hadi wapime HIV ili kujua yuko salama. Jamaa anateseka sana kwa yaliyojiri.

...bado tunarudi kulekule kwenye self incrimination.
Kwa mchepuko yeye anapigaje?

Mwenyezi Mungu akitaka kukuumbua, majibu ya mume yanaweza rudi +ve, ya mke yakarudi -ve.

Atumie kinga,
Asimnyime unyumba mkewe.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ulimwengu umewapa heshma kubwa Mama zetu (including wadada wote)
Swala la kuchepuka kwakweli huwa haliko comfortable kijamii likifanywa na mke

KWA standards za kijamii baba akifumaniwa huwa sio habari kubwa ila mama akifumaniwa trauma yake KWA watoto wake haisimuliki

,KWA hiyo jamii imewapa heshma kubwa na ina matarajio makubwa juu ya mienendo yenu katika mahusiano,

Ukichepuka sababu mumeo anachepuka ,jamii inasimama na mumeo 100 percent hata utoe ushahidi kwamba hata naye anachepuka


Zamani,
Hii jamii ya siku hizi mume utaonyeshwa sympathy ya kinafiki tu siku ya kikao, behind your back utasikia wanakung’ong’a “kama ana tatizo la nguvu ya kiume lazima asaidiwe!”
 
Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...

Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!

Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Utaomba msamaha mwenyewe
 
Kuna hali huwa tunajisikia..hali ngumu sana..
Unahisi roho inatoka lakini haitoki...

Unahisi ni jioni, ila siyo jioni,
Unahisi giza ila siyo giza..

Unahisi njaa ila hakuna kinachopita mdomoni..
Usingizi hauji...

Ukipita mahali ukaona watu wanacheka, unahisi wanakucheka, unahisi wameshajua kila kitu..

Dunia unahisi kama vile imebadili mzunguko, juna uhisi limebaddili mwanga.

Unakaa tu ndani ukiwa mkiwa, kama una roho ndogo unajinyonga au unakunywa sumu, au unaua mtoto wa watu...

Mbaya zaidi ukishatombewa, nguvu za kiume zinaisha pale unapokutana na mkeo....Ukivhomeka dyudyu unakumbuka Msela naye alichomeka hapa, akapiga bao...basi dyudyu linalala.....hata ukilibust kwa betri ya gari ya 24v haliamki..

Hii hali mwanaume anaweza kuishi nayo mwezi moaka miezi..

Dada witnessj narudia tena, Kutombewa sikia tu...usiombe kutombewa...na usiombe ndugu yako wa kiume atombewe...
Mkuu upo sahihi Mzee mmoja miaka ya 90 nikiwa mdogo aliwai niambia ktk maisha omba Mungu usifumaniwe na mke wa mtu wala usimfumanie mkeo.
 
Jana nimepanda bodaboda nashuka,dogo ananiambia madam mwalimu Fulani pale kazini kwenu nimemla juzi..halafu mmewe mambo safi anamuwekea mafuta full tank anahudumia familia 100% daahh!!!nimechoka na mmewe namjua baasi niliumia roho mnoo...
Dogo nimembishia kanambia hivi next time nikimla ntakushtua uje ukae pembeni ya gesti uone tunavotoka...!!!

Seriously wake za watu ni malaaaaaaya kuliko wasoolewa...!!!
....Na huko nje zaidi ni wanafuata mchezo wa 'Tundu Dogo' tu maana hawaupandu nyumbani kutokana na Waume zao kuwaendea kiheshima heshima tu na kutothubutu kuwaomba huko!! Kumbe huko nje Wanatifuliwa tu!
 
Back
Top Bottom