Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukwel ni kwamba hukupima d.n.a
ukweli n kwamba kuna mtoto si wako
hakuna namna mlee tu
kukwepa watoto wa mitaani
hata kama siyo wako, watakuambia ni wako
Kwasasa Usemacho Ni Kweli Kabisa, Yaani Kutulia Ni Muhimu Yaani Siri Za Ndoa Na Watoto Ni NyingiMimi namwambia ukweli
Haya mambo sio ya kuchokonoa na kujitapa
Oooh hooooo
Utazaa na sabuniKataa ndoa, Ndoa ni utapeli !! Fullstop.
Hiyo ni roho ya ubinafsi, na inaweza fanya mtoto kuwa mnyonge hata kupunguza upendo, katika maisha ya dunia hii hakuna ajuae kesho.. unachoweza kukitaa leo kumbe kesho kimeandaliwa kuwa kama daraja kwako... Siwezi mpima mtoto DNA .. mtoto anapotungwa mimba hakuna alichopanga anazaliwa tu hana makosa awe wako au sio wako
Mhh ngoja nikae kimya ila ungejua😊😊Mkuu nina imani na wakili aliosimamia hili swala
Hawezi kutamka huo ujinga mkuu. Utakuwa umebuni au umesikia stori za vijiweni.Kuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
Kwani unafikiri utaambiwa sio wako?
Mie namle mtoto, akija ate sema ni wake, unamuachia.. ndio utaona nguvu ya upendo na malezi ya ubaba. Kuna watoto wengi wazazi wao walezi ndio kama baba zao harisi na ilhali wazazi wao wa damu wapoMtoto akishaambiwa ni wako unatulia
Mwenye ubavu aje akusumbue umshughulikie
Unampa ushauri gani??Kuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
Ngoja tukae kimya.We mwache aendelee kujipongeza kama vile anajua yaliyomo
Kwasasa Usemacho Ni Kweli Kabisa, Yaani Kutulia Ni Muhimu Yaani Siri Za Ndoa Na Watoto Ni Nyingi