Mrejesho kuhusu kupima DNA za watoto wangu

Mrejesho kuhusu kupima DNA za watoto wangu

ukwel ni kwamba hukupima d.n.a
ukweli n kwamba kuna mtoto si wako
hakuna namna mlee tu

Kama mtoto alishaambiwa ni wako wewe chukua hiyo
Hayo mambo mengine achana nayo..... miaka yenyewe ya kuishi 70 tuu na sasa umebakisha robo yake bado unajitaabisha😂
 
Mimi namwambia ukweli
Haya mambo sio ya kuchokonoa na kujitapa
Oooh hooooo
Kwasasa Usemacho Ni Kweli Kabisa, Yaani Kutulia Ni Muhimu Yaani Siri Za Ndoa Na Watoto Ni Nyingi
 
Hiyo ni roho ya ubinafsi, na inaweza fanya mtoto kuwa mnyonge hata kupunguza upendo, katika maisha ya dunia hii hakuna ajuae kesho.. unachoweza kukitaa leo kumbe kesho kimeandaliwa kuwa kama daraja kwako... Siwezi mpima mtoto DNA .. mtoto anapotungwa mimba hakuna alichopanga anazaliwa tu hana makosa awe wako au sio wako

Mtoto akishaambiwa ni wako unatulia
Mwenye ubavu aje akusumbue umshughulikie
 
Back
Top Bottom