Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Zaeni nje muone. Mimi sihutaji mkemia. Nawabwaga woote. Siwezi kulea kwenye mashaka.Peleka hata kenya urudisha hapa jiefu majibu. Hatutaki watoto wa mitaani. Mkemia uko sahihi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaeni nje muone. Mimi sihutaji mkemia. Nawabwaga woote. Siwezi kulea kwenye mashaka.Peleka hata kenya urudisha hapa jiefu majibu. Hatutaki watoto wa mitaani. Mkemia uko sahihi.
Ndio mimi ni mbinafsi mkuu.
Hebu jiulize wewe sio mbinafsi? (Usinijibu, jijibu wewe mwenyewe)
Endeleeni kuzaa hovyo hovyo mkutarajia huruma ya kulelewa watoto wenu wa vichochoroni sasa hivi watu wameshtuka hela yenyewe ngumu.Hiyo ni roho ya ubinafsi, na inaweza fanya mtoto kuwa mnyonge hata kupunguza upendo, katika maisha ya dunia hii hakuna ajuae kesho.. unachoweza kukitaa leo kumbe kesho kimeandaliwa kuwa kama daraja kwako... Siwezi mpima mtoto DNA .. mtoto anapotungwa mimba hakuna alichopanga anazaliwa tu hana makosa awe wako au sio wako
Huyu alijichanganya tu sijui alikua hajui haya au uliona ame WIN na yeye kumbe mawakili walikua wanamchora tu..kukwepa watoto wa mitaani
hata kama siyo wako, watakuambia ni wako
Hii imani potofu mtaendelea kule mabustard mpaka mkome.kukwepa watoto wa mitaani
hata kama siyo wako, watakuambia ni wako
Ndio maana yake mtu hapimi bila sababu.Hadi unapima DNA kuna shida sehemu
Wale maelfu wako mitaani ni baada ya kupima DNA??Mimi namwambia ukweli
Haya mambo sio ya kuchokonoa na kujitapa
Oooh hooooo
Na hii ina kama kaukweli yaani kwenye report yao wanakuambia wengi waliopima watoto sio wao mwisho wa siku kila anaenda wanampa majibu kuwa ni wao ili kukupa imani mtoto asiteseke na ndoa isiharibike na ndo maana majibu hawakupi kwa sababu unaweza ukaenda ku confirm Kenya ukakut tofauti.Kuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
Mbususu zisipokuchanganya you are one of the greatest thinkers of our times. Ukiweza tu kuzishinda mbususu basi, tutakusoma vizazi na vizazi huko mbele ya safari [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Hiyo ni roho ya ubinafsi, na inaweza fanya mtoto kuwa mnyonge hata kupunguza upendo, katika maisha ya dunia hii hakuna ajuae kesho.. unachoweza kukitaa leo kumbe kesho kimeandaliwa kuwa kama daraja kwako... Siwezi mpima mtoto DNA .. mtoto anapotungwa mimba hakuna alichopanga anazaliwa tu hana makosa awe wako au sio wako
Siku ukibahatika kwenda nje hususan Ulaya au Marekani nenda na vinasaba vya wanao (nywele, kucha, mate...) ukapimie DNA huko. Ikitoka kuwa ni wako wote ndo kaa ujipongeze. Kwa hapa Bongo yawezekana ukawa umepigwa!Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
Acha kuhalalisha upumbavu kama ningetaka kulea mtoto asiye wa kwangu ningeenda vituo vya mayatima nikachukua mmoja nikalea.unaonekana ni mtu mwenye asili ya ubinafsi rohoni mwako, wewe kulelea mtoto ambao si wako waona shida na je wakwako utakapokufa nani awalele na hizo shida ulizosema nani atazibeba utakapokuwa haupo
Hivi unajua shida kiasi gani uliowap wazazi wako toka ukiwa mdogo mpaka leo hii
World wouldn't be a better place if we had people like you .....
Boss unaingilia miongozo ya afya, mambo ya afya hayachezewi hivyo sawa mkuu. Kukuambia urudi baada ya miezi 3 ni kwasababu incubation period ya ukimwi ni miezi 3 kabla ya hapo kwavipimo huwezi kuuconfirm. Ya mtaani yaache mtaani, wakikucheleweshea kukuanzishia dose kama una ukimwi kweli utaishi kwahali mbaya hata ukianza dose baadae. Afya sio siasa.KAMA HUJUI HATA MAJIBU YA DNA WAMEKUPA YA UONGO...
Ni kama sikuhiz matokeo ya UKIMWI ukienda kichwa kichwa una presha wakikukuta una ngoma wanakuambia HUNA UKIMWI urudi baada ya miezi 3...
Suala siyo wakili wako. Suala ni huko kwa Mkemia mkuu. Wakili wako akipewa matokeo ndiyo siyo atafanya nini?Yes... nilijua hilo kabla, wakili aliesimamia ni zaidi ya ndugu kwangu, kama na huyo kanidanganya basi kweli hivi viumbe nimeandikiwa kuvilea
🙏🙏🙏🙏 Mungu anisaidie kwakeli, maana mwili dhaifu, ila roho i radhi..Mbususu zisipokuchanganya you are one of the greatest thinkers of our times. Ukiweza tu kuzishinda mbususu basi, tutakusoma vizazi na vizazi huko mbele ya safari [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mkuu hisia ni hisia ila siukweli, naunahisi juu ya matendo ya mama yao ila siwatoto. Tutumie hekima na akili kama wanaume, sio hisia. Kwahisia mwanamke aweza kukudhania unacheat ila wewe wala hufanyi hivyo. Tujitofautishe natukubali makosa kama hisia zako ni zauongo.Mkuu nisikudanganye, Mtoto ukishahisi kutoka ndani ya moyo wako sio wako basi sio wako.