Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza usifanane nae chochote na bado akawa mwanao soma genetics uieleweSharti la mtanzania kamili anayeongea kiswahili ni kufanana na mtoto wako.
Kichwa ,mwili, masikio, macho au tembea au sauti. Ukikosa hivo wewe tunakutenga kwanini mpaka upime DNA. Kwenda zako mwana mpitevu wewe. Ulitegemea uambiwe si wako.
Hahaaaa da this is very very primitive wayMie wakwangu ni wangu. uthibitisho niliofanya ni kuchunguza vitabia vyao. wote wana vitabia ambavyo utotoni nilikuwa nayo na maumbile nadra. Mfano naweza kukunja kidole kwa namna mtu mwingine inakuwa ngumu. Vidogo nikaviambia vikunje vikaweza Daa!
Hili swala Unaweza’ ni probability. Majority tumefanana na watoto wetu. Mm nimefanan na wakwangu. Na watu asilimia 100 wanaonizunguka wamefanana na watoto zao, hata pua au mdomo kama sio overall appearance. Hatuhitaji DNA.Unaweza usifanane nae chochote na bado akawa mwanao soma genetics uielewe
Hajatamka hivyo wamesema kwenye kupima DNA wanaangalia ustawi wa mtoto but ithink ummy mwalimu alifafanua iyo kauliAliisema bungeni mkuu!! Ilikua kipindi cha magu..
Nadhan hauna ujuzi wa procedures zilivyo, ngoma nzima anaendesha na kusimamia wakili, ndio utaratibuNadhani ungenambia una imani na dokta aliyepima kwa sababu ni mtu wako wa karibi maana hawezi chakachua wewe unasema una imani na wakili!
Wakili ndio alienda kuchanganya kemikali wakati wa upimaji?
Ikiwa huamini hisia zako basi upo na tatizo mahali mkuu, Hisia hazikuwekwa ndani yako kukupoteza, So sipingi ikiwa hisia zako zipogo wrong all the time maana yawezekana ndo tatizo lako, ila mimi naamini kwenye hisia za kujua kweli na si kweli na huwa sifeli thats why.😂😂😂😂 achana na hisia zitakuua. Misemo ilikuwepo naitakuwepo mingi bali sio kila msemo utauapply maishani mwako. Uliambiwa kizazi hakizai haramu, siumeukataa hapo au ulikosea chief😂😂😂
Hili nalo likatazamwe...😊🤓Kuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
social media ni social media tu, useme hazikuongopei ni sawa😂😂😂 ila sayansi haiongopi. Pia kwahilo wazo lako tuache kuwalaumu dada zetu kwakutumia hisia kwenye kuweka maamuzi maana twasema kuwa ni udhaifu wao😂😂😂. Social media kama social media 😂😂😂Ikiwa huamini hisia zako basi upo na tatizo mahali mkuu, Hisia hazikuwekwa ndani yako kukupoteza, So sipingi ikiwa hisia zako zipogo wrong all the time maana yawezekana ndo tatizo lako, ila mimi naamini kwenye hisia za kujua kweli na si kweli na huwa sifeli thats why.
soma tena.social media ni social media tu, useme hazikuongopei ni sawa😂😂😂 ila sayansi haiongopi. Pia kwahilo wazo lako tuache kuwalaumu dada zetu kwakutumia hisia kwenye kuweka maamuzi maana twasema kuwa ni udhaifu wao😂😂😂. Social media kama social media 😂😂😂
Nadhan hauna ujuzi wa procedures zilivyo, ngoma nzima anaendesha na kusimamia wakili, ndio utaratibu
Umeshajua huna uzaziKati ya mambo sitokuja fanya maishani mwangu ni kujaribu kupima DNA kutafuta uhalali wa mtoto wangu kama ndie au sie..
Wale wanaopima DNA wanaangakia haki ya mtoto kwanza,kama ulienda mwenyewe watoto wanakuwa wako,ukitaka majibu sahihi mwende wanaume wawli,masikini na tajiri,watoto watapewa baba tajiriMiezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.
Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.
Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.
Ciao
Wamekudanganya, waliona umepanikiNashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.
Hili neno kuu!Nadhani ungenambia una imani na dokta aliyepima kwa sababu ni mtu wako wa karibi maana hawezi chakachua wewe unasema una imani na wakili!
Wakili ndio alienda kuchanganya kemikali wakati wa upimaji?
🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨Kuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
🔨🔨🔨🔨🔨Hadi unapima DNA kuna shida sehemu
Ndio haijatokea.tuzungumze matokeo yaliyopoUngekuta sio wako ungefanyaje?