Mrejesho kuhusu kupima DNA za watoto wangu

Mrejesho kuhusu kupima DNA za watoto wangu

unakaaje miaka kadhaa hujui status kama bao ni lako , mie akizaliwa tu nakaa kama wiki tatu ntafuta kucha au mate hata damu hospitali ya second born nlitoa mamake akiwa hajui na test nafanyia Kampala , zote hurudi ni wangu , usifanyiwe utundu na mkeo kilaza , pima ujue mbivu na mbichi
 
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao
Kipimo Cha kwanza Cha DNA ni macho yako Kama hakuna mfanano wa kitu chochote kwa Mtoto wako jua sio wako,hivyo vipimo kibongo bongo ni fake tu,Kama wewe ni Kidume chukua specimen kapime Nje but sio Bongo.Pole na Hongera.
 
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao
Ila kumbuka sheria ya DNA inasisitiza majibu yazingatie ustawi wa mtoto/Watoto.
 
Kuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
Kweli kabsa,mtoto wako utamjua tuu no need of DNA ata mdomo mtafanana
 
Nachojua hutakuja wala hakuna mtu atakuja kuambiwa watoto sio wake.

Kama yupo aliyewahi kuambiwa au kusikia mtu kaambiwa watoto sio wake anyooshe mkono
 
Kwa wote mnaopinga hii issue ngoja niwapeni summary ya mbinu nlotumia. Huwa natoa mbinu kama hizi mara chache saaaana ila kwa kuwa mnaendelea kukataa ngojeni niwapeni siri ya mafanikio, hii itawasaidia wengine pia

Nilitaka kupima watoto wawili, mkubwa ana miaka mitano mwingine ana miaka miwili. Nikaingiza mmoja katikati asie wangu bila hata wakili wangu kujua, huyo dogo ana miaka minne. Hivyo sampuli zikapelekwa za watoto watatu. Majibu yakaja wale wawili ni wangu lkn huyu mwingine sio wangu.

Mnaweza kujiuliza kwa umri huo kwa nn nisiangalie kufanana, watoto ni wa kike na wamechukua kwa mama zao copy right kabisa (mama zao ni tofauti).

Siwezi jibu comment moja moja Cc mama D dronedrake Upepo wa Pesa na wengine mnaoendelea kupinga.
Sijakuelewa
 
Una uhakika ni wakwako kweli!?
Wacha nisikuondolee raha zako🤣🤣🤣
DNA inakupa ukweli 99.99999%, hiyo 0.000001% wanamwachia binadamu anayeweza kukudanganya, maana tuliwahi kushuhudia mapapai yanaumwa covid
 
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao
Usijihakikishie ushnd...narudia tena usijihakikishie ushnd...DNA isiyo na magumashi ni ile ukipata kaz USA xo if utaenda na watt wenye title yako lazma mpime DNA..wale jamaaa wapo real ila kwa bongo mhhhhhhhh
 
Acha kuhalalisha upumbavu kama ningetaka kulea mtoto asiye wa kwangu ningeenda vituo vya mayatima nikachukua mmoja nikalea.
Yaani nikuoe uniletee dharau ya kufanya uchafu wa uzinzi na bado unauleta nyumbani kwangu alafu nikuache eti nisonekane mbinafisi?

Mwana mke yeyote anaye enda kubebeshwa mimba na mwanaume mwingine hali ya kuwa ameolewa na mme wake ana uwezo wa kuzalisha huyo ni mwana mke mpumbavu na hana akili.

Na wanawake wote walio fanya upuuzi huo mwenyezi mungu ameahidi kuwapa adhabu kali sana na yenye kudhalilisha.
Uusiongee kwa ujasiri wakati hapo ulipo ukiambiwa yule ulieambiwa ni baba yako na mama yako waweza dhibitisha kweli ni baba yako

Wanawake sio wakuwaamini hata kama ni mama yako
 
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao
Kma umefanya DNA kweny hospital zetu za Tanzania sikuungi mkono
 
Back
Top Bottom