Kweli kabisa. Pia jamaa aseme wazi kama nakala anayo.Hongera Mkuu.
Kama Wakili amekupa nakala ya matokeo, itunze sehemu salama. Naamini atakuwa amekuambia namna hiyo nyaraka ilivyo sensitive, kama hajakupatia pia inabidi umuelewe Mkuu sababu hayo majibu sio yako ni ya kwake Wakili.