Mrejesho kuhusu kupima DNA za watoto wangu

Mrejesho kuhusu kupima DNA za watoto wangu

Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao
Kama umepima TZ umedanganywa wale Wanasema Yes kwenye kila chunguzo. Hawataki watoto yatima
 
Boss unaingilia miongozo ya afya, mambo ya afya hayachezewi hivyo sawa mkuu. Kukuambia urudi baada ya miezi 3 ni kwasababu incubation period ya ukimwi ni miezi 3 kabla ya hapo kwavipimo huwezi kuuconfirm. Ya mtaani yaache mtaani, wakikucheleweshea kukuanzishia dose kama una ukimwi kweli utaishi kwahali mbaya hata ukianza dose baadae. Afya sio siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
😅 inaonekana upo serious sana usihofu hizi ajira za afya zilizotolewa utapata... Kijana usijione unajua sana ethics za kazi, hakuna cha ajabu si kila majibu yanayotolewa ktk vituo vya afya yanakua ya kweli, kuna wakat utapewa majibu kulingana na presha au saikolojia yako uliyonayo wakati huo... Karibu ktk kada ya afya utajifunza mengi tofaut na hayo uliyokaririshwa darasani...
 
Mkuu hisia ni hisia ila siukweli, naunahisi juu ya matendo ya mama yao ila siwatoto. Tutumie hekima na akili kama wanaume, sio hisia. Kwahisia mwanamke aweza kukudhania unacheat ila wewe wala hufanyi hivyo. Tujitofautishe natukubali makosa kama hisia zako ni zauongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
ukijua maana ya damu ni nzito kuliko maji utanielewa.
 
Kuna kipindi mkemia mkuu wa serikali alisema asilimia kubwa ya wanaopima watoto wanakua sio wao ila wanaambiwa ni wao ili kupunguza watoto wa mtaani.
Kwa hiyo jamaa uhakika mdogo. Watakuwa walimcheki Kwa mbali mapigo yake ya moyo wakagundua jamaa atadondoka wakafanya counter attack techniques. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao
Ila unaroho ngumu sana [emoji134][emoji134][emoji134]
 
😅 inaonekana upo serious sana usihofu hizi ajira za afya zilizotolewa utapata... Kijana usijione unajua sana ethics za kazi, hakuna cha ajabu si kila majibu yanayotolewa ktk vituo vya afya yanakua ya kweli, kuna wakat utapewa majibu kulingana na presha au saikolojia yako uliyonayo wakati huo... Karibu ktk kada ya afya utajifunza mengi tofaut na hayo uliyokaririshwa darasani...
😂😂😂 asante chief, ila mimi siwahospitali. Nifanye kazi tamisemi, wakati nilipo huku pananitosha.
 
ukijua maana ya damu ni nzito kuliko maji utanielewa.
😂😂😂😂 achana na hisia zitakuua. Misemo ilikuwepo naitakuwepo mingi bali sio kila msemo utauapply maishani mwako. Uliambiwa kizazi hakizai haramu, siumeukataa hapo au ulikosea chief😂😂😂
 
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao
Ukiona mtoto wako mpaka upime DNA basi una tatizo.
 
Ukiwa social father inatosha,kitu kinachoumiza zaidi ni kwenye hizi ada za mamilioni
 
Hongera Mkuu.

Kama Wakili amekupa nakala ya matokeo, itunze sehemu salama. Naamini atakuwa amekuambia namna hiyo nyaraka ilivyo sensitive, kama hajakupatia pia inabidi umuelewe Mkuu sababu hayo majibu sio yako ni ya kwake Wakili.
 
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu.

Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili wangu akasema inawezekana na ni rahisi sana.

Nashukuru nimekuta mabao yote ni yangu, I felt like Messi for a while, hahahahahaaa.

Naendelea kuwashauri wanaume wenzangu kuzingatia kupima DNA za watoto wenu, kulea mtoto asie wako watakuja kukuletea shida ukubwani.

Ciao
Tupe gharama mkuu kama ni kweli.
 
Hiyo ni roho ya ubinafsi, na inaweza fanya mtoto kuwa mnyonge hata kupunguza upendo, katika maisha ya dunia hii hakuna ajuae kesho.. unachoweza kukitaa leo kumbe kesho kimeandaliwa kuwa kama daraja kwako... Siwezi mpima mtoto DNA .. mtoto anapotungwa mimba hakuna alichopanga anazaliwa tu hana makosa awe wako au sio wako
Mtoto akipimwa DNA hawezi jua labda umwambie ,kwa mkemia zinaenda samples kama nywele ,kucha,mate au damu
 
Back
Top Bottom