MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
- Thread starter
- #21
Asante mtoto wa kiumeDon't kiss and tell.
Jifunze kuwa na kifua mtoto wa Kiume.
Be a Man.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mtoto wa kiumeDon't kiss and tell.
Jifunze kuwa na kifua mtoto wa Kiume.
Be a Man.
Mungu akutangulie mkuuNi muda Sasa na Mimi nitafute mchumba jeiefu Kisha nitambe Kama mleta mada.
Ni kweli mkuuMwenye hasara ni huyo rafiki uliyempata
Sawa mkuuUtutaarifu kila hatua.
Utakua vizuri sana.
Muda si muda mtatibuana.Hopes mko poa wana mmu
Ningependa kutoa mrejesho
Kuna siku nilipost kule love connect kuwa naitaji rafiki wa kike
Ingawa niliweka vigezo vingi ambavyo wengi waliokuja pm walishindwa kuvikidhi but i don't regret it.
nimefanikiwa kumpata huyu rafiki ambae tumepata kuwasiliana for almost 3 weeks now and good enough ana match vigezo vyote vya rafiki niliyekua nikimuitaji..She's very charming, mcheshi, mpole, msomi halafu mrembo mno., .,,.
Nikiwa na stress yoyote sikawii kumcheki na kunicalm down.. ndo lilikua lengo langu la kutafuta rafiki wa kike & am very grateful for that.
Last weekend nilikua na shida ya kubook flight ya kwenda mkoa nikamcheki night kali maana nilipata emergency akanifanyia booking kesho yake nikaamkia tu safari pasi na shida yoyote. Thanks alot
najivunia kujuana na huyu dada, ni muda mfupi but seems like tumejuana muda sana..
Asante kwa kuwa mshauri mzuri kwangu
Thanks JamiiForums
Thanks mmu
Happy birthday [emoji3531]"J"[emoji3531]
better late than never
Pole kwa mahangaiko mkuuNYE NYE NYEEE
[emoji706] Bloodies Fool
KATAA NDOA
Sijajua kwanini wabongo tuna roho mbaya.Muda si muda mtatibuana.
hahahahahaBloodies Fool
Usisahau kuvua viatu unavolala mkuu.Ututaarifu kila hatua.
Itakua vizuri sana.
Afu wee Boya nini
Sasa Screenshots za nini
Acha uboya ww
Kula Mali kimya kimy
Afu huyu ni Bwege eti
Hilo Demu nalo jinga nini ?
Boya kama ww linapeleka wapi
Mamaque
Wapo wengi tu mkuu.Naona wote mna chat kwa lugha ya bepari.
Anyway....... kama kuna alie bakia huko PM naomba unigawie mkuu..[emoji39]
Sawa mkuu...Wapo wengi tu mkuu.
kaweke katangazo kako kule love connect utawapata,, bure kabisa