Mrejesho: Kuhusu tangazo langu la kutafuta rafiki wa Kike

Mrejesho: Kuhusu tangazo langu la kutafuta rafiki wa Kike

Hopes mko poa wana MMU, ningependa kutoa mrejesho

Kuna siku nilipost kule love connect kuwa naitaji rafiki wa kike, ingawa niliweka vigezo vingi ambavyo wengi waliokuja PM walishindwa kuvikidhi but i don't regret it.
Nimefanikiwa kumpata huyu rafiki ambae tumepata kuwasiliana for almost 3 weeks now and good enough ana match vigezo vyote vya rafiki niliyekua nikimuitaji. She's very charming, mcheshi, mpole, msomi halafu mrembo mno.

Nikiwa na stress yoyote sikawii kumcheki na kunicalm down. Ndio lilikua lengo langu la kutafuta rafiki wa kike & am very grateful for that.

Last weekend nilikua na shida ya kubook flight ya kwenda mkoa nikamcheki night kali maana nilipata emergency akanifanyia booking kesho yake nikaamkia tu safari pasi na shida yoyote. Thanks alot.

Najivunia kujuana na huyu dada, ni muda mfupi but seems like tumejuana muda sana.

Asante kwa kuwa mshauri mzuri kwangu.

Thanks JamiiForums.

Thanks MMU

Happy birthday [emoji3531]"J"[emoji3531].

Better late than never.

View attachment 2527931
Na wewe unamsaidia nini?
 
Hopes mko poa wana MMU, ningependa kutoa mrejesho

Kuna siku nilipost kule love connect kuwa naitaji rafiki wa kike, ingawa niliweka vigezo vingi ambavyo wengi waliokuja PM walishindwa kuvikidhi but i don't regret it.
Nimefanikiwa kumpata huyu rafiki ambae tumepata kuwasiliana for almost 3 weeks now and good enough ana match vigezo vyote vya rafiki niliyekua nikimuitaji. She's very charming, mcheshi, mpole, msomi halafu mrembo mno.

Nikiwa na stress yoyote sikawii kumcheki na kunicalm down. Ndio lilikua lengo langu la kutafuta rafiki wa kike & am very grateful for that.

Last weekend nilikua na shida ya kubook flight ya kwenda mkoa nikamcheki night kali maana nilipata emergency akanifanyia booking kesho yake nikaamkia tu safari pasi na shida yoyote. Thanks alot.

Najivunia kujuana na huyu dada, ni muda mfupi but seems like tumejuana muda sana.

Asante kwa kuwa mshauri mzuri kwangu.

Thanks JamiiForums.

Thanks MMU

Happy birthday [emoji3531]"J"[emoji3531].

Better late than never.

View attachment 2527931
Hongera zako. Mimi mwaka wa 3 huu bado sijampata.
 
Hopes mko poa wana MMU, ningependa kutoa mrejesho

Kuna siku nilipost kule love connect kuwa naitaji rafiki wa kike, ingawa niliweka vigezo vingi ambavyo wengi waliokuja PM walishindwa kuvikidhi but i don't regret it.
Nimefanikiwa kumpata huyu rafiki ambae tumepata kuwasiliana for almost 3 weeks now and good enough ana match vigezo vyote vya rafiki niliyekua nikimuitaji. She's very charming, mcheshi, mpole, msomi halafu mrembo mno.

Nikiwa na stress yoyote sikawii kumcheki na kunicalm down. Ndio lilikua lengo langu la kutafuta rafiki wa kike & am very grateful for that.

Last weekend nilikua na shida ya kubook flight ya kwenda mkoa nikamcheki night kali maana nilipata emergency akanifanyia booking kesho yake nikaamkia tu safari pasi na shida yoyote. Thanks alot.

Najivunia kujuana na huyu dada, ni muda mfupi but seems like tumejuana muda sana.

Asante kwa kuwa mshauri mzuri kwangu.

Thanks JamiiForums.

Thanks MMU

Happy birthday [emoji3531]"J"[emoji3531].

Better late than never.

View attachment 2527931
Kimasihara on the flick
 
Mbaki ivoivo...mkisex tu mmeingiza mdudu tayari.....
 
Siyo roho mbaya mfalme wangu bali hivyo ndivyo maisha yalivyo. Si unajua kwamba jua la asubuhi siyo kali kama la mchana
Ni kweli Algore

Nmewah kuwa na rafiki yangu wa kike since tumeanza chuo mpaka tunamaliza ila alivohitimu tu alisafiri kwenda nje mawasiliano yakaanza kusuasua ndio maana nikaamua kutafuta mwingine wa kumreplace. We shared alot of things vingine vitabaki kuwa siri yetu wawili tu.

Nakuaga free kumshirikisha mambo yangu binafsi rafiki yangu wa kike kuliko mtu mwingine yeyote yule. nais ni fantasy pia

hopes jua litakua upande wetu
 
Back
Top Bottom