MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
- Thread starter
- #61
Ndio DR BILGERTUnatumia Infinix ama? Mbona kama umechati na kujijibu wewe mwenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio DR BILGERTUnatumia Infinix ama? Mbona kama umechati na kujijibu wewe mwenyewe?
Hakika mkuuWanasemaga enjoy the present, hayo yajayo ya kuhusu kuachana hayana mana kwa sasa
Na wewe unamsaidia nini?Hopes mko poa wana MMU, ningependa kutoa mrejesho
Kuna siku nilipost kule love connect kuwa naitaji rafiki wa kike, ingawa niliweka vigezo vingi ambavyo wengi waliokuja PM walishindwa kuvikidhi but i don't regret it.
Nimefanikiwa kumpata huyu rafiki ambae tumepata kuwasiliana for almost 3 weeks now and good enough ana match vigezo vyote vya rafiki niliyekua nikimuitaji. She's very charming, mcheshi, mpole, msomi halafu mrembo mno.
Nikiwa na stress yoyote sikawii kumcheki na kunicalm down. Ndio lilikua lengo langu la kutafuta rafiki wa kike & am very grateful for that.
Last weekend nilikua na shida ya kubook flight ya kwenda mkoa nikamcheki night kali maana nilipata emergency akanifanyia booking kesho yake nikaamkia tu safari pasi na shida yoyote. Thanks alot.
Najivunia kujuana na huyu dada, ni muda mfupi but seems like tumejuana muda sana.
Asante kwa kuwa mshauri mzuri kwangu.
Thanks JamiiForums.
Thanks MMU
Happy birthday [emoji3531]"J"[emoji3531].
Better late than never.
View attachment 2527931
Pole mkuu achana na iyo mitandao ya kupuuziNaona umejinyakulia exotics
Siwez kusema nachomsaidia mkuu.Na wewe unamsaidia nini?
Hongera zako. Mimi mwaka wa 3 huu bado sijampata.Hopes mko poa wana MMU, ningependa kutoa mrejesho
Kuna siku nilipost kule love connect kuwa naitaji rafiki wa kike, ingawa niliweka vigezo vingi ambavyo wengi waliokuja PM walishindwa kuvikidhi but i don't regret it.
Nimefanikiwa kumpata huyu rafiki ambae tumepata kuwasiliana for almost 3 weeks now and good enough ana match vigezo vyote vya rafiki niliyekua nikimuitaji. She's very charming, mcheshi, mpole, msomi halafu mrembo mno.
Nikiwa na stress yoyote sikawii kumcheki na kunicalm down. Ndio lilikua lengo langu la kutafuta rafiki wa kike & am very grateful for that.
Last weekend nilikua na shida ya kubook flight ya kwenda mkoa nikamcheki night kali maana nilipata emergency akanifanyia booking kesho yake nikaamkia tu safari pasi na shida yoyote. Thanks alot.
Najivunia kujuana na huyu dada, ni muda mfupi but seems like tumejuana muda sana.
Asante kwa kuwa mshauri mzuri kwangu.
Thanks JamiiForums.
Thanks MMU
Happy birthday [emoji3531]"J"[emoji3531].
Better late than never.
View attachment 2527931
Kimasihara on the flickHopes mko poa wana MMU, ningependa kutoa mrejesho
Kuna siku nilipost kule love connect kuwa naitaji rafiki wa kike, ingawa niliweka vigezo vingi ambavyo wengi waliokuja PM walishindwa kuvikidhi but i don't regret it.
Nimefanikiwa kumpata huyu rafiki ambae tumepata kuwasiliana for almost 3 weeks now and good enough ana match vigezo vyote vya rafiki niliyekua nikimuitaji. She's very charming, mcheshi, mpole, msomi halafu mrembo mno.
Nikiwa na stress yoyote sikawii kumcheki na kunicalm down. Ndio lilikua lengo langu la kutafuta rafiki wa kike & am very grateful for that.
Last weekend nilikua na shida ya kubook flight ya kwenda mkoa nikamcheki night kali maana nilipata emergency akanifanyia booking kesho yake nikaamkia tu safari pasi na shida yoyote. Thanks alot.
Najivunia kujuana na huyu dada, ni muda mfupi but seems like tumejuana muda sana.
Asante kwa kuwa mshauri mzuri kwangu.
Thanks JamiiForums.
Thanks MMU
Happy birthday [emoji3531]"J"[emoji3531].
Better late than never.
View attachment 2527931
Ni kweli AlgoreSiyo roho mbaya mfalme wangu bali hivyo ndivyo maisha yalivyo. Si unajua kwamba jua la asubuhi siyo kali kama la mchana
Samahani kama nimekukwaza mkuuMaswala ya ku book flight yameingiaje humu?
Vuta subira mkuuHongera zako. Mimi mwaka wa 3 huu bado sijampata.
Pole King Kong IIIMental illness is real - Master P.