MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Hopeless.Ni kweli mkuu wala hujakosea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hopeless.Ni kweli mkuu wala hujakosea
Tunajua Lengo Kuu la huu Uzi wako ni kutuonyesha jinsi ulivyo Nut na Lumpen hivyo tunakushukuru.Wapi nimeandika kwenye uzi kuwa huyo ni mpenzi wangu??
Ooh never kiss and tell sjui ukila usitangaze mara screenshots plus blaablaa nyingi
Punguzeni ujuaji na stress pengine nimewapiga gape kubwa mno kwenye izo mambo mi nawazoom tu af kwangu kumjibu mtu shit umu jf ni mwiko,,. regardless.
Smart Gang Mpasuaji wa Manesi MINOCYCLINE n.k ambao hamjaelewa lengo la uzi wangu
Hahaha ila jf raha sana.Nisamehe kama nimekukwaza mkuu
Soon mnaenda next level [emoji3059][emoji3059][emoji3059]Hopes mko poa wana MMU, ningependa kutoa mrejesho
Kuna siku nilipost kule love connect kuwa naitaji rafiki wa kike, ingawa niliweka vigezo vingi ambavyo wengi waliokuja PM walishindwa kuvikidhi but i don't regret it.
Nimefanikiwa kumpata huyu rafiki ambae tumepata kuwasiliana for almost 3 weeks now and good enough ana match vigezo vyote vya rafiki niliyekua nikimuitaji. She's very charming, mcheshi, mpole, msomi halafu mrembo mno.
Nikiwa na stress yoyote sikawii kumcheki na kunicalm down. Ndio lilikua lengo langu la kutafuta rafiki wa kike & am very grateful for that.
Last weekend nilikua na shida ya kubook flight ya kwenda mkoa nikamcheki night kali maana nilipata emergency akanifanyia booking kesho yake nikaamkia tu safari pasi na shida yoyote. Thanks alot.
Najivunia kujuana na huyu dada, ni muda mfupi but seems like tumejuana muda sana.
Asante kwa kuwa mshauri mzuri kwangu.
Thanks JamiiForums.
Thanks MMU
Happy birthday [emoji3531]"J"[emoji3531].
Better late than never.
View attachment 2527931
NYE NYE NYEEPole kwa mahangaiko mkuu
#Yatapita
Ila arushemooo na tupicha picha,kama ameweza kurusha chat zao😂Kama umeshapata rafiki uliyemtaka!!! Hayo ya mrejesho yametoka wap?
Nyie wakike kuna mtu anatafuta marafiki huku.
Anasema yeye anatumia i foni😀Unatumia Infinix ama? Mbona kama umechati na kujijibu wewe mwenyewe?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama umeshapata rafiki uliyemtaka!!! Hayo ya mrejesho yametoka wap?
Nyie wakike kuna mtu anatafuta marafiki huku.
Siyo roho mbaya mfalme wangu bali hivyo ndivyo maisha yalivyo. Si unajua kwamba jua la asubuhi siyo kali kama la mchanaSijajua kwanini wabongo tuna roho mbaya.
Mungu akusaidie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]NYE NYE NYEEE
[emoji706] Bloodies Fool
KATAA NDOA