Mrejesho: Kuhusu tangazo langu la kutafuta rafiki wa Kike

Ututaarifu kila hatua.
Itakua vizuri sana.
Afu wee Boya nini

Sasa Screenshots za nini
Acha uboya ww
Kula Mali kimya kimy
Afu huyu ni Bwege eti
Hilo Demu nalo jinga nini ?
Boya kama ww linapeleka wapi
Mamaque
 
Muda si muda mtatibuana.
 
Ututaarifu kila hatua.
Itakua vizuri sana.
Afu wee Boya nini

Sasa Screenshots za nini
Acha uboya ww
Kula Mali kimya kimy
Afu huyu ni Bwege eti
Hilo Demu nalo jinga nini ?
Boya kama ww linapeleka wapi
Mamaque
Usisahau kuvua viatu unavolala mkuu.

Pole
 
Wapi nimeandika kwenye uzi kuwa huyo ni mpenzi wangu??

Ooh never kiss and tell sjui ukila usitangaze mara screenshots plus blaablaa nyingi


Punguzeni ujuaji na stress pengine nimewapiga gape kubwa mno kwenye izo mambo mi nawazoom tu af kwangu kumjibu mtu shit umu jf ni mwiko,,. regardless.

Smart Gang Mpasuaji wa Manesi MINOCYCLINE n.k ambao hamjaelewa lengo la uzi wangu
 
Naona wote mna chat kwa lugha ya bepari.
Anyway....... kama kuna alie bakia huko PM naomba unigawie mkuu..[emoji39]
Wapo wengi tu mkuu.

kaweke katangazo kako kule love connect utawapata,, bure kabisa
 
Kama umebakiza chenchi nigawie mkuu...😋
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…