Mrejesho: Mgonjwa wangu wa sukari anaendelea kuzidiwa

Mrejesho: Mgonjwa wangu wa sukari anaendelea kuzidiwa

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Habari wakuu

Narudi kwenu kuwa mrejesho. tuko Hindu Mandali siku ya 5 Sasa Hali ya mgonjwa wangu alikuwa na nafuu lakini Hali imebadilika gafla kazidiwa, alikuwa tupewe ruhusa Leo. Usiku alianza kutetemeka na kusikia baridi na kuchemka akapimwa sukari ikawa 12 presha 150/95 pr 135 akapewa drip ya Panadol hadi kufikia asubuhi bado iko hivyo hivyo kutetemeka sana kuchoka sukari iko 16 kapewa tena drip.

Mgonjwa alikuja akiwa hali mbaya akawekwa ICU siku 2 sukari ikiwa 34 akatoka akawa yuko poa tu ila sukari ikawa inacheza asubuhi 12 akila inaenda 17.

Sukari ilimletea sumu ila sumu ikatolewa yote akawa poa anatembea mnapiga

Sasa joto lake linaongezeka anatetemeka sana anahema sana mwili unaishiwa nguvu

- Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34
 
Habar wakuu narudi kwenu kuwa mrejesho..tuko Hindu mandali siku ya 5 Sasa Hali ya mgonjwa wangu alikua na nafuu lakini Hali imebadilika gafla kazidiwa,alikua tupewe ruhusa Leo..usiku alinaza kutetemeka nakusikia barid na kuchemka akapimwa sukari ikawa 12 presha 150/95 pr 135 akapewa drip ya Panadol Hadi kufikia asubuh Bado Iko hivo hivo kutetemeka sana kuchoka sukar iko16 kapewa Tena drip...mgonjwa alikuja akiwa Hali mbaya akawekwa ICU siku 2 sukari ikiwa34 akatoka akawa Yuko poa tu ila sukar ikawa inacheza asubuh 12 akila inaenda 17..sukar ilimletea sumu ila sumu ikatolewa yote akawa poa anatembea mnapiga ..Sasa joto lake linaongezeka anatetemeka sana anahema sana mwili unaishiwa nguvu
Mkuu
Hii sukari 34 au 32? Maana kikawaida ikifika 32 halafu ikavuka kipimo kinasoma Hi yaani High

Wakati mgonjwa anaendelea na tiba, jitahidini kwenye tibalishe. Pia kumbuka sukari siyo ugonjwa bali matokeo ya ugonjwa. Chukueni vipimo vikubwa kubaini maradhi mengine yanayomsumbua
 
Sukari hupandishwa Kwa sababu nyingi Sana na kuwa huwa ni infections na huyo mgonjwa wako alishaingia pia katika complication.. basically alishaingia kwenye DKA ndo mana akapelekwa ICU....ninachotaka kujua ni kwamba bado anachoma insulin au wamemrudisha kwenye dawa za kumeza?then kuna dawa gani nyingine anatumia?then dawa za presha pia anatumia?maana nimeona pia hapo presha yake Iko juu may be hiyo kutetemeka sababu ya presha?au wampime Tena malaria,serum electrolytes,renal function test nk
 
Habari wakuu

Narudi kwenu kuwa mrejesho. tuko Hindu Mandali siku ya 5 Sasa Hali ya mgonjwa wangu alikuwa na nafuu lakini Hali imebadilika gafla kazidiwa, alikuwa tupewe ruhusa Leo. Usiku alianza kutetemeka na kusikia baridi na kuchemka akapimwa sukari ikawa 12 presha 150/95 pr 135 akapewa drip ya Panadol hadi kufikia asubuhi bado iko hivyo hivyo kutetemeka sana kuchoka sukari iko 16 kapewa tena drip.

Mgonjwa alikuja akiwa hali mbaya akawekwa ICU siku 2 sukari ikiwa 34 akatoka akawa yuko poa tu ila sukari ikawa inacheza asubuhi 12 akila inaenda 17.

Sukari ilimletea sumu ila sumu ikatolewa yote akawa poa anatembea mnapiga

Sasa joto lake linaongezeka anatetemeka sana anahema sana mwili unaishiwa nguvu

- Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34
Pole Sana Kaka, tunamuombea Mungu atampa afya njema...tunawaombea pia na wahudumu Mungu awape uwezo na vipawa vya kutoa huduma bora.

Insha Allah
 
Habari wakuu

Narudi kwenu kuwa mrejesho. tuko Hindu Mandali siku ya 5 Sasa Hali ya mgonjwa wangu alikuwa na nafuu lakini Hali imebadilika gafla kazidiwa, alikuwa tupewe ruhusa Leo. Usiku alianza kutetemeka na kusikia baridi na kuchemka akapimwa sukari ikawa 12 presha 150/95 pr 135 akapewa drip ya Panadol hadi kufikia asubuhi bado iko hivyo hivyo kutetemeka sana kuchoka sukari iko 16 kapewa tena drip.

Mgonjwa alikuja akiwa hali mbaya akawekwa ICU siku 2 sukari ikiwa 34 akatoka akawa yuko poa tu ila sukari ikawa inacheza asubuhi 12 akila inaenda 17.

Sukari ilimletea sumu ila sumu ikatolewa yote akawa poa anatembea mnapiga

Sasa joto lake linaongezeka anatetemeka sana anahema sana mwili unaishiwa nguvu

- Mgonjwa wa sukari imepanda hadi 34
Mkuu Pole kw amgonjwa wako itashuka sukri akija tolewa Hospitali nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibia apate kupona kabisa maradhi yake ya kisukari. Hakuna Tiba ya kisukari Ma-Hospitalini itakayoweza kumponyesha mgonjwa wenu wa kisukari sio rahisi kabisa.
 
Sukari hupandishwa Kwa sababu nyingi Sana na kuwa huwa ni infections na huyo mgonjwa wako alishaingia pia katika complication.. basically alishaingia kwenye DKA ndo mana akapelekwa ICU....ninachotaka kujua ni kwamba bado anachoma insulin au wamemrudisha kwenye dawa za kumeza?then kuna dawa gani nyingine anatumia?then dawa za presha pia anatumia?maana nimeona pia hapo presha yake Iko juu may be hiyo kutetemeka sababu ya presha?au wampime Tena malaria,serum electrolytes,renal function test nk
Bado anachoma sindano ya insulin
Sukari hupandishwa Kwa sababu nyingi Sana na kuwa huwa ni infections na huyo mgonjwa wako alishaingia pia katika complication.. basically alishaingia kwenye DKA ndo mana akapelekwa ICU....ninachotaka kujua ni kwamba bado anachoma insulin au wamemrudisha kwenye dawa za kumeza?then kuna dawa gani nyingine anatumia?then dawa za presha pia anatumia?maana nimeona pia hapo presha yake Iko juu may be hiyo kutetemeka sababu ya presha?au wampime Tena malaria,serum electrolytes,renal function test nkanachon

Mkuu
Hii sukari 34 au 32? Maana kikawaida ikifika 32 halafu ikavuka kipimo kinasoma Hi yaani High

Wakati mgonjwa anaendelea na tiba, jitahidini kwenye tibalishe. Pia kumbuka sukari siyo ugonjwa bali matokeo ya ugonjwa. Chukueni vipimo vikubwa kubaini maradhi mengine yanayomsumbua
Vipimo vikubwa kama nin labda..vipimo kama nin labda
 
Ya postal mkuu Hindu Mandalhospital kuu ya posta
Assalamualaikum. Aisee nadhani tunajuana. Mimi ni yule Ustaadh sister Mariam alitutambulisha jana jioni. Tena jana nilimwambia sister Kuwa leo anilete nimuone mgonjwa wako lakini bila shaka tayari unazo taarifa juu ya kilichomtokea mgonjwa wetu na kwa sasa niko mbali. Jaribuni ile dawa aliyowaelekeza sister. Inasaidia. Lakini pia juice ya ubuyu ni nzuri pamoja na mlenda. Allah amjaalie taafif mgonjwa wako
 
Sukari hupandishwa Kwa sababu nyingi Sana na kuwa huwa ni infections na huyo mgonjwa wako alishaingia pia katika complication.. basically alishaingia kwenye DKA ndo mana akapelekwa ICU....ninachotaka kujua ni kwamba bado anachoma insulin au wamemrudisha kwenye dawa za kumeza?then kuna dawa gani nyingine anatumia?then dawa za presha pia anatumia?maana nimeona pia hapo presha yake Iko juu may be hiyo kutetemeka sababu ya presha?au wampime Tena malaria,serum electrolytes,renal function test nk
Ndio Bado anachoma insulin alianza na mixed Sasa hivi walimbadilishia dozi anachoma soluble na genine sijui hakuna dawa yoyote yakumeza anayotumia...pia hatumii dawa yoyote ya presha..namim nimehisi huko kutetemeka nisababu ya presha ila nikimwambia dokta anasema presha inakua juu sababu ya homa joto ilo ...wamechukua damu na mkojo kwenda kupima vitu hivo baadhi ulivyovotaja nimeskia wanasema wanapenda kupima malaria,UTI,electrolyte...napia wameshampima sumu iyo DKA kama Bado ipo wamesema haipo
 
Back
Top Bottom