Mrejesho: Mke wangu anataka kuandika jina lake nyumba niliyoijenga

Mrejesho: Mke wangu anataka kuandika jina lake nyumba niliyoijenga

Alikosea jambo moja.
Ni onyo kuchangia fedha au mali na mwanamke.
Alikosea sana kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke.
Mimi mwanamke akiniambia tuchangie fedha kwa ajili ya jambo fulani, yeye afanye yake na mimi yangu.
Tulikutana ukubwani kwahiyo lolote linaweza kutokea
Siku zote, ukioa Nyumba ya familia ni Nyumba ya mwanamke.
Kaa ukijua hilo.
 
Mkuu Ishi nae kwa machale sana ..
Ivi karibuni tunaweza kuandika RIP

Kauli ya “nipe muda nifikirie”
Sio kauli ndogo
Tayari kuna mtu wa tatu ameingilia hapo katikati
Hafikirii bali anakwenda kwa yule mtu wa tatu kuomba ushauri
Majibu unayo sasa
Rip mbuzi….!
 
Nilivyosoma stori aisee, nimependa namna unavyoweka wazi majibu ya mke, umepata mke mwenye hekima sana, ana majibu yenye busara na upole.

Nikirudi kwako, embu rahisisha tu mambo. Mwache aandike kwa jina lake maana hata kiwanja ni chake, yaan ukiona MTU anakwambia ngoja nikajifikirie ujue bado hajaafiki, watoto analea mama pale ,wewe unakuja Mara mojamoja, kwann usimwamini mkeo, mbona kama umekaa attention sana.

Hata mkiachana kwa ajili ya watoto bado itakubidi uwaachie Nyumba(kwa mwanaume Mwenye akili hawez taka watoto wataabike pa kuishi), ulisema una kiwanja kama ulivyosema wewe ni mwanaume ,kichwa cha familia em pambana tena jenga kwenye kiwanja chako then waandike wanao.

Usitumie ubabe, tafadhali mwachie tu kama zawadi hiyo Nyumba. Ni mkeo huyo analea na kuishi hapo na watoto wako.(usipojiangalia, ndoa yako ndo inaenda kufall apart Mkuu)
To yeye huyu siyo ambaye nilikuwa nasoma comments zake na kuziafiki.
Tangu ubadili avatar umebadilika kimawazo nahofia.
Hivi unajuwa kuwa mwanamke anaweza kurubuniwa na mwanamme hata kuweza kumdedisha mume wake wa ndoa na akakubali? Kama hiyo anaweza basi hata juu ya hofu ya mtoa mada anaweza kabisa.

Acha mume amiliki nyumba kwa faida ya familia (watoto wao). Mkuu Fuatilia maelezo na matukio yanayohusu Joyce et al. Hapa ndipo shaka inapoanzia.
 
To yeye dada angu unaongea kana kwamba haujsoma mtiririko wa hii story. Kuna mapishano makubwa sana baina ya hawa wawili. Na navyoona mimi mke wa mwandishi ana majibu flani ivi. Sasa sitaki kumhukumu huyu mleta mada kama ni perfect au la...anajua yeye

Mama yangu aliwahi kuniambia...mwanangu hizi ardhi hatuend nazo popote. Ushawah kunisikia nikihangaikia..sina huo muda. Nitazikwa kwenye kasehemu kadogo sana. Hata kama una kiwanja ni chako..ilimradi umepata mwenza mkaelewana..usiwe mtu mbinafsi na kila mara kutaka kama kucompete. Sanasana utachoweza fanya andika majina ya watoto wenu isiwe tabu. Lakini mali hizi zinatafutwa. Katu usiondoe utu wako kisa hivi vitu vya duniani hapa. Utaviacha tu.

Kila mtu ana namna yake lakin mkishaanza hiki changu, hiki chako akati mmekuwa pamoja muda mrefu kuna shida pahala. Na kati yenu kuna tension sana ni basi tu mleta mada una hekima sana kama baba. Heshima kwako bro!

Its not a matter of competition.. its a matter of togetherness and unity towards the better life and future. I sence evilness baina yenu. Basi muitafute hekima ya muumba wenu afu msolve matatizo yenu. Shetani hapendi familia, na msipoangalia mtaja jenga ukuta baadae...lakin hatuombei hilo. Seek more wisdom..follow it. Something is so wrong.
Excellent mkuu.
 
Ushauri wangu, andikeni majina ya watoto. Mkuu Kama ukiandika jina lako ikitokea Ndugu zako hasa dada zako na mama wakakosa utu kwa wanao ni rahisi wanao kudhulumiwa. Akiandika jina lake pia Kuna scanario mwanamke anapata mchepuko au mwenza baada ya wewe kutokuwepo huyo jamaa akapambana kumshawishi wapadilishe umiliki au hata jamaa achukulie mkopo. Ili mgogoro huu uishe na mkeo asione kuwa umemdhulumu kiwanja chake andikeni jina la mtoto mmojawapo ili ilionekane kwamba na wewe si mbinafsi bali unapambana kwa ajili ya future ya watoto wenu.
 
Mkuu MBUZI MWENYE BUSARA ushauri wangu achana na hiyo nyumba na hayo unayofikiria anza upya sio ujinga na usithubutu tena kufanya jambo ukamshirikisha huyo mwanamke hata hicho kiwanja kingine ulifanya kosa sana kumwambia maana huyo mwanamke wako ni mbinafsi mnooo.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa ushauri wako huo ndoa itakuwa wapi nikifanya hivyo?
 
Ushauri wangu, andikeni majina ya watoto. Mkuu Kama ukiandika jina lako ikitokea Ndugu zako hasa dada zako na mama wakakosa utu kwa wanao ni rahisi wanao kudhulumiwa. Akiandika jina lake pia Kuna scanario mwanamke anapata mchepuko au mwenza baada ya wewe kutokuwepo huyo jamaa akapambana kumshawishi wapadilishe umiliki au hata jamaa achukulie mkopo. Ili mgogoro huu uishe na mkeo asione kuwa umemdhulumu kiwanja chake andikeni jina la mtoto mmojawapo ili ilionekane kwamba na wewe si mbinafsi bali unapambana kwa ajili ya future ya watoto wenu.
Ushauri wako unasound kidogo mkuu lakini yeye amekataa kabisa tusiwaandikie watoto kwasababu wakifikisha miaka 18 wanaweza kudai nyumba yao!
 
Ushauri wako unasound kidogo mkuu lakini yeye amekataa kabisa tusiwaandikie watoto kwasababu wakifikisha miaka 18 wanaweza kudai nyumba yao!
Lakini mkuu nyie mkitangulia mbeye ya haki kabla ya watoto hiyo nyumba si itakua yao vilevile.

Yaani hadi watoto wenu hamuwaamini, aisee ni hatari hiyo
 
Nilivyosoma stori aisee, nimependa namna unavyoweka wazi majibu ya mke, umepata mke mwenye hekima sana, ana majibu yenye busara na upole.

Nikirudi kwako, embu rahisisha tu mambo. Mwache aandike kwa jina lake maana hata kiwanja ni chake, yaan ukiona MTU anakwambia ngoja nikajifikirie ujue bado hajaafiki, watoto analea mama pale ,wewe unakuja Mara mojamoja, kwann usimwamini mkeo, mbona kama umekaa attention sana.

Hata mkiachana kwa ajili ya watoto bado itakubidi uwaachie Nyumba(kwa mwanaume Mwenye akili hawez taka watoto wataabike pa kuishi), ulisema una kiwanja kama ulivyosema wewe ni mwanaume ,kichwa cha familia em pambana tena jenga kwenye kiwanja chako then waandike wanao.

Usitumie ubabe, tafadhali mwachie tu kama zawadi hiyo Nyumba. Ni mkeo huyo analea na kuishi hapo na watoto wako.(usipojiangalia, ndoa yako ndo inaenda kufall apart Mkuu)
Achana na huu ushauri wa huyo bidada mkuu , utakufa kabla ya siku zako au uje kuua .
 
Hapo naona kila mtu kambale, mwanamke anasema nikajifikirie!! Dadadeki
 
Hawa wanawake wa siku hzi bana tofauti kabisa na mama zetu. Anakuja kwako huku anajihami kikinuka tu nasepa. Huyo mwanamke asiandike jina lake kwenye nyumba mnyooshe ashike adabu yake. Yeye ameolewa hajakuoa tena bila shaka nadhan ni muhaya huyo
 
Nilivyosoma stori aisee, nimependa namna unavyoweka wazi majibu ya mke, umepata mke mwenye hekima sana, ana majibu yenye busara na upole.

Nikirudi kwako, embu rahisisha tu mambo. Mwache aandike kwa jina lake maana hata kiwanja ni chake, yaan ukiona MTU anakwambia ngoja nikajifikirie ujue bado hajaafiki, watoto analea mama pale ,wewe unakuja Mara mojamoja, kwann usimwamini mkeo, mbona kama umekaa attention sana.

Hata mkiachana kwa ajili ya watoto bado itakubidi uwaachie Nyumba(kwa mwanaume Mwenye akili hawez taka watoto wataabike pa kuishi), ulisema una kiwanja kama ulivyosema wewe ni mwanaume ,kichwa cha familia em pambana tena jenga kwenye kiwanja chako then waandike wanao.

Usitumie ubabe, tafadhali mwachie tu kama zawadi hiyo Nyumba. Ni mkeo huyo analea na kuishi hapo na watoto wako.(usipojiangalia, ndoa yako ndo inaenda kufall apart Mkuu)
Bora i fall apart tu kama ni hivyo. Nyooo eti muachie tu hiyo nyumba. Mafi.wewe[emoji38]
 
Nilivyosoma stori aisee, nimependa namna unavyoweka wazi majibu ya mke, umepata mke mwenye hekima sana, ana majibu yenye busara na upole.

Nikirudi kwako, embu rahisisha tu mambo. Mwache aandike kwa jina lake maana hata kiwanja ni chake, yaan ukiona MTU anakwambia ngoja nikajifikirie ujue bado hajaafiki, watoto analea mama pale ,wewe unakuja Mara mojamoja, kwann usimwamini mkeo, mbona kama umekaa attention sana.

Hata mkiachana kwa ajili ya watoto bado itakubidi uwaachie Nyumba(kwa mwanaume Mwenye akili hawez taka watoto wataabike pa kuishi), ulisema una kiwanja kama ulivyosema wewe ni mwanaume ,kichwa cha familia em pambana tena jenga kwenye kiwanja chako then waandike wanao.

Usitumie ubabe, tafadhali mwachie tu kama zawadi hiyo Nyumba. Ni mkeo huyo analea na kuishi hapo na watoto wako.(usipojiangalia, ndoa yako ndo inaenda kufall apart Mkuu)
 
Mm nimemuachia kila kitu hadi nimeanza upya mambo ya kesi siwezi nimechukua begi niko shamba NAJUA WANAUME HAWANIELEWA MAISHA NI MAPFUPI SANA HAKUNA ANAYEJUA KESHO YAKE MNAGOMBANIA UMILIKI WA PROPERTIES MNAISHIA KUUANA Yanini mie
Bwege mkubwa wewe
 
Mkuu Ishi nae kwa machale sana ..
Ivi karibuni tunaweza kuandika RIP

Kauli ya “nipe muda nifikirie”
Sio kauli ndogo
Tayari kuna mtu wa tatu ameingilia hapo katikati
Hafikirii bali anakwenda kwa yule mtu wa tatu kuomba ushauri
Majibu unayo sasa
Rip mbuzi….!
RIP?
 
Back
Top Bottom