Mrejesho: Msaada, nataka kujiua, shukrani wana JF kwa msaada wenu mkubwa

mhhh harufu ya utapeli, unatafuta wafuasi au?
 
mhhh harufu ya utapeli, unatafuta wafuasi au?
Utapeli kwa lipi? Hii post inamtapelije mtu kwa mfano? Na wafuasi wapi hao?
Nimeandika hii post kuwatia moyo wana Jf kua kazi yao ni njema, umaweza kuona post ya 2013 kwenye hio link. Pia inawezekana wapo wanao pitia changamoto niliyo pitia hii itawapa nguvu ya kutokeza upande wa pili salama
 
Sasa unamshukuru yesu au Mungu?
 

Amen
 
Pole. Tuvumiliane tu humu JF kuna mchanganyiko wa aina zote za wanaJF, wengine wanajibu uzi vile wajisikiavyo na si vile uzi utakavyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…