Mrejesho mtaji wa laki 3: Nimeamua kuuza biashara ya matunda na genge

😊😊Anaweza kuwa me pia,yaani wanatufanya watu wenye empathy kuishi kwa shida sana.
 
S
Pole sana , ila kuna watu wa hovyo ndio maana unakuta mtu siku zote ana majanga au anakufa kifo kibaya ndio hivi mtu ana shida na wewe unataka kumdhulumu

Huyo tapeli anika ID yake tumjue
 
Kwa screen shots ulizoweka,jamaa kasema kama huamini,alikutaka uende Arusha,ila ukiwa na hiyo pesa,lakini pia aliandika kua yawezekana baadhi ya watu wa uongozi pale sheli,wanataka walau pesa ya kula,ndomaana wamesema laki na 30 ya yunifom.Anyway huyo wiztech,aje ajitetee hapa kama hakua na nia ya kutapeli.Hii itamsafisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…