Mrejesho mtaji wa laki 3: Nimeamua kuuza biashara ya matunda na genge

Heeeee 😂😂😂😂
 
Mkuu! Usiweke wazi mambo yako! Ongea kwa ujumla na chambua tekeleza kisirisiri! Waliofanikiwa kibiashara hawawezi kukwambia wamefanyaje mpaka wakatoboa! Watakwambia kiujumla! Sasa wewe jianike utatuletea mrejesho!
 
Alisema hivyo sababu alijua hawezi kufumga safari toka Dar mpaka Arusha kwenda kupeleka hela tuu, so lazima option ingekuwa kumtumia pesa tuu. Hiyo ni strategy ya kumwaminisha ili dada aone kweli ni serious
 
Nilishenzi sana hili lijitu linajiona eti linajua kuungishia watu kazi lina shida sana oh nakampuni sijui nini naweza kukupa kazi na yupo arusha nilikitu lishenzi sana nilitapeli liliniahidi kazi mwezi 6 na 11 kila muda ukifika ananiblock anadai humu nimtu tajiri sana kumbe marioo tu bora hata huyu mwingine alikuwa mshirikina ila hakuwa mwongo
 
V
Vipi tena dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…