Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,118
Huu uchizi wako....usije kuutafutia dawa...Usijali babe, huo mkono ndio hasa msingi wa huu muungano wetu.
Ebu kwanza punguza sauti, wasije sikia sifa za mkono majirani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh, wewe sio wakuchezea ,inaonekana upo vizuri kwenye kupuliza...Mimi nakushauri kamata serengeti boy ila sio type ya Kina brown... Fanya nae maisha. Huku mtaani kwetu kuna wamama kama wa4 watu wazima waishi na vijana zaidi ya miaka 10 sasa , Sio wote tutaolewa na Agemate
Ukishindwa kabisa Weka hofu ya Mungu pembeni tafuta ndele
Mimi nakushauri kamata serengeti boy ila sio type ya Kina brown... Fanya nae maisha. Huku mtaani kwetu kuna wamama kama wa4 watu wazima waishi na vijana zaidi ya miaka 10 sasa , Sio wote tutaolewa na Agemate
Ukishindwa kabisa Weka hofu ya Mungu pembeni tafuta ndele
Hongera mkuuHapana mkuu.
Mimi sija panga, na ninaishi kwa nyumbani ya peke yangu pamoja na mke wangu na watoto wetu sote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijamkatisha, ila ni maajabu yanashangaza
Kwenye avatar ni wewe?
Sijamkatisha, ila ni maajabu yanashangaza
ha ha ha ha ha...wew dish limeyumba aisee
hapana hajajileta, maana mm tayari nimemuita, mkuu hawa watu kuna wengine ni midume wanataka tu kuona pm zao zikipata sms, ndo maana sitaki kuenda hukoNyie bwanah..mtoa mada kasema mumtafute
Akiwaanza yeye mtamuona Kajileta
Mambo vepe?.
Ukweli nina Mtoto mmoja, Sina Mke.
Mmh huu ushauri konki kweli kweli..aisee kumbe kuolewa ni lazima!