Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
- Thread starter
-
- #61
Yeah! shukran hii nayo idea ya kibabe sanaKwa ushaurii wanguu maana naona bora lako mimi manzi alinisalitii na best yangu kabisa ila sikumuacha ghafla nilikata mawasiliano ya kwenda kwaoo na pesa ndo ikawa mwisho.
Yeye akija ni kugonga tu basi hadi siku akauliza kwahiyoo saizi wewe ni wa kunila tu. Nikajibu ndioo aliondoka mwenyewe na waliachana na jamaa pia namuana saizi kachoka balaa yuko tu. Hadi best zake wanauliza vipi mbona siwaelewi.
Na uzurii na mimi nika mla mpenzi wake best yangu na kimyaa kama sijuii vilee
Sent using mt4 app
Umenimiss?The boss
Akija Kwako, Futa Malengo Yako KwakeAsante mkuu ngoja niishi kivingine sai,kuanzia sasa nimemuua moyoni na hta akilazimisha kuendelea nitamtumia kama anavotumiwa na hawa wanaomla ila care zote zmeisha
Nakuhaidi
Sure,naona kajihakikishia namba anaishi anavojisikiaAkija Kwako, Futa Malengo Yako Kwake
Akija Kula Tembea, Akieleza Shida Muda Huo Huo Unakuwa Masikini Ingawa Atajua Unafanya Uhuni Bora
Huko Anakodanganywa Baadaye Nao Watamtupa Kando Atakumbuka Shuka Kumekucha
Njia nzuri ya kuachana nae ni kunipa namba yake ya simu!
Hujui namna ya kumuacha mtu?
Mwambie usije kwangu na usinipigie simu.
Halafu mpige block
😀😁Ukiona mtu anaulizia namna ya kumuacha mtu ujue hana ubavu wa kumuacha
Sijalia kaka nimehuzunika tu maana nlijua ndo safari yangu ya mahusiano imegotea kwakeAcha kulia lia bro, mwache aende zake
Nnao ila hivi vitu vinahitaji wakati mwingine mbinu za ziada kuvihandle maana baada ya vita mapenzi ndo yanafuata kwa visa vingiUkiona mtu anaulizia namna ya kumuacha mtu ujue hana ubavu wa kumuacha
Nnao ila hivi vitu vinahitaji wakati mwingine mbinu za ziada kuvihandle maana baada ya vita mapenzi ndo yanafuata kwa visa vingi
Kama Hawezi Awe Mvumilivu Akija Kwake Anapiga, Akienda Kwa Wengine Nao Wanapigawe block tu maneno ming ya nini kama huwezi muacha endelea kula
nikweli kuacha nayo nikazi hasa kwa uliyompenda ila mauzi yakujirudia maamuzi magumu lazima yahusikeUkiona mtu anaulizia namna ya kumuacha mtu ujue hana ubavu wa kumuacha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee wa fursa Malizia Ana chura?